Au wewe ni Miraji Kikwete?sasa unajiuliza nini wakati mwanzo umetaja majina ya wamiliki wa hiyo kampuni? Acha kuchafua watu tena mbaya zaidi unamchafua mkuu wa kaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au wewe ni Miraji Kikwete?sasa unajiuliza nini wakati mwanzo umetaja majina ya wamiliki wa hiyo kampuni? Acha kuchafua watu tena mbaya zaidi unamchafua mkuu wa kaya
Kama utapewa buku saba zako leo hii ni kukuonea huruma lakini hapa huna la kusema zaidi yakuonekana wewe boyaYericko na bangi zake za kuvutia chooni anakuja kupotosha hoja ya ukweli huwa haiko hivyo mwambie zitto mjipange upya jk anafanya maendeleo kama haya
View attachment 200994
Hayo ni mawazo yako yalipotoka mnona slaa alishindwa kupata hata kura elfu kumi akashindwa hata kusogea alipokuwa amesimama jk ni kiongozi hodari ndiyo maana kwa sasa tanzania haipo kwenye kundi la nchi 25 maskini duniani wakati2010 tulikuwa katika nchi kumi maskini soma hapa.
sasa unajiuliza nini wakati mwanzo umetaja majina ya wamiliki wa hiyo kampuni? Acha kuchafua watu tena mbaya zaidi unamchafua mkuu wa kaya
Yericko na bangi zake za kuvutia chooni anakuja kupotosha hoja ya ukweli huwa haiko hivyo mwambie zitto mjipange upya jk anafanya maendeleo kama haya
Hoja hapa si miraji hoja ni hawa wanaotoa tuhuma bila ushahidi kutaka anayetuhumiwa ndie athibitishe. kama hujaelewa hili.....
unajivunia kuu la kaya jizi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!???????????????sasa unajiuliza nini wakati mwanzo umetaja majina ya wamiliki wa hiyo kampuni? Acha kuchafua watu tena mbaya zaidi unamchafua mkuu wa kaya
hajafanya lolote la ajabu! hayo maendeleo ya kwenye makaratasi tu. sanasana serekali yake imefanikiwa kuiongezea IPTL miaka 20 ya unyonyaji kwa taifa. hovyooooooooooooooooo kabisa!Hayo ni mawazo yako yalipotoka mnona slaa alishindwa kupata hata kura elfu kumi akashindwa hata kusogea alipokuwa amesimama jk ni kiongozi hodari ndiyo maana kwa sasa tanzania haipo kwenye kundi la nchi 25 maskini duniani wakati2010 tulikuwa katika nchi kumi maskini soma hapa.
Hivi Unachoshindwa kuelewa ni nini? Yeriko katoa tuhuma nzito,ambazo zinamchafua Miraji Kikwete mbele ya uma.Kukanusha kupitia facebook hakutoshi.Kama Yeriko ni muongo tunataka kuona Miraji anamfikisha mahakamani.
Tuhuma nzito kama hizi kujibiwa kupitia Facebook tena na mtoto wa Rais hakuna mantiki kabisa.
unajivunia kuu la kaya jizi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!???????????????
teh teh teh
Hivi Unachoshindwa kuelewa ni nini? Yeriko katoa tuhuma nzito,ambazo zinamchafua Miraji Kikwete mbele ya uma.Kukanusha kupitia facebook hakutoshi.Kama Yeriko ni muongo tunataka kuona Miraji anamfikisha mahakamani.
Tuhuma nzito kama hizi kujibiwa kupitia Facebook tena na mtoto wa Rais hakuna mantiki kabisa.
Huu hapa:
![]()
Huu hapa:
![]()
Huu hapa:
![]()
sasa unajiuliza nini wakati mwanzo umetaja majina ya wamiliki wa hiyo kampuni? Acha kuchafua watu tena mbaya zaidi unamchafua mkuu wa kaya
Unaelewa ama ya neno "ushahidi"?mimi naamini tuhuma za yericko hazina mashiko hivyo kujibiwa kirahisi rahisi kupitia social network ndio stahiki yake. Tena ningekuwa mimi ndio miraji ningezipuuza kabisa. Ila wewe as a great thinker feel free kumuamini yericko kwa tuhuma hizo bila ushahidi.
Hayo ni mawazo yako yalipotoka mnona slaa alishindwa kupata hata kura elfu kumi akashindwa hata kusogea alipokuwa amesimama jk ni kiongozi hodari ndiyo maana kwa sasa tanzania haipo kwenye kundi la nchi 25 maskini duniani wakati2010 tulikuwa katika nchi kumi maskini soma hapa.