DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Yericko,bela Kamwene.wanike ilipoti ipa twimbe tuvayago
 
Wale watetezi wa wizi huu njooni tena, ripoti tunayo mkononi

Nnekuja kumwakilisha Pasco mzee wa "the psychic powers" kathema nije niwaambie etii..eti "the power within" inamwambia wiki hii athiingie jf,teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Masikini wa Mungu, hata hao watoto hawajijui kuwa wanaingiza pesa nyingi hivi kwa siku, wala hawajijui kuwa wanamiliki kampuni kubwa vile.

Aiseee nlikuwa najiuliza miraji mbona hana issue yeyote ya maana lakini ana majumba ya mamilioni,ukianza lile lake la kinyerezi ni sheeeddaa,kutoka kuwa teja la king'oko/block 41 mpaka umilionea,takukuru/tiss wapo kimya bila kumchunguza.
 
Nnekuja kumwakilisha Pasco mzee wa "the psychic powers" kathema nije niwaambie etii..eti "the power within" inamwambia wiki hii athiingie jf,teh teh!

Hahaa mwaka huu wataihama jf kabisaa
 
Last edited by a moderator:
Nnekuja kumwakilisha Pasco mzee wa "the psychic powers" kathema nije niwaambie etii..eti "the power within" inamwambia wiki hii athiingie jf,teh teh!
Mkuu Juve, mimi nipo sana tuu!, uzuri wa hoja zozote za kizushi, huwa ni mbio tuu za sakafuni, ambazo huiishia ukingoni!, laki kama ni hoja zenye ukweli, then siku zote, ukweli husimama!.

Pasco
 
Tunajua raisi ana mamlaka makubwa sana ya kikatiba kufanya jambo lolote kiasi kwamba anaweza kuwa hata dikteta.

Mbali na madaraka hayo makubwa,raisi pia halazimika kuzingatia ushauri anaopewa bali anaweza kuamua atakavyo.

Sasa kwa kuzingatia madaraka haya makubwa alionayo raisi wetu,nini ilikuwa nafasi yake kuliepusha Taifa na ufisadi huu wa kutisha?

Tujadili.
 
Tunapoteza muda, fedha, rasilimali nk kwa ajili ya watu wachache ambao hawataki kuwajibisha wezi !!??
Hawa viongozi wapo kwa maslahi ya nani ?
 
Miraji kikwete,salma kikwete,ridhwani kikwete,albert mkwe wa kikwete,halfan kikwete bring back our money mmefanya ikulu pango la ulanguzi
 
ni kweli yericko hicho ulichokisema sio tetesi. stakabadhi za benki ya stanbic na akaunti moja ya mkombozi, vimebanwa.lakini cag alivielezea wazi kwa PAC na wakakubaliana raisi asiwajibishwe sasa kwani ni balaa na mkasi kwa nchi yeyote anaefanya hivyo.sasa kinachoendelea bungeni ni nani atolewe kafara ili kumlinda raisi.lakini mawaziri wamegoma na muhongo amekuwa akisababisha hasara kubwa kwa tanesco na hiyo huenda ni kutokana na matakwa ya raisi kuvuna fedha kwa ubinafsi kama inavyojidhihirisha hapo kwenye wamiliki wa hisa za simba.ni balaa nakwambia. nasubiri kuona kafara itamuangukia nani na kwa prof.sosspeter sijui hakiyamungu hakukaliki.
 
Back
Top Bottom