DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ndo mana JK yupo kimya aliulizwa akajibu yeye eti hajuwi kilichopo Tz alikuwa matibabuni kumbe watoto wake ndio wamekula mgao kwa kiwango hicho. ni hatari sana watanzania ni muhimu kufafanya maamuzi magumu 2015 otherwise ni hatari kubwa mbele
 
wameiba hao sheria zetu mbovu ndo zinawalinda kwakuwa ndo wanaotunga aibu kwa nchi na serikali na wananchi wote wa TZ.
 
Lakini hasa hiyo kampuni ya PAP iliwekeza hiyo 6m katika shuhuli gani,mbona sipati picha vizuri mwenzenu,naomba msaada.
Ndo mana JK yupo kimya aliulizwa akajibu yeye eti hajuwi kilichopo Tz alikuwa matibabuni kumbe watoto wake ndio wamekula mgao kwa kiwango hicho. ni hatari sana watanzania ni muhimu kufafanya maamuzi magumu 2015 otherwise ni hatari kubwa mbele
 
Lakini hasa hiyo kampuni ya PAP iliwekeza hiyo 6m katika shuhuli gani,mbona sipati picha vizuri mwenzenu,naomba msaada.
Kampuni zote huanzishwa kwa mitaji kuanzia shd 1m na nyingi hazizidi 100m
Hata banks au insurance ukiangalia memorandum n articles zao utaona capital zao zipo katika maeneo hayo.
Ni kawaida ila kampuni ina ingiza working capital kubwa zaidi shughuli za biashara zinapo anza.
Mfano unafungua kampuni ya usafiri wa ndege.
Utaanzisha hio company kwa mtaji wa shs 10m lakini ukipata leseni utaingiza kama directors fedha za kununulia ndege na pia unaweza kukopa working capital kuanzia biashara.
Ndio ilivo pia kwa IPTL
Lakini wanasiasa wanadanganya watu kwa sababu ndio kazi ya siasa.
Moja ya kazi ya mwana siasa ni kusema uongo.bila ya sifa kuu hii huwezi kuwa maarufu kisiasa.
Na mara zote hawa wana siasa wa namna hii akidindoshwa kwenye ulingo wa siasa utakuta ame losti kishenzi mitaani kwani hakuna kazi anayo weza kufanya.
Hivo ili waweze ku survive ni kusema uongo na kwa vile kambare hawaoni basi humeza tu ndoana zao
 
Kampuni zote huanzishwa kwa mitaji kuanzia shd 1m na nyingi hazizidi 100m
Hata banks au insurance ukiangalia memorandum n articles zao utaona capital zao zipo katika maeneo hayo.
Ni kawaida ila kampuni ina ingiza working capital kubwa zaidi shughuli za biashara zinapo anza.
Mfano unafungua kampuni ya usafiri wa ndege.
Utaanzisha hio company kwa mtaji wa shs 10m lakini ukipata leseni utaingiza kama directors fedha za kununulia ndege na pia unaweza kukopa working capital kuanzia biashara.
Ndio ilivo pia kwa IPTL
Lakini wanasiasa wanadanganya watu kwa sababu ndio kazi ya siasa.
Moja ya kazi ya mwana siasa ni kusema uongo.bila ya sifa kuu hii huwezi kuwa maarufu kisiasa.
Na mara zote hawa wana siasa wa namna hii akidindoshwa kwenye ulingo wa siasa utakuta ame losti kishenzi mitaani kwani hakuna kazi anayo weza kufanya.
Hivo ili waweze ku survive ni kusema uongo na kwa vile kambare hawaoni basi humeza tu ndoana zao

Kwa mantiki hii kiongozi ni kwamba, hata ma profesa na ma PhD holder wakishajiingiza kwenye siasa wanakuwa waongo pia?
 
Kwa mantiki hii kiongozi ni kwamba, hata ma profesa na ma PhD holder wakishajiingiza kwenye siasa wanakuwa waongo pia?

Ni ugonjwa ...ukikuingia unathiri mfumo mzima wa intelligence yako..wote tu
 
Huyu JK naye ang'oke,hata hiyo operation yake uongo,alitaka kupima upepo.
 
Ushahidi unakwenda kuonesha kuwa hata uamuzi wa Gavana kuruhusu fedha hiyo itoke kimakosa ni baada ya kupata MEMO kutoka Katibu wa rais Bw Mbena ikisema Rais kaelekeza.

More evidence needed ili tujiridhishe
 
Kama vipi hii taasisi kama nchini hakuna wakuinusuru tupate consultation kwenye mataifa mengine ambayo taasisi zao kama hizo zinafanya vizuri.
 
Kweli kabisa uyo jk na yeye aende sero kwasababu anausika kabisa kutokana swala hili la escrwo
 
Nadhani mjadala sasa uwe ni namna gani ela hizi zitarudishwa bila kujali hadaa za watu wa Magogoni.
 
Back
Top Bottom