Familia ya Rais Magufuli mkiliachia hili jambo lipite bila ya kumburuza mahakamani Kabendera itakuwa ni usaliti wa karne!

Familia ya Rais Magufuli mkiliachia hili jambo lipite bila ya kumburuza mahakamani Kabendera itakuwa ni usaliti wa karne!

Mtu aliyepora uchaguzi nchi nzima ashindwe kufanya kitu km hiko… tatizo jiwe alikuwa na mihemko na hapendi kukosolewa.!!

Muhimu wote wamekufa wahukumiane huko huko walipo.!! Sijui alishapewa uongozi wa kuongoza malaika 🤣
 
Katika madai yote dhidi ya Rais Magufuli, hili dai la huyu mwandishi Eric Kabdendera, kuwa Rais Magufuli alimuua Ben Saanane kwa kumpiga risasi ya kichwa hapo Ikulu [nasadiki ni Ikulu ya Dar], ni dai kubwa na zito sana.

Ni kashfa kubwa sana. Kwa mtu tu wa kawaida, kutuhumiwa kuua mtu mwenzio si jambo dogo. Seuze Rais wa nchi?

Wengi wetu kwa sasa tutakuwa tumeshaiona hii excerpt ya hicho kitabu:
View attachment 3190381

Napata wakati mgumu sana kuamini kuwa Rais Magufuli anaweza kumuua kijana wa Kitanzania, ambaye ni mtu mdogo sana, in the grand scheme of things, kwa mikono yake mwenyewe tena kwenye nyumba ya wananchi, Ikulu.

Tumeshawazoea akina Lissu na wenzake kuropoka na kutoa tuhuma za ajabu ajabu bila kutoa wala kuonyesha ushahidi wowote ule zaidi ya kusema ‘nimeambiwa’ au ‘niliambiwa’.

Lissu keshawahi kusema mara kadhaa kuwa baada ya Magufuli kufariki, eti nyumbani kwake yalikutwa mabulungutu ya mahela, dola za Kimarekani, kwenye mamilioni.

Bila ushahidi wowote ule zaidi ya ‘kuambiwa’, tuhuma hizo zinabaki kuwa ni porojo tu za Lissu.

Na ndo maana pengine hata familia ya Rais Magufuli haijawahi kusema wala kufanya chochote dhidi ya madai hayo.

Ila hili la Magufuli kutuhumiwa kuwa ni cold-blooded murderer, si la kawaida na halipaswi kupuuziwa.

If not true, what Kabendera did is libelous and should sued.

Mimi si mtaalamu wa sheria za Tanzania. Lakini naamini sheria za libel zipo.

Licha ya kwamba Rais Magufuli alikuwa ni public figure, kuna vitu huwezi kuvisema dhidi yake bila ushahidi.

Tuhuma za mauaji kwa mtu yeyote yule, humtia doa kubwa sana kwenye jamii, mtu huyo.

Majuzi hapa tumeona kituo cha televisheni cha Marekani, ABC, kilikubali kumlipa Rais Trump $15 milioni kwa sababu mmoja wa watangazaji wake alisema kimakosa kuwa Trump alipatikana na hatia ya ubakaji wakati si kweli.

Kubaka ni moja ya makosa yanayompa mtu doa la maisha.

Uuaji, kwangu mimi, ni kosa lililo juu ya ubakaji.

Sasa huyu jamaa Kabendera anakuja na tuhuma nzito namna hiyo tena kwa Rais mzima bila hata ushahidi wowote ule zaidi ya kusema kaambiwa na vyanzo vyake.

Hapana kwa kweli. Tuhuma kama hizo ni nzito sana kuachwa hivi hivi tu, la sivyo kama ni za ukweli.

Familia ya Rais Magufuli ikimwacha huyu jamaa bila kumburuza mahakani akatoe testimony yake huko under the penalty of perjury, itakuwa ni usaliti mkubwa sana kuwahi tokea nchini.

Yaani kabisa Rais Magufuli ampige risasi ya/za kichwa huyo Ben Saanane hapo Ikulu, halafu watu wa Magufuli waichukue maiti yake na kwenda kuitupa kwenye moto Rufiji?

Vigumu sana kuamini hilo.

Familia ya Rais Magufuli ni lazima ichore mstari mchangani na kuchukua hatua.

La sivyo, mtatufanya watu kama mimi tuamini kuwa yanayosemwa ni ya kweli.
Naunga mkono hatua kuchukuliwa, lakini kwa mkondo tofauti. Aliyetuhumiwa ni aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania sio baba wa familia ya Magufuli. Kwahiyo, Mimi nashauri Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndio inatakiwa ilifanyie kazi hili ili kuondoa dhana kwamba Marais wetu wanafanya vitendo vya kukiuka Katiba wakiwa Ikulu.
 
Mahakama zipi, hizi zilizokaa na kesi ya kina Mdee kwa miaka zaidi ya minne? Au unadhani hatujui kwanini Magufuli na genge lake waliweza kutekeleza uovu ndani ya nchi hii?
Mbona sanga kaachiwa juzi na makada wa chadema wameishukuru mahakama kwa kutenda Haki au ni mpaka Chadema ishinde kesi ndio mahakama ionekane inatenda Haki?
 
Naunga mkono hatua kuchukuliwa, lakini kwa mkondo tofauti. Aliyetuhumiwa ni aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania sio baba wa familia ya Magufuli. Kwahiyo, Mimi nashauri Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndio inatakiwa ilifanyie kazi hili ili kuondoa dhana kwamba Marais wetu wanafanya vitendo vya kukiuka Katiba wakiwa Ikulu.
Marais wetu wengi huwa wanafanya uhalifu sana wakiwa ikulu, ila tuna katiba inayowafanya kuwa miungu watu. Kwakuwa Magufuli alikuwa ni kiongozi muovu, alifanikiwa kufanya uovu wake kwa katiba hii mbovu.
 
Katika madai yote dhidi ya Rais Magufuli, hili dai la huyu mwandishi Eric Kabdendera, kuwa Rais Magufuli alimuua Ben Saanane kwa kumpiga risasi ya kichwa hapo Ikulu [nasadiki ni Ikulu ya Dar], ni dai kubwa na zito sana.

Ni kashfa kubwa sana. Kwa mtu tu wa kawaida, kutuhumiwa kuua mtu mwenzio si jambo dogo. Seuze Rais wa nchi?

Wengi wetu kwa sasa tutakuwa tumeshaiona hii excerpt ya hicho kitabu:
View attachment 3190381

Napata wakati mgumu sana kuamini kuwa Rais Magufuli anaweza kumuua kijana wa Kitanzania, ambaye ni mtu mdogo sana, in the grand scheme of things, kwa mikono yake mwenyewe tena kwenye nyumba ya wananchi, Ikulu.

Tumeshawazoea akina Lissu na wenzake kuropoka na kutoa tuhuma za ajabu ajabu bila kutoa wala kuonyesha ushahidi wowote ule zaidi ya kusema ‘nimeambiwa’ au ‘niliambiwa’.

Lissu keshawahi kusema mara kadhaa kuwa baada ya Magufuli kufariki, eti nyumbani kwake yalikutwa mabulungutu ya mahela, dola za Kimarekani, kwenye mamilioni.

Bila ushahidi wowote ule zaidi ya ‘kuambiwa’, tuhuma hizo zinabaki kuwa ni porojo tu za Lissu.

Na ndo maana pengine hata familia ya Rais Magufuli haijawahi kusema wala kufanya chochote dhidi ya madai hayo.

Ila hili la Magufuli kutuhumiwa kuwa ni cold-blooded murderer, si la kawaida na halipaswi kupuuziwa.

If not true, what Kabendera did is libelous and should sued.

Mimi si mtaalamu wa sheria za Tanzania. Lakini naamini sheria za libel zipo.

Licha ya kwamba Rais Magufuli alikuwa ni public figure, kuna vitu huwezi kuvisema dhidi yake bila ushahidi.

Tuhuma za mauaji kwa mtu yeyote yule, humtia doa kubwa sana kwenye jamii, mtu huyo.

Majuzi hapa tumeona kituo cha televisheni cha Marekani, ABC, kilikubali kumlipa Rais Trump $15 milioni kwa sababu mmoja wa watangazaji wake alisema kimakosa kuwa Trump alipatikana na hatia ya ubakaji wakati si kweli.

Kubaka ni moja ya makosa yanayompa mtu doa la maisha.

Uuaji, kwangu mimi, ni kosa lililo juu ya ubakaji.

Sasa huyu jamaa Kabendera anakuja na tuhuma nzito namna hiyo tena kwa Rais mzima bila hata ushahidi wowote ule zaidi ya kusema kaambiwa na vyanzo vyake.

Hapana kwa kweli. Tuhuma kama hizo ni nzito sana kuachwa hivi hivi tu, la sivyo kama ni za ukweli.

Familia ya Rais Magufuli ikimwacha huyu jamaa bila kumburuza mahakani akatoe testimony yake huko under the penalty of perjury, itakuwa ni usaliti mkubwa sana kuwahi tokea nchini.

Yaani kabisa Rais Magufuli ampige risasi ya/za kichwa huyo Ben Saanane hapo Ikulu, halafu watu wa Magufuli waichukue maiti yake na kwenda kuitupa kwenye moto Rufiji?

Vigumu sana kuamini hilo.

Familia ya Rais Magufuli ni lazima ichore mstari mchangani na kuchukua hatua.

La sivyo, mtatufanya watu kama mimi tuamini kuwa yanayosemwa ni ya kweli.
Ndugu Kabendera ni mtu wa ajabu sana....

Sisi ni waafrika....watanzania...wajamaa.....

Kamwe huwezi kumchafua KIONGOZI WETU MKUBWA KABISA kwa sababu ya maslahi yako KOKO ya nchi za nje na maadui wa Tanzania yetu na TURATHI ZAKE......

#Nchi Kwanza kwa njia yoyote ile.
#Viongozi wakuu wa taifa ni tunu yetu.
#Sisi ni waafrika ,sisi ni wajamaa wa Afrika.
 
Mbona sanga kaachiwa juzi na makada wa chadema wameishukuru mahakama kwa kutenda Haki au ni mpaka Chadema ishinde kesi ndio mahakama ionekane inatenda Haki?
Acha upotoshaji wa kijinga, hawajaishukuru mahakama kwa kutenda haki, bali wameshukuru hao jamaa kuachiwa. Mahakama ingekuwa inatenda haki wasingekaa ndani miaka minne kwa kesi ya kubambikiwa.
 
Ndugu Kabendera ni mtu wa ajabu sana....

Sisi ni waafrika....watanzania...wajamaa.....

Kamwe huwezi kumchafua KIONGOZI WETU MKUBWA KABISA kwa sababu ya maslahi yako KOKO ya nchi za nje na maadui wa Tanzania yetu na TURATHI ZAKE......

#Nchi Kwanza kwa njia yoyote ile.
#Viongozi wakuu wa taifa ni tunu yetu.
#Sisi ni waafrika ,sisi ni wajamaa wa Afrika.
Kuwa kiongozi hakukufanyi kuwa mtakatifu, na Magufuli alikuwa mfano mmojawapo wa viongozi waovu.
 
I’m all for it. Ila Kabendera naye ni lazima atoe ushahidi na awataje waliomwambia.
The truth is, hakuna sababu ya msingi za kwanini serikali imeshindwa kuleta majibu kuhusu Ben. Alishatoa taarifa, kwa polisi na hata hapa JF kuhusu vitisho, mpaka namba ya simu ya wanaomtishia aliweka hapa. Inakuwaje with all the leads, hakuna chochote kuhusu kupotea kwake?

It's time hili jambo lirudi kwenye vichwa vya watanzania, he may be wrong kutoa serious allegations kama hizi, lakini kuna namna Watanzania tulichezewa sana kwenye issue ya Ben.
 
Ndugu Kabendera ni mtu wa ajabu sana....

Sisi ni waafrika....watanzania...wajamaa.....

Kamwe huwezi kumchafua KIONGOZI WETU MKUBWA KABISA kwa sababu ya maslahi yako KOKO ya nchi za nje na maadui wa Tanzania yetu na TURATHI ZAKE......

#Nchi Kwanza kwa njia yoyote ile.
#Viongozi wakuu wa taifa ni tunu yetu.
#Sisi ni waafrika ,sisi ni wajamaa wa Afrika.
Kusema ukweli ndiyo kumchafua? Magufuli alikuwa muuaji hilo halina ubishi ndiyo maana Mungu aliamua huu ugomvi kwa kumtowesha kwenye uso wa dunia.
 
Kumbe hamna kitu kichwani

Soma kitabu hichi

Thomas Carlyle - Mwandishi na Mfikiri wa Kifalsafa:

Katika kitabu chake "On Heroes, Hero-Worship, and the Heroic in History", Carlyle alizungumzia umuhimu wa Mtume Muhammad na kumtaja kama kiongozi wa kipekee. Alisema:
"Muhammad alikuwa kiongozi ambaye alikusanya umoja kutoka kwa jamii iliyokuwa imegawanyika. Alikuwa na nguvu ya kiroho na alikuwa na uwezo wa kushinda migogoro ya kijamii. Uongozi wake ulileta mabadiliko ya kimsingi katika historia ya dunia."
Carlyle alikiri kuwa Mtume alikuwa na upeo wa kipekee na alichangia kwa kiasi kikubwa katika mabadiliko ya kijamii na kiutawala
Unajaza hadithi za Mudi humu fungua uzi wake.
 
Back
Top Bottom