Familia ya Rais Magufuli mkiliachia hili jambo lipite bila ya kumburuza mahakamani Kabendera itakuwa ni usaliti wa karne!

Familia ya Rais Magufuli mkiliachia hili jambo lipite bila ya kumburuza mahakamani Kabendera itakuwa ni usaliti wa karne!

Mtashangaa huyo mtu kesho kaamkia ubalozi wa Marekani kuomba ukimbizi.
Kuandika hivyo ni mbinu tu
 
Kuna kitu kinaitwa pandora box, je familia ya jiwe ina ujasiri wa kubariki na kutaka lifunguliwe?

Hiyo kesi haitakuwa tu ya kitaifa, itakuwa ya kimataifa. Dunia yote itafuatikia yanayojiri.

Be careful of what you wish for Nyani Ngabu! Je unajua kwa nini hakuna uchunguzi wowote ule ulifanyika?

Unachowashauri wana familia wakifanye ni ujinga, ndiyo ni ushauri wa kijinga.

Juhudi gani zilifanywa na jemadari mkuu kumlinda raia wake Ben Saanane? Hakuna!
Exactly! Publisher aliona hili jambo na anajua madhara yake. Kabendera ni Mwandishi wa Kimataifa anajua madhara yake. Watu waliofanya review ni wenye weledi wanajua madhara yake. Wanasheria wa Kabendera wanajua madhara yake. Yote hayo bado imendikwa ''Boldy''

Nina uhakika kuna watu wanatamani na kuomba hili suala liende mahakamani!
 
Nenda usambaani wakakutibu akili yako ipone umekuwa ni kituko jukwaani
tulikubalia humu kama wadau wa JF, kwamba mihemko, makasiriko na chuki binafsi tuziache 2024, ndrugu zangu mbona bado mnaendekeza chuki aise hadi 2025?

mbaya zaidi,
huna mawazo mapya wala huna fikra mbadala bora zaidi ya hoja au reply mahususi jukwaani.

Inasikitisha sana, inafedhehesha sana aise 🐒
 
Magufuli alikuwa kichaa na mlevi wa madaraka aliyependa kusifiwa sana. Hizi tuhuma sio mpya na kwa mtu anayemjua vizuri huyo shetani wa Chato, hilo tukio alilifanya na mengine mengi kama hilo
Ndiyo mtaenda mkatoe ushahidi sasa! Mwandishi kaandika ujinga!
 
Saa100 ndiye mbaya kuliko Magufuli . Ikifika 2030 mtakumbuka maneno yangu
Hili ni kweli kabisa huyu amempita kwa mbali sana Magufuli kwa uovu,yaani hii awamu ya sita ya mchongo tunaweza kabisa kuibatiza na kuiita awamu ya "ubaya ubwela".
 
Profesa Michael H. Hart: Mwanafizikia na mwanaastronomia Mmarekani, aliyeandika kitabu "The 100: A Ranking of the Most Influential Persons in History". Katika kitabu hiki, alimweka Mtume Muhammad katika nafasi ya kwanza, akimuelezea kama mtu mwenye ushawishi mkubwa zaidi katika historia ya binadamu kutokana na mafanikio yake katika nyanja za kidini na kisiasa.
Tuondolee fanatism yako hapa jukwaani, huu upumbavu utatutoa kwenye harmony please grow up, modes wanakuachia wanaharibu peleka ujinga wako mahala pa imani husika
 
Katika madai yote dhidi ya Rais Magufuli, hili dai la huyu mwandishi Eric Kabdendera, kuwa Rais Magufuli alimuua Ben Saanane kwa kumpiga risasi ya kichwa hapo Ikulu [nasadiki ni Ikulu ya Dar], ni dai kubwa na zito sana.

Ni kashfa kubwa sana. Kwa mtu tu wa kawaida, kutuhumiwa kuua mtu mwenzio si jambo dogo. Seuze Rais wa nchi?

Wengi wetu kwa sasa tutakuwa tumeshaiona hii excerpt ya hicho kitabu:
View attachment 3190381

Napata wakati mgumu sana kuamini kuwa Rais Magufuli anaweza kumuua kijana wa Kitanzania, ambaye ni mtu mdogo sana, in the grand scheme of things, kwa mikono yake mwenyewe tena kwenye nyumba ya wananchi, Ikulu.

Tumeshawazoea akina Lissu na wenzake kuropoka na kutoa tuhuma za ajabu ajabu bila kutoa wala kuonyesha ushahidi wowote ule zaidi ya kusema ‘nimeambiwa’ au ‘niliambiwa’.

Lissu keshawahi kusema mara kadhaa kuwa baada ya Magufuli kufariki, eti nyumbani kwake yalikutwa mabulungutu ya mahela, dola za Kimarekani, kwenye mamilioni.

Bila ushahidi wowote ule zaidi ya ‘kuambiwa’, tuhuma hizo zinabaki kuwa ni porojo tu za Lissu.

Na ndo maana pengine hata familia ya Rais Magufuli haijawahi kusema wala kufanya chochote dhidi ya madai hayo.

Ila hili la Magufuli kutuhumiwa kuwa ni cold-blooded murderer, si la kawaida na halipaswi kupuuziwa.

If not true, what Kabendera did is libelous and should sued.

Mimi si mtaalamu wa sheria za Tanzania. Lakini naamini sheria za libel zipo.

Licha ya kwamba Rais Magufuli alikuwa ni public figure, kuna vitu huwezi kuvisema dhidi yake bila ushahidi.

Tuhuma za mauaji kwa mtu yeyote yule, humtia doa kubwa sana kwenye jamii, mtu huyo.

Majuzi hapa tumeona kituo cha televisheni cha Marekani, ABC, kilikubali kumlipa Rais Trump $15 milioni kwa sababu mmoja wa watangazaji wake alisema kimakosa kuwa Trump alipatikana na hatia ya ubakaji wakati si kweli.

Kubaka ni moja ya makosa yanayompa mtu doa la maisha.

Uuaji, kwangu mimi, ni kosa lililo juu ya ubakaji.

Sasa huyu jamaa Kabendera anakuja na tuhuma nzito namna hiyo tena kwa Rais mzima bila hata ushahidi wowote ule zaidi ya kusema kaambiwa na vyanzo vyake.

Hapana kwa kweli. Tuhuma kama hizo ni nzito sana kuachwa hivi hivi tu, la sivyo kama ni za ukweli.

Familia ya Rais Magufuli ikimwacha huyu jamaa bila kumburuza mahakani akatoe testimony yake huko under the penalty of perjury, itakuwa ni usaliti mkubwa sana kuwahi tokea nchini.

Yaani kabisa Rais Magufuli ampige risasi ya/za kichwa huyo Ben Saanane hapo Ikulu, halafu watu wa Magufuli waichukue maiti yake na kwenda kuitupa kwenye moto Rufiji?

Vigumu sana kuamini hilo.

Familia ya Rais Magufuli ni lazima ichore mstari mchangani na kuchukua hatua.

La sivyo, mtatufanya watu kama mimi tuamini kuwa yanayosemwa ni ya kweli.
Acha upumbavu kwani jambo kama hilo linashindikana kutekelezeka? Kwani mfu yule hakuwa na mikono ya kupress trigger?,kwani mfu yule hakuwa na uwezo wa kuwa na silaha,kwani mfu yule hakuwa na uwezo wa kutekeleza kitu kama hicho na kukifanya kiwe siri?,kwa akili zake mbovu,jazba, na ubabe nini kingemzuia kutekeleza uhayawani wake wake
 
Magufuli alikuwa kichaa na mlevi wa madaraka aliyependa kusifiwa sana. Hizi tuhuma sio mpya na kwa mtu anayemjua vizuri huyo shetani wa Chato, hilo tukio alilifanya na mengine mengi kama hilo
duh! Mh!
 
Mwandishi wa kitabu ni mjinga, unamtungia mtu kitabu kwa taarifa za kusikia na kuokoteza?

Ujinga wake mwingine, ameweka hiyo picha kama Cover kujustify eti JPM alikuwa anatembea na bunduki bila kujua hiyo bastola alienda nayo kuhamasisha ukaguzi wa silaha, haiwezi kutumika kama uthibitisho wa yeye kutembea na silaha.

Mamlaka zinapaswa kuingilia Kati na ikiwezekana kumkamata kabendera Kwa kuvunja katiba ya nchi otherwise tubadirishe katiba sasa na kuwashitaki maraisi kwa makosa yao wakiwa madarakani.
Maana kitabu ni kama kimemhukumu JPM kwa makosa yake akiwa Rais wakati katiba inatuambia Marais wakistaafu wasiguswe.

Kama Mamlaka zinaona hii ni sawa, basi watakapokuja waandishi wengine na kuandika juu ya mabaya ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa, JK na Samia nayo isilete kelele iwe sawa tu.
 
Kwamba serikali haikujua kilichomo ndani ya hicho kitabu kabla ya kutoka?
 
Jibu swali, alikuwa kiongozi wa kisiasa? Nchi au eneo gani? Huo ushawishi anaozungumzia huyo Prof wako ni ushawishi wa sasa wa kidini baada ya Uislam kusambaa, mi nakuuliza miaka hiyo akiwa hai alikuwa kiongozi nchi au eneo lipi? Maana nikisoma historia yake alikuwa mtu wa kuhamahama kwa kufukuzwa au kukimbia maadui zake.
Huyu jamaa ni juha pumbavu amekuja na anaruhusiwa kuharibu amani jukwaani, maana kuna waislamu waungwana ukimshambulia huyu chizi utaumiza hisia za wengine wenye akili timamu
 
Back
Top Bottom