Familia ya Rais Magufuli mkiliachia hili jambo lipite bila ya kumburuza mahakamani Kabendera itakuwa ni usaliti wa karne!



Kama kweli hiyo picha ipo kwenye hilo cover la kitabu. Huyu jamaa alipaswa sasa hivi awe ameshatiwa nguvuni na vyombo husika na siyo vinginevyo
 
Waruhusu taasisi kutoka nje ya kimataifa kufanya uchunguzi wake tusikie .....kama mnaweza kumshauri raisi wenu shauri na ilo .........aw walikufa wangekua ndgu zenu pimbi nyie msingekua nakiherehere icho
 
Ww ni Chakubanga
 
Sasa wewe na makafiri wenzio wasomi maprofessor nani anajua? Wewe mvuta bangi wa ubungo unapinga. Professor mkatoliki wa marekani anaandika wewe unapinga. CHUKI ZAKO HAZIONDOSHI UKWELI
Eti Professor Mkatoliki Mmarekani.... Simple research ingekupa majibu sahihi. Thomas Carlyle was never a Catholic and not an American. He was Scottish and a protestant. Learn to get your facts straight, punguza upotoshaji
 
Hiyo ni tuhuma ya serkali wala sio ya familia. Akifikishwa mahakamani yeye ndio atathibitisha hayo pasipo shaka kuwa Magufuli alimpiga risasi kwa mkono wake. Lkn kwa kuwa kuna watu watudanganya ymeti hiyo nayo ni sehemu ya 4R na demokrasia wanapiga kinya,, simetime kuogopa nchi wanaotupa ugali ilitule tuzaane wauze bidhaa zao. Israeli inapiga watu hakuna cha ICC wala Human right wala nani wanaongea lkn haiwasikilizi hiyo ndio inaitwa kujitambua., huwezi kuja kuteka watu na wattoto halafu eti waje sijui Human right waanze maneno walitakiwa wamkemee kabla hajafanya ujinga. Wakati fulani bora uwe maskini lkn utu wako ubaki . Labda kamaserkali wanajua ni wahusika na dhamira zao zinawasuta. Waafrika na Waarabu tuko na shida mkichwa
 
Story za Muhammad zinachanganya sana! Mpaka anaagiza uchunguzi alikuwa kiongozi wa kijamii au kidini? Na kama alikuwa kiongozi mbona jina lake si kati ya historia ya majina ya viongozi wa Maka/Madina?
Ni logic tu ndogo wewe unadhani kuna mtu angeweza kumuongoza mtume? yeye ndo alikuwa kiongozi na alihusika na ukuzaji wa dola ya kiislamu na viongozi wanne maswahaba waliofuatia baada ya yeye kufariki wanaitwa makhalifa yaani waliokaa nafasi yake.

Alikuwa ndio amri ya mwisho katika wakati wake na ndio maana aliwapelekea barua mbalimbali viongozi wa roman, Persia n.k kuwaita kwenye uislamu.
 
Saa100 aliibukia Tanga,anatumbia Yuko ziara ya kikazi akitokea Unguja, anatuambia magufuli anatusalimia,wakati hatujamuuliza ,usiku anavaa gauni jeusi bila kupeperusha bendera ya Taifa,anasema Magufuli amefariki.
As simple as that!
Na Waziri Mkuu anasema Magu yupo ofisini anachapa kazi.
 
Mtume alisisitiza kuwa kuchelewesha haki au kuzembea katika kushughulikia dhuluma kunaweza kusababisha Mtaarufuku mkubwa katika jamii
Sahihi kabisa.....

Kutotolewa ripoti za uchunguzi za kupotea kwa watu na mamlaka husika ndio kunafanya watu binafsi kama kina 'Kabendera' kufanya chunguzi zao binafsi na kuibuka na tuhuma kama hizi.
 
Kama hakuhusika ufanyike uchunguzi huru na sio kumtetea mwendazake.
 
‘nimeambiwa’ au ‘niliambiwa’ -

Siri ipo hapa, Hakuna mahakama inayoweza mfunga ulimwengu huu kwa hayo maneno
 
What you soul you shall reap .

Familia haina sababu ya kuhangaika kumtetea baba yao , ipokee kila kitu na kukichukulia Kama sehemu ya mavuno ya Kazi ya mzee wao.

Kabendera yupo katika marking time yake anaamua kwenda mbele au arudi nyuma tofauti na hapo atajiumiza .

Kama ameamua kutoa ya moyoni aendelee kuyatoa tu na Kama ameamua kukaa kimya akae kimya .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…