Familia yangu Mke na Mtoto wangu Mkubwa wamepata tatizo la Akili naomba ushauri wakuu

Mungu hayupo na hajawahi kuwepo , hakuna Mungu unayemfahamu wewe au mimi kama yupo mthibitishe uwepo wake hapa .
Thibitisha kwanza wewe kuwa hayupo sio kuropoka maneno "Hayupo". Njoo na ushahidi
 
Mganga na mchawi wakapambane. Uwanja ni upi? Familia itaendelea kuumia
 
Tulia kwenye kile unacho kijua ila ukishindwa kuthibitisha unavunga tu
Sikia Wewe Hiyo Akili Sijawahi Kuiona Wala Kuihisi Ila Kila Siku Natamba Kwamba Nina Akili Wakati Wala Sijui Iko Wapi.
 
Pole sana mkuu.

Hebu nunua mafuta ya mzeituni umpake mwili wote na umnyweshe kijiko Cha chakula kimoja.

Baada ya hapo, Ukiona ametulia, Yani amepata afueni, basi jua huo ni ugonjwa wa kulogwa...

Unaweza fanya Kwa Binti Yako pia.

NB:
Mafuta ya mzeituni sio sumu kwani hutumika kupikia chakula Kwa watu walio na uchumi mzuri sababu yana gharama kubwa.
 
Kila mtu ana haki ya kuamini anachokitaka ili mradi asivunje sheria, umeamini uwepo wa Mungu humu na sio jukwaa la dini ninayo haki ya kuhoji uwepo wake bila kuvunja sheria za humu, na nina hoji hivyo ili nijue ni hakiki .
Ukisema una haki ya kuhoji una maanisha nini? Yani mtu kutumia uhuru wake wa kuamua kuamini Mungu wewe unapewa na nani haki ya kumhoji huyo mtu ambaye ameamua kuamini anachoamini? Kwa nini huyo mtu ahojiwe kwa kuamua kuamini Mungu? Kuonyesha unaamini Mungu kwenye hili jukwaa ni kosa? Au kuna sheria yenye kutaka kuhojiwa endapo utatangaza kuamini Mungu katika jukwaa hili?

Mimi nashangaa watu ambao mnajitambulisha kuwa hamuamini uwepo wa Mungu yani hamna imani kwenye madai ya uwepo wa Mungu na sababu ni kwamba hakuna uthibitisho, ila kutwa mpo humu kubishana habari za kuhusu Mungu.

Kama kweli kukosekana uthibitisho ndio sababu ya nyinyi kutokubali uwepo wa Mungu na kwamba hitaji lenu ni uthibitisho basi muusubirie huo uthibitisho hadi siku utakapopatikana maana mnajua kuwa hadi sasa haujapatikana, ila kutwa mpo kwenye kubishana habari za Mungu kana kwamba hamna uhakika na mnachokisimamia.
 
Kuffar
 
Wakuu sijafanikiwa bado Ila ambaye yupo tayari tuzungumze kuhusu kiwanja namkaribisha

Mawasiliano yangu 0624 117 794

Ningependa nianzie Milembe hospital Kwa Matibabu huku nikiendelea na Maombi kama mlivyonipatia ushauri.
Umejaribu kushirikisha upande wa kwao kama kuna changamoto zozote za namna hiyo zilishawahi kutokea kwenye ukoo wao?
 
Mkuu Kuna Komenti Yangu Humu Nimemwambia Mleta Mada Atafute Uzi Wako Wa Changamoto Ya kutembea Nimemshauri Ausome Alafu Akutafute Pm Nami Nimehisi Unaweza Kumsaidia.
Kama Yuko Siriasi Naomba Msaidie.
Hakika mkuu changamoto ya humu ndani ni unawez jikuta una msaidia adui pasipo kujua
 

Nguvu za Giza hizo, nenda kanisani ukaombewe kwa jina la YESU watapona...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…