Familia yangu Mke na Mtoto wangu Mkubwa wamepata tatizo la Akili naomba ushauri wakuu

Familia yangu Mke na Mtoto wangu Mkubwa wamepata tatizo la Akili naomba ushauri wakuu

Thibitisha uwepo wa Mungu achana na blabla kama hauwezi ukiakaa pembeni sio kwamba umeshindwa ni wewe haujui tu.
Unaleta vitu vya kukariri tu huo uthibitisho hata haujui unafananaje hata ukigewa, umekuwa wimbo tu uthibitisho uthibitisho.

Ingekuwa uthibitisho ndio unafanya watu kama nyie msikubali uwepo wa Mungu basi kusingekuwa na atheists ambao wangekuja kukubali uwepo wa Mungu maana hadi leo hakuna huo uthibitisho ndio maana hadi sasa wewe bado unaimba wimbo wa uthibitisho.
 
Pole Sana Baada ya kuwapeleka hospital Wapeleke kwenye maombezi au kwa waganga washachanganywa akili hao, wachawi sio watu wazuri....
 
Hili ni jukwaa huru nina haki ya kuhoji chochote bila matusi ndio maana unaona sijawahi kupigwa ban🤣🤣🤣😅
Kama Jukwaa Huru Mbona Hamtaki Kuwaacha Waamini Mungu Waandelee Kumwamini Kutwa Kucha Mnawadai Uthibitisho?
 
Unaleta vitu vya kukariri tu huo uthibitisho hata haujui unafananaje hata ukigewa, umekuwa wimbo tu uthibitisho uthibitisho.

Ingekuwa uthibitisho ndio unafanya watu kama nyie msikubali uwepo wa Mungu basi kusingekuwa na atheists ambao wangekuja kukubali uwepo wa Mungu maana hadi leo hakuna huo uthibitisho ndio maana hadi sasa wewe bado unaimba wimbo wa uthibitisho.
Thibitisha ili tujue kweli mimi sijui uthibitisho upoje
 
Jf wewe ukiandika Mungu sijui kitu gani nitaomba uthibitishe kama hauwezi unakausha tu., sijaona kama ina afya wewe kunipangia namna ya kuishi mkuu😆
Wewe ndio unapangia watu namna ya kuishi, mtu akisema kuna Mungu wewe unakereka unamtaka akuthibitishie wewe. Wewe nani na ili iweje?
 
Kama Jukwaa Huru Mbona Hamtaki Kuwaacha Waamini Mungu Waandelee Kumwamini Kutwa Kucha Mnawadai Uthibitisho?
Umeshikiwa panga au bunduki mkuu? Unaweza kuendelea kuamini na kuhubiri injili bila kunijibu mimi au mwingine.
 
Wewe ndio unapangia watu namna ya kuishi, mtu akisema kuna Mungu wewe unakereka unamtaka akuthibitishie wewe. Wewe nani na ili iweje?
Ishi unavyotaka humu sio kanisani wala msikitini kila kitu ni ndio.
 
Kama Jukwaa Huru Mbona Hamtaki Kuwaacha Waamini Mungu Waandelee Kumwamini Kutwa Kucha Mnawadai Uthibitisho?
Mtu anakuta mada ya inahusu mambo ya imani ila anaingia anaanza kudai uthibitisho et anasema haki yake, kaacha mada zengine huko ila habari za Mungu tu ndio kakimbilia kwenda kudai uthibitisho.
 
Ushauri wangu kwako usiwapele Kwa waganga wa kienyeji mpaka madaktari wa matazizo ya akili hospital waseme vipimo vyao havioni tatizo
 
Ushauri wangu kwako usiwapele Kwa waganga wa kienyeji mpaka madaktari wa matazizo ya akili hospital waseme vipimo vyao havioni tatizo
Ndo hasa napambania hili swala mpaka muda huu .

Ushauri wako naufanyia Kazi .
 
Umeshikiwa panga au bunduki mkuu? Unaweza kuendelea kuamini na kuhubiri injili bila kunijibu mimi au mwingine.
Sasa kwanini unadai uthibitisho mantiki yake ni ipi? Ni wazi unakereka basi kuona mtu anasema Mungu yupo ndio maana unashindwa kupotezea kama unavyopotezea mengine.
 
Back
Top Bottom