Familia yangu Mke na Mtoto wangu Mkubwa wamepata tatizo la Akili naomba ushauri wakuu

Angalia vizuri kwenye masuala yako ya kibiashara je haujamzulumu yoyote? Haujala dhulma? Haujatumia njia za mkato kwenye biashara ? Kama hauja fanya jambo lolote Mwombe Mungu atatenda. Kama umedhulumu yoyote mtafute mrudishie ulichodhulumu.

Mungu akuonyeshe njia iliyo sahihi.
 
Pole ndugu yangu kwa changamoto hizo.
 
Azingatie ushauri huu.
 
Hilo si jambo la kawaida, kuna nguvu za giza zimelenga kukutandika? Ulitapeli mtu kwenye kazi zako? Una maadui wale ambao unajua kabisa wanataka kukufanyia jambo fulani?

Ingia kwenye maombi mazito sana, hiyo ni vita. Pole kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…