Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OK basi sawa kikubwa asaidike na asiumizwe zaidi hasa kwenye upande wa gharamaSio kweli.... Mimi pia Huwa naenda kwa Mwamposa Mkuu...!
Mambo mengine kama Sadaka, fungu la 10 sijui kujimaliza Hiyo ni Mapenzi Yako....!
Kushiriki Ibada, kuombewa ni free Kwa Mwamposa.
Hapa hapa hapaAngalia vizuri kwenye masuala yako ya kibiashara je haujamzulumu yoyote? Haujala dhulma? Haujatumia njia za mkato kwenye biashara ? Kama hauja fanya jambo lolote Mwombe Mungu atatenda. Kama umedhulumu yoyote mtafute mrudishie ulichodhulumu.
Mungu akuonyeshe njia iliyo sahihi.
Kuhusu utapeli hapanaHilo si jambo la kawaida, kuna nguvu za giza zimelenga kukutandika? Ulitapeli mtu kwenye kazi zako? Una maadui wale ambao unajua kabisa wanataka kukufanyia jambo fulani?
Ingia kwenye maombi mazito sana, hiyo ni vita. Pole kaka
Unataka kumuingiza mwenzio chaka akapoteze muda wake bureChukua Mke na Watoto peleka Kawe kwa Mwamposa kwenye Maombi...! Usichelewe, hakuna gharama ni Bure....!
Hata kama hujui kusoma picha huoni...!?
Chunguza tena circle yako, kuishi vizur na watu haimaanish hutokuwa na maaduiKuhusu utapeli hapana
Maadui ndo sijajua Ila Mimi naishi tu vizuri na Watu.
Magonjwa ya akili yapo kwenye familia nyingi na ni ya kurithi. Naona watu mnakimbilia uchawi.Angalia vizuri kwenye masuala yako ya kibiashara je haujamzulumu yoyote? Haujala dhulma? Haujatumia njia za mkato kwenye biashara ? Kama hauja fanya jambo lolote Mwombe Mungu atatenda. Kama umedhulumu yoyote mtafute mrudishie ulichodhulumu.
Mungu akuonyeshe njia iliyo sahihi.
Mbona hujasema kuhusu wanaomwabia aende kwenye nguvu za Giza kwa wanamwingizà chaka atapoteza muda bure? Pamoja na fedha?Unataka kumuingiza mwenzio chaka akapoteze muda wake bure
Muombe m.mungu muweza wa yote,Nipo Kagera Bukoba Vijijini sehemu panaitwa Katoro.
Usimdanganye mkuu, hakuna bei. Kama anaweza aende ni BURENo never.. Uliza walioenda walichajiwa bei gani na hawakusaidika
Mwamposa ni Tapeli kama walivyo matapeli wengine Tu. Take it or leave it....Mbona hujasema kuhusu wanaomwabia aende kwenye nguvu za Giza kwa wanamwingizà chaka atapoteza muda bure? Pamoja na fedha?
Mambo ya Mungu tuu ndo yanapoteza muda?
Hapo sasa, wanataka asiende kwa Mungu abaki gizani waendelee kumtandikaMbona hujasema kuhusu wanaomwabia aende kwenye nguvu za Giza kwa wanamwingizà chaka atapoteza muda bure? Pamoja na fedha?
Mambo ya Mungu tuu ndo yanapoteza muda?
Sio kweli,Mwamposa ni Tapeli kama walivyo matapeli wengine Tu. Take it or leave it....
Sijakataa Ila ninazo shuhuda..kikubwa asaidikeUsimdanganye mkuu, hakuna bei. Kama anaweza aende ni BURE
Wewe na Mwamposa wote ni matapeli. PeriodSio kweli,
Anachokifanya Mwamposa ni kuinua au kuamsha imani yako ambayo ndiyo inakuponya. Sio yeye anayekuponya na ukifuatilia ibada zake utagundua hilo.
Ukienda bila imani, utarudi na changamoto zako. Sasa nani tapeli hapo kati ya wewe na Mwamposa.
Ila watu wakiambiwa waende kwa manyaunyau hutawasikia wakisema ni tapeli, lakini Mwamposa wanatokwa hadi na mapovu.Sio kweli,
Anachokifanya Mwamposa ni kuinua au kuamsha imani yako ambayo ndiyo inakuponya. Sio yeye anayekuponya na ukifuatilia ibada zake utagundua hilo.
Ukienda bila imani, utarudi na changamoto zako. Sasa nani tapeli hapo kati ya wewe na Mwamposa.