Familia yangu Mke na Mtoto wangu Mkubwa wamepata tatizo la Akili naomba ushauri wakuu

Kuhusu utapeli hapana
Maadui ndo sijajua Ila Mimi naishi tu vizuri na Watu.
Pole kwa changamoto mkuu, kikubwa kuwa makini usipoteze zaidi, hilo kombora lengo ni kukuacha ukiwa masikini.

Jikabidhi kwa mwenyezi Mungu, uwe msafi wa moyo kisha toa sadaka hata kama ni kidogo ila toa kwa wenye uhitaji kuliko wewe. Kwasasa jitahidi uende hospital.
 


Mungu ni chanzo cha uhai, afya, baraka, nguvu
Na hakuna linaloshindikana kwa Yesu Kristo Mungu mkuu
 
Magonjwa ya akili yapo kwenye familia nyingi na ni ya kurithi. Naona watu mnakimbilia uchawi.
Si maanishi uchawi , kabla hata ya kujua ni kurithi au la lazima ukague njia zako. Ukimdhulumu mtu hana haja ya kukuloga ili mambo yako yaende isivyo. Akimwomba Mungu tu inatosha.

Pili yeye kukutana na hili tatizo si kwamba anadhambi kuliko wengine.

Ndo maana mwisho nikamwomba Mungu amwonyeshe njia iliyo sahihi. Naandika nikijua hali ngumu anayopitia.

Matapeli nao wanaweza kufanya matatizo yake kuwa mtaji.
 
Ila watu wakiambiwa waende kwa manyaunyau hutawasikia wakisema ni tapeli, lakini Mwamposa wanatokwa hadi na mapovu.
Ajabu sana.

Halafu kwa manyau wanapigwa pesa ndefu. Kwa Mungu mfano kupitia Mwamposa na wengine ninaowajua sijawahi kusikia wanalipishwa ili waombewe. Zaidi ya sadaka zao za hiari kadri walivyoguswa.

Aende kuombewa
 
Duniani kuna mitihani sana..
Yani ,unapoyajua ya wenzio, ya kwako unayaona ni madogo sana.
Mwenyezi Mungu akunyooshee mkono, in the name of Christ.
Wapate uzima tena
 
Pole sana japo waswahili wanasema mkono mtupu haulambwi.
 
Pole sana mkuu

Shirikisha ndugu wa mkeo na ndugu zako hasa wale wanajua chimbuko la ukoo kutatua hyo changamoto 😎😐
 
Pole sana
 
Pole sana mkuu, I can feel you..

Mwenyezi Mungu akutangulie uvuke salama huo mtihani
 
Pole sana, wapeleke kwenye maombi kama una imani hiyo au kwa mganga kama unaimani hiyo, ila chunga matapeli maana hata hapa JF kuna waganga na unakuta mganga anaweza kuchat vizuri kabisa, huyo ni tapeli
 
Au kuna sehemu ulipita kwa mganga ukakosea? Kama sivyo basi hangaikia pande zote mbili za shilingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…