min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Thibitisha kalogwaWamerogwa hao kwahyo kuwa makini aisee uchawi upo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thibitisha kalogwaWamerogwa hao kwahyo kuwa makini aisee uchawi upo
Mungu yupi
Mungu hayupo na hajawahi kuwepo , hakuna Mungu unayemfahamu wewe au mimi kama yupo mthibitishe uwepo wake hapa .Unayemfahamu wewe
Kwahiyo unasema huenda Mungu ndo kamroga huyu jamaa na familia yake baada ya kuombwa na mtu aliyemdhulumu??? Yaani kama kuna sehemu kadhulumu basi karogwa na Mungu, au!?!?Si maanishi uchawi , kabla hata ya kujua ni kurithi au la lazima ukague njia zako. Ukimdhulumu mtu hana haja ya kukuloga ili mambo yako yaende isivyo. Akimwomba Mungu tu inatosha.
Pili yeye kukutana na hili tatizo si kwamba anadhambi kuliko wengine.
Ndo maana mwisho nikamwomba Mungu amwonyeshe njia iliyo sahihi. Naandika nikijua hali ngumu anayopitia.
Matapeli nao wanaweza kufanya matatizo yake kuwa mtaji.
Hii hoja ninaiunga mkono, Tena achukue hatua ya haraka maana huko milembe hatapata majibuChukua Mke na Watoto peleka Kawe kwa Mwamposa kwenye Maombi...! Usichelewe, hakuna gharama ni Bure....!
Hata kama hujui kusoma picha huoni...!?
Ninahisi pasipo na shaka kabisa kwamba katika mali ulizonunua kama vile kuku ama mazao kuna mali uliipata kwa WIZI. Hasa kama biashara hiyo uliifanyia Dodoma, Sumbawanga nk. Usizungushe zungusheHabari wanaJF .
Kiufupi Mimi Baba wa watoto watatu ambao wote ni wa kike.
Naishi nao pamoja na Mama yao .
Tumefanikiwa kuishi miaka 12 mpaka sasa katika ndoa yetu.
Changamoto kubwa ambayo ninaipitia ni hii hapa.
Mimi kazi yangu kubwa ambayo huwa nafanya ni kuuza mazao , kuku wa kienyeji huwa naenda kijijini naangalia bei ndogo ya bidhaa Kama mahindi au kuku nanunua na kuja kuuza mjini.
Kiufupi Mimi ni mjasiriamali wa kiwango cha chini ambaye bado napambana.
Jambo Ambalo limenifanya nije ni changamoto iliyompata mke wangu na watoto.
Familia yangu ilikuwa vizuri Ila ilianza kuingia changamoto ambazo zimeniumiza Sana Akili na kunipa mawazo.
Mwezi wa kumi Mke wangu alianza kuumwa kawaida kabisa nikampeleka hosptali kumpima ikaonekana hana tatizo .
Ila nikikaa nae usiku halali anaongea mambo Kama ya kuchizika Anapasua vitu ndani .
Sasa nikaona hii hali itakuwa mbaya nimempeleka hosptali zote za mkoa Government na private Ila tatizo lipo pale pale .
Napoandika hapa mke wangu amefungiwa ndani , sasa hii hali Kama ya Mke wangu imeanza kumungia mtoto wangu wa kwanza Ana umri wa miaka 10 anaongea peke yake anaharibu vitu ndani .
Akikaa kidogo na wadogo zake wanapigwa kipigo kikali Sana hivyo mtoto na mama yao ambaye ni mke wangu ni Kama wanaumwa ugonjwa unaofanana.
Nimefatilia Sana katika familia zetu kujua Kama kuna mtu amewahi kupitia hali Kama hii sijafanikiwa kupata majibu.
Baada ya yote haya nimeamua nisafiri nimpeleke hosptali inaitwa milembe ipo Dodoma nimpeleke Mama na mtoto wawafanyie uchunguzi.
Wakuu naumia Sana Kazi haziendi mtaji umekata .
Ikiwa kuna wadau wanaweza nisaidia 400K nikapata nauli na kumsafirisha huyu Mama na binti yetu nitashukuru , Endapo nikifika Dodoma gharama zikahitajika zaidi nafikiria pia kuuza kiwanja ambacho nilikinunua Kwa ajili ya ujenzi.
Mrejesho
Wakuu nashukuru Kwa ushauri wenu mpaka sasa niseme nitaufanyia Kazi kadri nitakavyojaliwa.
Pia nimeona nianze na hii hatua ya maandalizi ya kumpeleka mgonjwa Dodoma yeye na Binti yetu pale Milembe , nitafanya huduma za hosptalini Ila pia sitoacha kumuombea kila siku.
Ikiwa unataka kuwasiliana na Mimi au Kwa chochote Ni-PM.
Pia nina kiwanja Heka moja ni kiwanja kipo katika muundo wa shamba ninakiuza ili pia kinisaidie katika hiki kipindi .
Gharama ya kiwanja ni maelewano kipo Katoro Bukoba Vijijini (Kagera)
Mungu awabariki nyote.🙏🏽
Thibitisha kuwa ni uchawiUna wazazi? Naamini wangekupa ushauri mzuri zaidi. Hakuna cha Milembe hapo. Unaenda kupoteza hela na ndo lengo la mchawi.
Kama Mwamposa Ataendelea Kuwa Pale Kawe Na Kushindwa Kwenda Mahospitalini Kuponya Wagonjwa Nitakuwa Mtu Wa Mwisho Kuamini Drama .Mleta Mada Utoto Unakusumbua Au Ushamba Pia Inaweza Kuwa Sababu Katoro Yote Bukoba Yote Hakuna Waganga? Kwa Akili Ya Kawaida Tu Inaonyesha Kuna Uchawi Umetembelea Nyumba Yako Huko Milembe Wataambulia Kupewa Dawa Za Kuwazubaisha Ila Sio Za Kumaliza Hilo Tatizo.Sio kweli,
Anachokifanya Mwamposa ni kuinua au kuamsha imani yako ambayo ndiyo inakuponya. Sio yeye anayekuponya na ukifuatilia ibada zake utagundua hilo.
Ukienda bila imani, utarudi na changamoto zako. Sasa nani tapeli hapo kati ya wewe na Mwamposa.
Unawezaje kuamini uchawi usio thibitika na ukashindwa kumwamini mwamposa?Kama Mwamposa Ataendelea Kuwa Pale Kawe Na Kushindwa Kwenda Mahospitalini Kuponya Wagonjwa Nitakuwa Mtu Wa Mwisho Kuamini Drama .Mleta Mada Utoto Unakusumbua Au Ushamba Pia Inaweza Kuwa Sababu Katoro Yote Bukoba Yote Hakuna Waganga? Kwa Akili Ya Kawaida Tu Inaonyesha Kuna Uchawi Umetembelea Nyumba Yako Huko Milembe Wataambulia Kupewa Dawa Za Kuwazubaisha Ila Sio Za Kumaliza Hilo Tatizo.
Ninachokushauri Kuna Mdau Hapa Jf Alileta Uzi Wake Una kichwa Cha Habari Kinachosema "CHANGAMOTO YA KUTEMBEA"Kama Kuna Mdau Anaweza kuupandisha Ule Uzi Afanye Hivyo.
Ukishausoma Mfuate Pm Mwenye Uzi Muulize Akupeleke Kwa Mganga Wake Aliyemtibia Ninatumai Utasaidika Acha Mambo Ya Hospitali Huu Ni Ushauri Wa Mwafrika Kwenda Mwafrika Ukibisha Shauri Yako .
Jina La Yesu Lipo Ila Kila Siku Watu Wanataabika Na Magonjwa,Njaa,Vita Na Makolokolo Kibao Mungu Alipokuumba Alikuwekea Akili Ikawe Msaada Kwenye Maisha Yako Acha Kuigeuza Akili Yako Kama Sofa La Pale Sebuleni .Jee Kuna Neno Gumu Loloteeeee Asiloliweza? Yesu Kristo Mponyaji naye akujalie uponyaji katika Familia Yako.
Acha Upimbi Kupeana Ushauri Wa Kijinga Ebu Anza Wewe Kujiombea kila Simu Ikiisha Bando Ombea Simu Yako Yesu Aweke Bando Kwa Jina Lake.Tafuta Kanisa wapeleke wakaombewe, fedha na Mali hatuna Sababu ya kukupa maana huo sio ugonjwa wa unakompeleka, tulichonacho ni kwamba mpeleke akaombewe!
Acha Upimbi Kupeana Ushauri Wa Kijinga Ebu Anza Wewe Kujiombea kila Simu Ikiisha Bando Ombea Simu Yako Yesu Aweke Bando Kwa Jina Lake.
Daaaah, pole sana mkuu. Mungu akakufanyie wepesi katika changamoto hizi ndugu yangu..Habari wanaJF .
Kiufupi Mimi Baba wa watoto watatu ambao wote ni wa kike.
Naishi nao pamoja na Mama yao .
Tumefanikiwa kuishi miaka 12 mpaka sasa katika ndoa yetu.
Changamoto kubwa ambayo ninaipitia ni hii hapa.
Mimi kazi yangu kubwa ambayo huwa nafanya ni kuuza mazao , kuku wa kienyeji huwa naenda kijijini naangalia bei ndogo ya bidhaa Kama mahindi au kuku nanunua na kuja kuuza mjini.
Kiufupi Mimi ni mjasiriamali wa kiwango cha chini ambaye bado napambana.
Jambo Ambalo limenifanya nije ni changamoto iliyompata mke wangu na watoto.
Familia yangu ilikuwa vizuri Ila ilianza kuingia changamoto ambazo zimeniumiza Sana Akili na kunipa mawazo.
Mwezi wa kumi Mke wangu alianza kuumwa kawaida kabisa nikampeleka hosptali kumpima ikaonekana hana tatizo .
Ila nikikaa nae usiku halali anaongea mambo Kama ya kuchizika Anapasua vitu ndani .
Sasa nikaona hii hali itakuwa mbaya nimempeleka hosptali zote za mkoa Government na private Ila tatizo lipo pale pale .
Napoandika hapa mke wangu amefungiwa ndani , sasa hii hali Kama ya Mke wangu imeanza kumungia mtoto wangu wa kwanza Ana umri wa miaka 10 anaongea peke yake anaharibu vitu ndani .
Akikaa kidogo na wadogo zake wanapigwa kipigo kikali Sana hivyo mtoto na mama yao ambaye ni mke wangu ni Kama wanaumwa ugonjwa unaofanana.
Nimefatilia Sana katika familia zetu kujua Kama kuna mtu amewahi kupitia hali Kama hii sijafanikiwa kupata majibu.
Baada ya yote haya nimeamua nisafiri nimpeleke hosptali inaitwa milembe ipo Dodoma nimpeleke Mama na mtoto wawafanyie uchunguzi.
Wakuu naumia Sana Kazi haziendi mtaji umekata .
Ikiwa kuna wadau wanaweza nisaidia 400K nikapata nauli na kumsafirisha huyu Mama na binti yetu nitashukuru , Endapo nikifika Dodoma gharama zikahitajika zaidi nafikiria pia kuuza kiwanja ambacho nilikinunua Kwa ajili ya ujenzi.
Mrejesho
Wakuu nashukuru Kwa ushauri wenu mpaka sasa niseme nitaufanyia Kazi kadri nitakavyojaliwa.
Pia nimeona nianze na hii hatua ya maandalizi ya kumpeleka mgonjwa Dodoma yeye na Binti yetu pale Milembe , nitafanya huduma za hosptalini Ila pia sitoacha kumuombea kila siku.
Ikiwa unataka kuwasiliana na Mimi au Kwa chochote Ni-PM.
Pia nina kiwanja Heka moja ni kiwanja kipo katika muundo wa shamba ninakiuza ili pia kinisaidie katika hiki kipindi .
Gharama ya kiwanja ni maelewano kipo Katoro Bukoba Vijijini (Kagera)
Mungu awabariki nyote.🙏🏽
Mkuu Kuna Komenti Yangu Humu Nimemwambia Mleta Mada Atafute Uzi Wako Wa Changamoto Ya kutembea Nimemshauri Ausome Alafu Akutafute Pm Nami Nimehisi Unaweza Kumsaidia.Mimi nina njia lakini mpaka nikujue vuzuli mkuu
Pamoja na hayo nikupe pole sana ndugu yangu nahisi nina ihisi hali unayo ipitia
Tatizo ni sina hakika kama nikweli au rah
Ndiyo ni vema kujiepusha, maana hatujuwi chanzo cha matatizo ni nini.Kuku wa wizi tena
Kama Una Changamoto Hiyo Mtafute Memba Mmoja Wa Kuitwa KILLING MACHINE.Ila Kama Unahitaji Michango Tu Naomba Mungu Usipate Hata Mia.0624 117 794
Napatikana Napa hata Kwa kunipa Muongozo tu nitashukuru pia.
Ndiyo ni vema kujiepusha, maana hatujuwi chanzo cha matatizo ni nini.