GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kuendelea tu Kunyamaza Kwenu kama sehemu ya ( za ) Familia ni kutoa mwanya kwa Wazushi na Wambea ' Kutudanganya ' Watanzania na kuanza kuishi kwa Taharuki ( Wasiwasi ) kitu ambacho nakiona kama vile hakina Ustawi Kwetu.
Ila GENTAMYCINE huwa nikisia Taarifa za chini chini ( za Uzushi ) kuwa Mkubwa ( VIP ) fulani amefariki dunia huwa naogopa kwani taarifa hizi katika Kuzifuatilia Kwangu kwa 85% huwa zina usahihi.
Ewe Mwenyezi Mungu nakuonba tuepushe na Misiba ya Wapendwa ( VIP's ) wetu nchini Tanzania kwani bado tunawahitaji sana ukiwachukua utatunonesha tena Vidonda vya Vilio ambavyo vitaiingiza Serikali Gharama kubwa na hatimaye mwakani kushindwa Kupandisha ' Mishahara ' kwa Watumishi ( Wafanyakazi ) wake.
ANGALIZO
Uzi huu hauhusiani na Taarifa yoyote ile ya ' Kizushi ' inayoendelea ama ndani au nje ya Tanzania bali ' Malaika ' wangu wazuri ambao huniongoza Kuandika na Kuanzisha Mada hapa JamiiForums Usiku huu ' wamenilazimisha ' nilisisitize hili kutokana na Umuhimu ( Unyeti ) katika Jamii yetu na Masikio yetu.
Ila GENTAMYCINE huwa nikisia Taarifa za chini chini ( za Uzushi ) kuwa Mkubwa ( VIP ) fulani amefariki dunia huwa naogopa kwani taarifa hizi katika Kuzifuatilia Kwangu kwa 85% huwa zina usahihi.
Ewe Mwenyezi Mungu nakuonba tuepushe na Misiba ya Wapendwa ( VIP's ) wetu nchini Tanzania kwani bado tunawahitaji sana ukiwachukua utatunonesha tena Vidonda vya Vilio ambavyo vitaiingiza Serikali Gharama kubwa na hatimaye mwakani kushindwa Kupandisha ' Mishahara ' kwa Watumishi ( Wafanyakazi ) wake.
ANGALIZO
Uzi huu hauhusiani na Taarifa yoyote ile ya ' Kizushi ' inayoendelea ama ndani au nje ya Tanzania bali ' Malaika ' wangu wazuri ambao huniongoza Kuandika na Kuanzisha Mada hapa JamiiForums Usiku huu ' wamenilazimisha ' nilisisitize hili kutokana na Umuhimu ( Unyeti ) katika Jamii yetu na Masikio yetu.