Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #21
Kwa hiyo tukuache upumzike?Acha fujo aisee!😂😂😂
Kuna Watu wanafujo watakuja ndio najihami😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo tukuache upumzike?Acha fujo aisee!😂😂😂
Defensive mechanism hiyo.Rudi ujibu masuala/maswali na masihara hapa!Kuna Watu wanafujo watakuja ndio najihami😀
Defensive mechanism hiyo.Rudi ujibu masuala/maswali na masihara hapa!
Kuwa na ngozi ngumu.Wengine tunapenda kukutania tu.No hard feelings!Hawa Watu wa mitandaoni hujivika tabia za kishenzi ili kukukomesha
Imani bila matendo ni sawa na kupika kwa kuweka sufuria kando ya majife ya moto chakula hakitaiva, hivyo hivyo kwa kujipa imani kuwa ukisali sana ndio laana zinaondoka huku matendo yako bado yakiwa ni ya hovyo then jua unajidanganya.Laana za ukoo na familia tunaziondoa Kwa kufanya toba na maombi ya nguvu ili kuvunja hiyo laana isiende Kwa uzao wako na wajukuu wako..
Haya maombi tunafanya Sana kanisani kwetu tena sometimes kunakuwa na semina ya wiki nzima tunafundishwa jinsi ya kuondokana na laana za kurithi.
Laana za ukoo haziondoki Kwa maombi ya jumapili Hadi jumapili Bali unahitaji utakaso wa Moyo huku ukifunga na kukesha ukiomba MUNGU, Sisi ambao tumeamua kujikita Kwa MUNGU tunajua haya
Ni wapi mkuuLaana za ukoo na familia tunaziondoa Kwa kufanya toba na maombi ya nguvu ili kuvunja hiyo laana isiende Kwa uzao wako na wajukuu wako..
Haya maombi tunafanya Sana kanisani kwetu tena sometimes kunakuwa na semina ya wiki nzima tunafundishwa jinsi ya kuondokana na laana za kurithi.
Laana za ukoo haziondoki Kwa maombi ya jumapili Hadi jumapili Bali unahitaji utakaso wa Moyo huku ukifunga na kukesha ukiomba MUNGU, Sisi ambao tumeamua kujikita Kwa MUNGU tunajua haya
Lakini Kuna mungu superiorLaana ni wewe kukataa dini yako ya asili na kuwa mtumwa wa dini za wazungu.
ushawahi kuona mchina anatolewa mapepo?
Lakini Kuna mungu superior
Mungu wa waafrika hawezi tengeneza hata toothpick ni dhaifu sana
Ndo mama walisubdue kwa mungu wa wazungu
Mungu yeyote ukimwita na ukimuabudu anakutambuaMungu wa wazungu anatengeneza toothpick?
Kwanini unaabudu Mungu wa wazungu ambae hakutambui?
EAGT CHAMAZI MBAGALANi wapi mkuu