kuna family business ya close relatives naona inakoelekea sio kuzuri and i am so concerned, Binafsi nimepewa huu mkasa na moja wanafamilia ila nikaona mawazo yangu pekee yanaweza yasitoshe.
OK ipo hivi....
Inatokea mna family business mliachiwa na wazazi muisimamie.
Kaka mwenye nafasi kubwa kwenye maamuzi ana mke ambae kamshika sana masikio.
Mwanzoni aliingiza ndugu yake dereva mtoto wa mjomba wake, akaja kumuingiza muhasibu mtoto wa baba mdogo, kuna nafasi mbili nyingine anataka aingize ndugu zake wawili wa ziada kwenye ofisi ya tawi la mkoa mwengine, kuna mdogo wake na mtoto wa shangazi yake -nafasi hizo ni meneja wa tawi na muhasibu.
Naanza kuona kwanini ni ngumu kufanya family business kwetu waafrika
OK ipo hivi....
Inatokea mna family business mliachiwa na wazazi muisimamie.
Kaka mwenye nafasi kubwa kwenye maamuzi ana mke ambae kamshika sana masikio.
Mwanzoni aliingiza ndugu yake dereva mtoto wa mjomba wake, akaja kumuingiza muhasibu mtoto wa baba mdogo, kuna nafasi mbili nyingine anataka aingize ndugu zake wawili wa ziada kwenye ofisi ya tawi la mkoa mwengine, kuna mdogo wake na mtoto wa shangazi yake -nafasi hizo ni meneja wa tawi na muhasibu.
Naanza kuona kwanini ni ngumu kufanya family business kwetu waafrika