The Eric JF-Expert Member Joined Feb 23, 2019 Posts 6,446 Reaction score 10,976 May 8, 2024 #21 Mtendaji mkuu wa kampuni ni nani???? Swali na wajumbe ni kina nani??? Brother awekwe bench.....
K kina kirefu JF-Expert Member Joined Dec 14, 2018 Posts 15,188 Reaction score 18,583 May 8, 2024 #22 Wanawake mnaowaoa na ndg zao wasihusike kabisa kwenye biashara zenu. Itisheni kikao cha nyie siblings ,azimieni hayo
Wanawake mnaowaoa na ndg zao wasihusike kabisa kwenye biashara zenu. Itisheni kikao cha nyie siblings ,azimieni hayo