Geoff on my side I would like very much to turn around and go back to where we came from enzi za Family Marriages hasa kwa kuwa kwangu mie naona ndizo zilizokuwa na amani, utulivu, respect you name it- No one alikuwa anajifanya anajua kumzidi mwenzie kila mmoja alijua responsibilities zake kama mke au mume.
Zaidi ya hayo, maadili yalikuwepo kwani mume anaoa mke ambaye amepasishwa mtihani wa tabia na heshima, utulivu e.t.c lakini mume pia anakubaliwa kupewa binti kwa kuwa anafahamika vema tabia na utendaji wake kikazi. Respect inakuwepo kwa kuwa mtu unajua ukifanya upuuzi unakuwa unawaaibisha wazazi wako ambao wanawajibika kw awazazi wa mwenzi wako. Hii ilikuwa inaact kama displine mechanisms kwa wanandoa.
Lakini kwenye love marriage ni ugonjwa mtupu maana tumekwishakuwa brainwashed hadi hatuna tena cha asili. Tunakutana mtaani in the name of 'we love each other' tunakokotana hadi tunapofikia makubaliano ya kuoana ndipo wazazi wanapopata fursa ya kukutana na wazazi wa mkwe wao tena kukutana kwenyewe ni siku ya send off na arusi basi- no more attachment wala nini kiasi kwamba hata watoto wakigombana wazazi hawana mshikamano wowote sana sana kila mmoja anaona mwana wa mwenzie hakumfaa wa kwake! Na sisi tunapogombana/fanyiana uhuni hatuipati ile ladha ya 'ah wazazi wangu wataaibika kwa wazazi wa mwenzangu'
Westerners wametuambukiza ugonjwa mbaya sana unaoitwa haki za binadamu ambazo tumezitafsiri kwenda kuwa haki za mke v/s haki za mume! Mwanamke anajua haki zake (Including haki ya kucheat kama mumewe kacheat!!! ukorofi kama mumewe ni mkorofi!! yaani wenyewe wanasema anamwaga mboga kama mumewe kamwaga ugali ngoma droo yaani ubabe ubabe tu)
I would prefer to go back kule ambako you dont care kama mtu anakupenda au la (kupenda ya kizungu -ya sijui maua , card) all you care ni kuwa amekuchagua wewe uwe wake (kwa kigezo chochote kile) anakuheshimu na kukujali, anaelewa wajibu wake kama mume/mke na baba/mama wa familia. But kurudi kule a lot has to be changed ambayo si rahisi