Famlia yangu ina roho mbaya msaada wa kisheria pls

Famlia yangu ina roho mbaya msaada wa kisheria pls

KRISTIAN P

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2013
Posts
352
Reaction score
57
Habari zenu waheshimiwa,kwenye familia yangu kuna tatizo kubwa sana kati yangu na ndugu na kisa mafanikio yangu madogo wanataka kunitoa roho,kifupi kuna binti naishi naye nimezaa naye mtoto kwasasa ana umri wa miaka 4,ila kwetu uyu binti awampendi na ndio chanzo mpaka leo sijamuoa kwan mama yangu anasema nikiedelea kuishi na huyo binti ata nipa radhi na familia yangu ina msupport mama yng,kifupi kwamba mama yangu anaishi ulaya kwa muda mwingi mwaka 1998 aka nichukua kwenda kusoma nika fanikiwa nika maliza masomo uko,ila maisha ya ulaya na mm tofauti nikahamua kurudi bongo baada ya masomo 2008 na kuwekeza nina ofisini yng ina ningizia kipato na nimepanga kwangu naishi na yule msichana niliye zaa naye ila familia yangu inapiga. Mama yng ana nyumba mbili hapa mjini na ndug wengi waishi kwenye hizo nyumba kwa miaka mingi sasa wanasema kwann nipange na wakati nyumba za bure zipo,na kwakua mama yupo nje ya nchi miaka mingi aliniachia ni muangalizie kumchukulia kodi na kutumia,juzi karudi wame mjazaa maneno basi mwaka jana wakaja pale napo ishi waka nifanyia fujo wakavunja kila kitu cha ndani mpiga yule msichana wangu,wa kamtupa mtoto wng barabarani,nilivyo ona hivi nikachukua huamuzi wa kwenda polisi wakaja pale home waka wachukua ndug zng mpaka kituo cha polisi,waka muhoji mama anadai ataki nipange na ataka nirudi nyumbani la sivyo anachukua kila kitu changu,ndug waka anza rudi tu nyumbani uyu mama yako usi mdharau ila mm ni kabaki na msimamo wng sikurudi nyumbani na polisi wakasema warudishie kila kitu walicho chukua kwangu tatizo lina kuja wapi mama yangu ana roho mbaya sana kwa mfano nina kiwanja ataki niandike jina la mtoto wangu anaogopa yule mwanamke wng atachukua kila nacho fanya nisi muadikishe mtoto wng jamani hii haki kweli damu yng mwenye?? Wasi wasi wng upo kuna kesho naweza ni kawa sipo waka mzulumu mtoto wng haki yake je nifanyeje kuginga hizi mali zng???
 
Mmh! ngoja waje wanasheria maana humu ni kila kitu.
 
Mh kwanini hawamtaki huyo dada?
Unaumri chini ya miaka 18 mbona kama wanataka kukumiliki?

POLE SANA, But Nakupongeza kwa msimamo wako kwani hayo ni maisha yako. Kama wewe na huyo dada manaelewana endelea kuishi naye na jaribu kukaa na mama yako kwa upole na nia njema mwambie huyo ndio chaguo lako na anakufaa wewe.

Hao ndugu wanamaisha yao na waangalie maisha yao!
 
Mbona simpo tu Kristian, Baki na msimamo wako tu, hayo ni maisha yako na ni lazima ujenge familia yako.

Mwambie mama yako hata wewe huridhiki akikaa ulaya aache kila kitu arudi akibisha mwambie ni maisha aliyochagua kama wewe ulivyochagua maisha yako. Hao ndugu nao wanakuwa tofauti na wewe sababu ya kumfurahisha mama wa ulaya tu, waonekane wazuri.

Kwa hali ilivyo ndugu yangu, beba mpenzi wako huyo nenda bomani kafunge ndoa kwanza awe kisheria zaidi alafu harudi za kanisani / msikitini itafuata.

Kwani uliponunua kiwanja uliuliza uandike jina la nani? Si ni kiwanja chako kwanini uulize watu uandikeje? Andika unavyojisikia na si lazima wajue umeandika nini.
 
Wewe mwenyewe ujitambue kwanza kwamba ni mtu mzima mwenye maamuzi juu ya hatma yako.

Iwapo huyo bibie uliyenaye unampenda kwa dhati - funga naye ndoa. Ruhusa ya mama sio ya lazima japo ni wazi ingependeza angetoa baraka zake. Ni kwa vile hujafunga ndoa ndio maana wanafikiri wanaweza kukubadilisha ukaoa wamtakaye wao.

Hilo la kulazimishwa kuishi kwenye nyumba ya familia ni kwamba ukitegeka ukakubali utapata shida zaidi - si umeshaonja adha yake tayari!.

Komaa kabisa katika maamuzi yako itafika wakati mama na ndugu wengine watakuelewa na kukubali matokeo.
 
thats the true pic of a woman. sisemi kwamba nafurahia bali nasikitika as mama kama huyu ndo wanaowafanya wanaume wa generalize na kuweka propaganda kwamba wanawake hawapendani. cc Kaunga

ndugu mtoa mada kwanza jua kabisa kwamba maisha yako ni complimentary yako hakuna atakaye faidi furaha na amani yakoa zaid yako wewe mwenyewe na familia yako. sichelei kukwambia kwamba mama yako ni wale akina mama ambao bado mpaka leo wanawachagulia watoto wao wake kwa kigezo cha ni mwanangu kasoma na nina hela. (ingawa when need arises naweza kujikuta namkatalia mwanangu asimwoe binti fulan)

to me ninachokiona hapo ni utayari wako wa kuyapigania maisha yako. tayari umeshajua mkeo hapendwi kuwe so defensive kwake mtetee mkeo kwa hali na mali. mpende na mwonyeshe kwamba ni zaid ya chochote kwako.

ita kikao cha ukoo waambie wazi kwamba wakuache wewe na mais yako na unachofanya chochote cha maendeleo huna sababu ya kuwaambia kwani hawapaswi kujua mnavyovifanya wewe na mkeo. jenga nyumba wewe na mkeo, nunua viwanja wewe na mkeo usimwambie chochote kile.

nitarudi baadae naenda mkutanoni.
 
Last edited by a moderator:
Pole sana,ninachofahamu mimi ni kuwa radhi ya mama huja pale kama mtoto una makosa kwa imani zetu sisi waafrika na kwa mtu anayezifuatilia lakini sioni kosa lako kwenye maelezo yako,usiogope kusimamia kile unachoona ni bora kwako na hata siku moja usiruhusu mtu yeyote akuingilie katika maamuzi yako.
Kama ndugu zako wanakufanyia fujo unaweza kuchukua hatua za kisheria na ukawa nao mbali na kuishi maisha yako bila bughudha,kuwa na mama huwa ni faraja kwa kila mtoto lakini inapofikia unaishi kwa wasiwasi kwa ajili tu anaitwa mama kwa kweli haikubaliki,natumai baba yako hakulazimishwa kumuoa mama yako vivo hivyo wewe hakuna wa kukulazimisha kuoa.
 
Wanachekesha .. Hayo maisha yako hayawahusu!

Wanakulazimisha ukakae kwenu ili hali wewe una uwezo wa kukaa kwako.. Wana akili kweli???

Au wamekutafutia mchumba Mwingine?

BTW.. Wanakupa sababu gani za kumkataa huyo bint??

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Habari zenu waheshimiwa,kwenye familia yangu kuna tatizo kubwa sana kati yangu na ndugu na kisa mafanikio yangu madogo wanataka kunitoa roho,kifupi kuna binti naishi naye nimezaa naye mtoto kwasasa ana umri wa miaka 4,ila kwetu uyu binti awampendi na ndio chanzo mpaka leo sijamuoa kwan mama yangu anasema nikiedelea kuishi na huyo binti ata nipa radhi na familia yangu ina msupport mama yng,kifupi kwamba mama yangu anaishi ulaya kwa muda mwingi mwaka 1998 aka nichukua kwenda kusoma nika fanikiwa nika maliza masomo uko,ila maisha ya ulaya na mm tofauti nikahamua kurudi bongo baada ya masomo 2008 na kuwekeza nina ofisini yng ina ningizia kipato na nimepanga kwangu naishi na yule msichana niliye zaa naye ila familia yangu inapiga. Mama yng ana nyumba mbili hapa mjini na ndug wengi waishi kwenye hizo nyumba kwa miaka mingi sasa wanasema kwann nipange na wakati nyumba za bure zipo,na kwakua mama yupo nje ya nchi miaka mingi aliniachia ni muangalizie kumchukulia kodi na kutumia,juzi karudi wame mjazaa maneno basi mwaka jana wakaja pale napo ishi waka nifanyia fujo wakavunja kila kitu cha ndani mpiga yule msichana wangu,wa kamtupa mtoto wng barabarani,nilivyo ona hivi nikachukua huamuzi wa kwenda polisi wakaja pale home waka wachukua ndug zng mpaka kituo cha polisi,waka muhoji mama anadai ataki nipange na ataka nirudi nyumbani la sivyo anachukua kila kitu changu,ndug waka anza rudi tu nyumbani uyu mama yako usi mdharau ila mm ni kabaki na msimamo wng sikurudi nyumbani na polisi wakasema warudishie kila kitu walicho chukua kwangu tatizo lina kuja wapi mama yangu ana roho mbaya sana kwa mfano nina kiwanja ataki niandike jina la mtoto wangu anaogopa yule mwanamke wng atachukua kila nacho fanya nisi muadikishe mtoto wng jamani hii haki kweli damu yng mwenye?? Wasi wasi wng upo kuna kesho naweza ni kawa sipo waka mzulumu mtoto wng haki yake je nifanyeje kuginga hizi mali zng???

Mkuu Krisitian:

Mosi, pole sana kwa yanayokusibu.

Pili; Je nini asili ya 'hiyo dhambi ya roho mbaya', naona kama baba yako umuongelei humu? Je, huko ndiko chimbuko la hili tatizo? mama kuwa na mawengewenge.

Tatu, unayo haki ya msingi kumuoa mtu yoyote unayempenda kwa mujibu wa sheria. Na unayo haki ya msingi kumrithisha mtu yoyote yule mali zako.

Nne, ni wewe tu mwenye uamuzi wa mwisho, kusuka ama kunyoa.
 
mimi cio mwanasheria,lakin naomba nitoe maoni kulingana na mila na desturi,kimsing mimi ni mhanga wa kesi kama hiyo na roho inaniuma sana ninapoona mtu anapitia kitu kama hicho.kwakuwa umezaa na huyo dada nashindwa kusema lolote kama unaweza tafuta mahali uhamie ili uwe mbali nao.lakin mngekuwa bado hamjafanikiwa kupata mtoto ningekushauri mtengane.mama zetu wa kibongo ni noma kwakwel.pole kaka angu.lakini kwanini kila siku ni akina mama ,bona sijawahi kusikia baba?kunani watoto wa kiume na mama zenu?mie nimefikia hatua hata sioni maana ya kuolewa bora ubaki alone kuliko kila siku maneno ya mama mkwe na mawifi.kiukwel akina mama tunaudhaifu sana na ndio tunaochangia kuaharibu maisha ya watoto wetu.endeleeni kumuomba mungu hayo ni mapito tu uenda siku moja yataisha,japo kwangu ni miaka saba hayajaisha na hakuna ndugu anayenitaka hata mmoja.POLENI JAMANI.
 
Mh kwanini hawamtaki huyo dada?
Unaumri chini ya miaka 18 mbona kama wanataka kukumiliki?

POLE SANA, But Nakupongeza kwa msimamo wako kwani hayo ni maisha yako. Kama wewe na huyo dada manaelewana endelea kuishi naye na jaribu kukaa na mama yako kwa upole na nia njema mwambie huyo ndio chaguo lako na anakufaa wewe.

Hao ndugu wanamaisha yao na waangalie maisha yao!

Wakiamua hata hawaangalii umri.wanaboa kwelikweli.
 
Nashukuru ndug, baba simjui nasikia tu alishakufa yani uyu ni mama yng ila anayo nifanyia siyo kabisa kwan ata siku moja sijaenda kwake kumuoba ata sh.kumi najitemea mwny kodi nalipa wmny mtoto wng pia na msomesha sijaua jua tatizo lao ni nn mm nahisi itakua izo nyumba za ulisi labda
 
ni kweli na miaka 25 ila uyu mama ana taka kunitala yanikm bado mtoto mdogo atakacho sema yeye basi kwng ndio kizuri ni kifate yan nina kila kitu kasoro upendo wa mama wa kuni supprot ianuma sana
 
Kifupi mama yng ana matatizo yan akuna ata msichana wala waume wa dada zng ana wakubali anapenda kuwatoa kasoro mara uyo mwanamke ana nironga wakati ata kumjua alikuwa hamjui kaja kumuona mwaka jana ata aja ka nae akaongea naye alipofika ndio wakaja kunifanyia hizo fujo,yani familia nzima walikuwa wana beba zitu wajomba,shangazi,baba wadogo walikuja na kenta usiku hapo nilipo banga.. mama aka mtupa mtoto wng nje barabarani
 
Endelea kupanga,jenga kibanda chako uhamie.endelea kulea mchumba na mtoto vizuri.sii vizuri kuzaa na wanawake wengine tena.siku mama atakapo fariki hao ndugu zako watajua ulikua na maana!
 
Na ndio nilichofanya kuhama pale nyumbani ili kuwa kwepa lakini kuna maza wng mkubwa ata yy alisema radhi inakupata km kweli ume mkosea mama yako,ila tatizo usalama wng na familia ndio nafikiria labda kutafuta mwanasheria nikaongea naye nikajua ata nisaidia vp kwan uyu mama bado anachonga
 
Kikao nilisha ita kwakua ndug nao wana nipinga nika waita rafiki wa mama yng wa muda mrefu na baba wng wa kambo waka tuweka chini,nika wambia lakini uyu mama aelewi anataka atakacho sema yy ndio kiwe ivyo,na kauli yako iyo ya wale wakina mama wanao wachagulia watoto waho ni kweli na ana jisifia ana pesa ni zake siyo zng mm na maisha yng
 
Nilienda kumwambia mama na kiwaja nime nunua nilijua labda ata furahi mwanae na jituma cha kwanza alicho niuliza umeandika jina la nan?? na akasema nasikia kwenye ofisi yako umeandika jina la mtoto wako wat this?? roho inauma sana nafikiria nichukue atua za kisheria wasije kuja nunialibia maisha alafu badae waka baki wana nicheka
 
Back
Top Bottom