Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kweli na miaka 25 ila uyu mama ana taka kuni talawa yani km bado mtoto mdogo atakacho sema yeye basi kwng ndio kizuri ni kifate yan nina kila kitu kasoro upendo wa mama wa kuni supprot inauma sana una sikia watu wana wasifia mama zaho mm sina la kujisifia
Mwanaume ni maamuzi, na ndio maana Mwanamke hakuumbwa kuwa kiongozi kwani jifunze kwenye hiyo vurugu !
Kama kweli unajitegemea kwa 100% basi fanya yafuatayo;
Oa kwa taratibu zote bila kutegemea msaada wa yeyote !
Hakuna haja ya mtu yeyote kujua wewe una nini na umemwandika nani !
Waambie ndugu zako (ikiwa pamoja na mama) wachague 'either be with u or against you'
Wale against you, wapige P.I yaani hakuna ruhusa kukanyaga kwako !
Mama muheshimu ila muonyeshe wazi hauko tayari kuingiliwa !
Huyo ndio mwanaume wa kweli, kama yule wa DUME !
Nashukuru ndug, baba simjui nasikia tu alishakufa yani uyu ni mama yng ila anayo nifanyia siyo kabisa kwan ata siku moja sijaenda kwake kumuoba ata sh.kumi najitemea mwny kodi nalipa wmny mtoto wng pia na msomesha sijaua jua tatizo lao ni nn mm nahisi itakua izo nyumba za ulisi labda
Mwanaume ni maamuzi, na ndio maana Mwanamke hakuumbwa kuwa kiongozi kwani jifunze kwenye hiyo vurugu !
Kama kweli unajitegemea kwa 100% basi fanya yafuatayo;
Oa kwa taratibu zote bila kutegemea msaada wa yeyote !
Hakuna haja ya mtu yeyote kujua wewe una nini na umemwandika nani !
Waambie ndugu zako (ikiwa pamoja na mama) wachague 'either be with u or against you'
Wale against you, wapige P.I yaani hakuna ruhusa kukanyaga kwako !
Mama muheshimu ila muonyeshe wazi hauko tayari kuingiliwa !
Huyo ndio mwanaume wa kweli, kama yule wa DUME !