Display Name
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 423
- 451
Diamond with his mum
Samahani lakini, hivi D'mond ni rapper?
Asilimia kubwa ya wamarekani hasa weusi wanakulia maisha ya mzazi mmoja ambaye mara nyingi ni mama,na wadada wengi wanabeba mimba wakiwa wadogo sana ndio sababu hao jamaa wameringana ringana umri na mama zao!
Source: Eric Shibangi, Oparesheni comment kila topic (OCKT)