muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Jide naye kawa nyoka?...Wangemchukua na Lady Jaydee mapema kabla mambo hayajaharibika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jide naye kawa nyoka?...Wangemchukua na Lady Jaydee mapema kabla mambo hayajaharibika.
Jide nae anakula mamboWangemchukua na Lady Jaydee mapema kabla mambo hayajaharibika.
Ndio zake na watu wanamuone noma kumuambiaJide naye kawa nyoka?...
Hahaha mkuu umechanganya. Ni watu wenye fitina wanaleta majungu!
!
Naniiii eeeh fanani wa uhakika...katika fani anasifika....akishika mic!....Ni Patashika Patashika Yooo!,.....Naniii eeeeh fanani wa uhakika
Niamini Seeeemaaa, nataka uwe na mimi maaaama watu wenye majungu wanaleta fitina uachanee na mimi yeyeyeee
Aiseee!Wangemchukua na Lady Jaydee mapema kabla mambo hayajaharibika.
Mkuu acha utani bana!Rose Muhando unga umemuharibu hadi amekuwa kama Zombie"🙂🙂
Hahaha mkuu umechanganya. Ni watu wenye fitina wanaleta majungu
Au balimi,bingwa,pilsner,kibo,senator,uhuru,hizi zote buku jero na stim unapata. Ukiwa na ten unataka upo tilalilaKwa nini wasingekuwa wanakunywa safari au bia zingine tu,mbona zina stimu safi tu
Ficha uzuzu wako wewe jide(komando) unamjua vizuri au unaotaJide naye kawa nyoka?...
Sio namjua jide tu,hadi mama.ko pumbavu.Ficha uzuzu wako wewe jide(komando) unamjua vizuri au unaota