BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Kuhusu chupa za maji, glass waste ni tatizo zaid kuliko plastic waste! Plastic waste zimewapa ajira vijana wangi sana ambao wangekuwa vibaka leo!Maji ya kunywa ya chupa za Plastic yameisha pitwa na wakati kwa levo za viongozi wa juu, na hapo kuna Chawa huwa wanasema mama ana advocate mazingira Huweiz ukawa unapigani mazingira huku Bado unatumia maji ya chupa za plastic zinazo chafua mazingira.
Hizi zinajazwa maji ni kama chupa za soda,Kuhusu chupa za maji, glass waste ni tatizo zaid kuliko plastic waste! Plastic waste zimewapa ajira vijana wangi sana ambao wangekuwa vibaka leo!
Kuhusu glass waste nakushauri fika kwenye yard ya Serengeti, au TBL au pale Kioo limited ukajionee mlima wa vyupa!
usha ona chupa za Soda cocacola au pepsi zinachafua mazingira au chupa za Bia?Kuhusu chupa za maji, glass waste ni tatizo zaid kuliko plastic waste! Plastic waste zimewapa ajira vijana wangi sana ambao wangekuwa vibaka leo!
Kuhusu glass waste nakushauri fika kwenye yard ya Serengeti, au TBL au pale Kioo limited ukajionee mlima wa vyupa!
Nimefanya kazi kwenye field hiyo, glass waste ni tatizo kubwa na Makampuni yanayozalisha vinywaji hivo yamewekeza lots of money kwenye kusafisha mazingira.usha ona chupa za Soda cocacola au pepsi zinachafua mazingira au chupa za Bia?
Na 0Mimi naona wote ni wale wale wachumia tumbo tu! ππ
KabisaBaraza la mawaziri la Tanzania huwa haliko serious. Huwezi kujaza misosi kwenye meza wakati wa kujadili mambo serious.
Na ni wasomi kwelikweli, sio hawa akina Babu Tale!!.Kenya Mawaziri siyo Wabunge π
Baraza ni tofauti na Kikao ππBaraza la mawaziri la Tanzania huwa haliko serious. Huwezi kujaza misosi kwenye meza wakati wa kujadili mambo serious.