Fananisha Kikao cha Mawaziri cha Kenya na cha Tanzania, tuna cha kujifunza

Fananisha Kikao cha Mawaziri cha Kenya na cha Tanzania, tuna cha kujifunza

La Kenya limepambwa na sura ya ukabila na ukanda, na ukiwatazama vizuri mawaziri ni kama vile hawana uhakika wala tumaini la kuwepo ofisini kesho. Hawana nuru, hawana amani dah 🐒

La Tanzania.
kwanza lina nuru, Lakini pia unaona kabisa umoja wa mawaziri wenye amani na kuaminiana. Korosho na peremende wanashea n.k

Kenya hawashare vitu kama hivyo kwasabb unaweza wekewa cocaine au sumu.Hakuna wa kumuamini mwingine.🐒
Umeona wakila ?
Poison Masters mnatahamika mbona.
 
Uzi kaandika mwingine lakini aibu naona mimi namna bongo za baadhi ya watu zinavyoshindwa kuchambua na kuchanganua mambo makubwa. kweli kikao kinaanzishiwa uzi, nchi yangu inahitaji uponyaji kwa baadhi ya watu
Na wewe huo Uzi unaokupa aibu unakuja kucoment Tena
kweli uponyaji inabidi uanze na wewe
 
Baraza la mawaziri la Tanzania huwa haliko serious. Huwezi kujaza misosi kwenye meza wakati wa kujadili mambo serious.
Kila mtu kaona la kwake.

Huyu kaona misosi.

Mwingine kaona tablet.

Ilimradi tu haki ya kutoa maoni inazingatiwa.
 

Attachments

  • IMG-20241010-WA0020.jpg
    IMG-20241010-WA0020.jpg
    259.7 KB · Views: 1
Najaribu kauangalia kikao cha mawaziri cha Kenya naona wako very profesional, tunakwama wapi kikao cha Mwaziri Tanzania utazania kikao cha kupitisha tenda? Au ni wanapitisha tenda za Waarabu walio tenda juu zaidi kununua nchi?

View attachment 3120776

Hii ni kikao cha Mwaziri Dodoma.
View attachment 3120788

Hapa ni Nairobi kikao cha Mawazori.
View attachment 3120793
Hii ni kama wanapitisha tenda za kuuza nchi.

View attachment 3120800
Hao mawaziri wa kenya kila mmoja anamiliki chopa hapo,matajiri kupindukia kwa pesa wanazowaibia wakenya,nyie danganyikeni na siasa za show off za kenya,hakuna wanasiasa wezi kuwazidi wanasiasa wa kenya
 
Najaribu kauangalia kikao cha mawaziri cha Kenya naona wako very profesional, tunakwama wapi kikao cha Mwaziri Tanzania utazania kikao cha kupitisha tenda? Au ni wanapitisha tenda za Waarabu walio tenda juu zaidi kununua nchi?

View attachment 3120776

Hii ni kikao cha Mwaziri Dodoma.
View attachment 3120788

Hapa ni Nairobi kikao cha Mawazori.
View attachment 3120793
Hii ni kama wanapitisha tenda za kuuza nchi.

View attachment 3120800
Sasa hapo unajaribu kueleza nini kwa hizi picha. Sijaelewa kitu. Kama ni ufisadi hao Kenya mbona wanatuzidi sana.
 
Najaribu kauangalia kikao cha mawaziri cha Kenya naona wako very profesional, tunakwama wapi kikao cha Mwaziri Tanzania utazania kikao cha kupitisha tenda? Au ni wanapitisha tenda za Waarabu walio tenda juu zaidi kununua nchi?

View attachment 3120776

Hii ni kikao cha Mwaziri Dodoma.
View attachment 3120788

Hapa ni Nairobi kikao cha Mawazori.
View attachment 3120793
Hii ni kama wanapitisha tenda za kuuza nchi.

View attachment 3120800
Hapo Kenya naona vifaa vya kazi vimetawala mezani wakati hapo Mtumba ni vyakula na takataka nyingi.
 
Maji ya kunywa ya chupa za Plastic yameisha pitwa na wakati kwa levo za viongozi wa juu, na hapo kuna Chawa huwa wanasema mama ana advocate mazingira Huweiz ukawa unapigani mazingira huku Bado unatumia maji ya chupa za plastic zinazo chafua mazingira.
Ngoja niwasaidie, pamoja na kwamba kwa hali halisi wewe upo sahihi.

Kwani unajua vipi kwamba pengine Adul tayari anayo fursa ya ku're-cycle' hizo chupa mkuu!

Wewe unaona kutumia plastiki ni kupitwa na wakati, kweli?

Kwa ulimwengu wa leo huwezi kuepuka plastiki katika maisha yako.
 
Nimesoma comments nyingi + mada ila bado sijaona tatizo kwenye hizo picha za Tanzania, naomba kupewa kusudio la mada hii
 
ukicheki la Kenya dah hadi huruma aise, kuanzia moenekano bana ni ukabila tupu, mawaziri wamejawa hofu, wasiwasi na hofu ya kubanduliwa kikabila at any given time maskini ya Mungu..

Ni wanyonge wasioaminiana kabisa kwa chuki, uhasama, uadui na wivu wa kikabila na ukanda, kila moja kichwani akinungunika mbona waluya wengi kuliko wakalenjini n.k.

Na kwasabb ya kutokuaminiana, hakuna cha korosho wala peremende mezani, ni mwendo wa kunuka mdomo mwanzo mwisho na maji madogo tu, aisee 🐒

Check la Tanzania sasa,
unaona kabisa there is hope and prosperous future plans kwaajili ya waTanzania inaendelea. Mawaziri wamekaa kama familia moja, wanapendana na kuaminiana, wanashare mawazo hadi korosho mezani na peremende kwa amani na uhakika kabisaa dah..🐒

Mungu Ibariki Tanzania
🤣 🤣 🤣
 
La Kenya limepambwa na sura ya ukabila na ukanda, na ukiwatazama vizuri mawaziri ni kama vile hawana uhakika wala tumaini la kuwepo ofisini kesho. Hawana nuru, hawana amani dah 🐒

La Tanzania.
kwanza lina nuru, Lakini pia unaona kabisa umoja wa mawaziri wenye amani na kuaminiana. Korosho na peremende wanashea n.k

Kenya hawashare vitu kama hivyo kwasabb unaweza wekewa cocaine au sumu.Hakuna wa kumuamini mwingine.🐒
🤣 🤣 🤣
 
Mkuu kwa hiyo kilichokukosha wewe ni kuona mawaziri wa Kenya wakitumia computer/Tablets?
Sasa hapa kwetu hivi Jenista anaweza kutumia computer yule? Ona kama waziri wa ulinza Dr Tax anashindwa hata kutazama kwa kutumia darubini hadi anaigeuza na Hashangai kuwa haoni!
 
Back
Top Bottom