Yaani mtu ukishakuwa chawa ni kusifia tuu mav. ya boss wako unayaita keki hahahhaaLa Kenya limepambwa na sura ya ukabila na ukanda, na ukiwatazama vizuri mawaziri ni kama vile hawana uhakika wala tumaini la kuwepo ofisini kesho. Hawana nuru, hawana amani dah 🐒
La Tanzania.
kwanza lina nuru, Lakini pia unaona kabisa umoja wa mawaziri wenye amani na kuaminiana. Korosho na peremende wanashea n.k
Kenya hawashare vitu kama hivyo kwasabb unaweza wekewa cocaine au sumu.Hakuna wa kumuamini mwingine.🐒
Huko uliko vinywaji vinavyopatikana ni Pepsi, coca-cola na bia tu kwani hujui kuwa sikuizi Chupa za plastic ni more friendly Kwa mazingira Kwasababu zinakuwa recycled?usha ona chupa za Soda cocacola au pepsi zinachafua mazingira au chupa za Bia?
Watasema Kenya kuna njaa ndio maana hakuna mapocho pocho mezaniBaraza la mawaziri la Tanzania huwa haliko serious. Huwezi kujaza misosi kwenye meza wakati wa kujadili mambo serious.
Halafu lina watu wengi sana, wakati bajeti yetu iko chini kulinganisha ya Kenya.Baraza la mawaziri la Tanzania huwa haliko serious. Huwezi kujaza misosi kwenye meza wakati wa kujadili mambo serious.
Bado swali linabaki ikiharibika una dispose vipi?Hizi zinajazwa maji ni kama chupa za soda,
Kenya wametawaliwa na muingereza na waakaachiwa akili za ki-ingereza.Najaribu kauangalia kikao cha mawaziri cha Kenya naona wako very profesional, tunakwama wapi kikao cha Mwaziri Tanzania utazania kikao cha kupitisha tenda? Au ni wanapitisha tenda za Waarabu walio tenda juu zaidi kununua nchi?
View attachment 3120776
Hii ni kikao cha Mwaziri Dodoma.
View attachment 3120788
Hapa ni Nairobi kikao cha Mawaziri.
View attachment 3120793
Hii ni kama wanapitisha tenda za kuuza nchi.
View attachment 3120800
Tumbo ndio linaponza kila kitu, na hapo unakuyta nusu yao wana kisukari na preshaa.Baraza la mawaziri Tz limejaa vitu vya kutafuna tafuna tu (ukiondoa kutafuna kodi zetu) hata hali ya hewa hapo itakuwa ni chafu!!.
Tunataka Uraia pachaHamia Kenya.
Kuna mmoja juzi Yuko amekazana na mambo ya nishati safi kwenye kikao Fulani Ili aonekane wakati ana semi truck za kubeba mkaa nilicheka tulivyotoka kwenye kikao Yuko anasema pale nilikuwa nachangamsha tuMaji ya kunywa ya chupa za Plastic yameisha pitwa na wakati kwa levo za viongozi wa juu, na hapo kuna Chawa huwa wanasema mama ana advocate mazingira Huweiz ukawa unapigani mazingira huku Bado unatumia maji ya chupa za plastic zinazo chafua mazingira.
Kuna mmoja juzi Yuko amekazana na mambo ya nishati safi kwenye kikao Fulani Ili aonekane wakati ana semi truck za kubeba mkaa nilicheka tulivyotoka kwenye kikao Yuko anasema pale nilikuwa nachangamsha tuMaji ya kunywa ya chupa za Plastic yameisha pitwa na wakati kwa levo za viongozi wa juu, na hapo kuna Chawa huwa wanasema mama ana advocate mazingira Huweiz ukawa unapigani mazingira huku Bado unatumia maji ya chupa za plastic zinazo chafua mazingira.
HAO MAWAZIRI WA TANZANIA UKIWAONA HSPO UTADHANI VICHWANI WANA KITU KUMBE NI MAZWAZWA WANAMKATIBIA BOSI WAONajaribu kauangalia kikao cha mawaziri cha Kenya naona wako very profesional, tunakwama wapi kikao cha Mwaziri Tanzania utazania kikao cha kupitisha tenda? Au ni wanapitisha tenda za Waarabu walio tenda juu zaidi kununua nchi?
View attachment 3120776
Hii ni kikao cha Mwaziri Dodoma.
View attachment 3120788
Hapa ni Nairobi kikao cha Mawaziri.
View attachment 3120793
Hii ni kama wanapitisha tenda za kuuza nchi.
View attachment 3120800
Machawa mnajiona nchi ni yenu, kumbe ni ya wote.Hamia Kenya.
Kenya inaelekea viwango vya ulaya kwa maendeleo na ustawi wa binadamu pia.Najaribu kauangalia kikao cha mawaziri cha Kenya naona wako very profesional, tunakwama wapi kikao cha Mwaziri Tanzania utazania kikao cha kupitisha tenda? Au ni wanapitisha tenda za Waarabu walio tenda juu zaidi kununua nchi?
View attachment 3120776
Hii ni kikao cha Mwaziri Dodoma.
View attachment 3120788
Hapa ni Nairobi kikao cha Mawaziri.
View attachment 3120793
Hii ni kama wanapitisha tenda za kuuza nchi.
View attachment 3120800
HahahaMachawa mnajiona nchi ni yenu, kumbe ni ya wote.
Mnajiona 20,000 mnazopewa zitadumu , kumbe zina mwisho.
Mnavaa kaunda suti na vibendera vya taifa mkijiona wazalendo kumbe ni MASADUKAYO.
UzeeSijui ni uzee..nini cha ajabu hapo?