TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Achana na picha za korodani zenye fangasi mazeeNenda hospital. Au piga picha tuone.Ni ngumu kufanya diagnosis bila kuona hali halisi .Ikute si fangas ni Bacteria au Virus.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na picha za korodani zenye fangasi mazeeNenda hospital. Au piga picha tuone.Ni ngumu kufanya diagnosis bila kuona hali halisi .Ikute si fangas ni Bacteria au Virus.
Nadhani ndio hivi vidonge nilimeza kwa siku 30 usiku kila nikilala nikapona km miaka 3 sasa imepita vimerud tena
Exactly. Ni sahihi kabisa usemavyoWewe utakua ulipewa Griseofulvin Ndio zinakua nyingi hivyo..mostly tunawapa kwa thirty days . Zilikua kama panadol kwa muonekano alafu hazina ladha nzuri?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Achana na picha za korodani zenye fangasi mazee
Aiseee🙌🤣Vuzi nanyoa. Sema kuna msemo wa watu kwamba vuzi hupendezesha uchi kuna kipindi nikajikuta ni muumini wa kufuga vuzi. Km naenda job nachana kwa kitana kidogo nywele za kichwa na vuzi
ngoja na mie nipate ushauri hapa maana naona pumbu zangu zinakauka sana na kutoa vumbi vumbiKama title ya thread ilivyo hapo juu.
Naomba kwa anayefahamu dawa ya fangasi kando kando ya pumbu (korodani) zinakolalia (mapajani) zinasumbua sana sana Kwakweli.
Anaye fahamu dawa naomba maelekezo tu jamani.
Weka picha kabla hujapata tiba,na baada ya tiba utaleta nyingine tuone tofauti.ngoja na mie nipate ushauri hapa maana naona pumbu zangu zinakauka sana na kutoa vumbi vumbi
ili mcheke kibamia changu hahaha.Weka picha kabla hujapata tiba,na baada ya tiba utaleta nyingine tuone tofauti.