Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Mkuu kama unaishi Dar hayo mafangasi yanasumbua sana,but ukienda mikoa ya baridi kama Njombe,Iringa,Mbeya au Dodoma ukikaa 3 days tu wote wanakwisha.
Sasa sijui ni maji ya Dar au joto sijui ni kipi kinachangia sana.
Sasa sijui ni maji ya Dar au joto sijui ni kipi kinachangia sana.