Fangasi sugu za Miguu zilizokata dawa kabisa

Fangasi sugu za Miguu zilizokata dawa kabisa

Ako kanapatikana maeneo mengi. Nikakupaka sehem zilizo athilika upake baada ya kusafisha nakuhakikisha ni pakavu hasa kwenye vungu za vidore.
IMG_20220809_212100_560.jpg
IMG_20220809_212041_011.jpg
 
Fungasi za kwenye unyayo,pembezoni mwa miguu na kwenye vidole.. Nimewah kujaribu tiba kadhaa na powder bila mafanikio yoyote. Mwenye utaalam na hili tatizo naomba msaada
Achana na dawa za hospitali, wewe kojolea ule mkojo wa asubuhi siku mbili tatu utapona kabisa.
 
Nimeangalia sana hiyo picha, kwenye baadhi ya vidole kuna weusi fulani ambao yaweza kuwa ni chanzo za hizo fungus.

Hebu onana na dakitari ili akushauri.
 
Kitu Cha kwanza , acha kuvaa viatu vya wazi .
pili, vaa sockis nzito Tena za Dukani.
Hakikisha hurudii sockis kabla hazijafuliwa.

Tatu:Viatu vaa vyangozi , hizi ngozi nyepesi wanaziita mabegi Kaa Nazo mbali kwamda.

4;Kabla yakuvaa viatu hakikisha miguu Yako nimikavu na itapendeza ukitumia powder japo gharama yake imechangamka. Ziko za aina nyingi , kama utaweza tumia (mayicota ) ukishindwa tumia clotrimazole.

Kuhusu Dawa za kumezaunona na Dakota.
Shukrani sana mkuu ntajarbu na hii pia
 
Back
Top Bottom