Fangasi sugu za Miguu zilizokata dawa kabisa

Ako kanapatikana maeneo mengi. Nikakupaka sehem zilizo athilika upake baada ya kusafisha nakuhakikisha ni pakavu hasa kwenye vungu za vidore.
 
Fungasi za kwenye unyayo,pembezoni mwa miguu na kwenye vidole.. Nimewah kujaribu tiba kadhaa na powder bila mafanikio yoyote. Mwenye utaalam na hili tatizo naomba msaada
Achana na dawa za hospitali, wewe kojolea ule mkojo wa asubuhi siku mbili tatu utapona kabisa.
 
Nimeangalia sana hiyo picha, kwenye baadhi ya vidole kuna weusi fulani ambao yaweza kuwa ni chanzo za hizo fungus.

Hebu onana na dakitari ili akushauri.
 
Shukrani sana mkuu ntajarbu na hii pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…