chloe.obrain
JF-Expert Member
- Feb 25, 2010
- 391
- 21
Habari wadau,
Naomba kufahamishwa kuhusu huu ugonjwa, unatokana na nini dalili zake n.k
Kuna my friend kafariki juzi (R.I.P buddy) alkwenda hsptl akaambiwa ana fangasi ya ubongo coz alikuwa anaumwa kichwa sana, ila walimwambia ameiwahi na angepona lakini haikuwa hivyo.
Naomba kufahamishwa kuhusu huu ugonjwa, unatokana na nini dalili zake n.k
Kuna my friend kafariki juzi (R.I.P buddy) alkwenda hsptl akaambiwa ana fangasi ya ubongo coz alikuwa anaumwa kichwa sana, ila walimwambia ameiwahi na angepona lakini haikuwa hivyo.