Fani zenye ajira kwa sasa, vijana someeni fani hizi

Street knowledge.....nimeipenda ya Motivation Speaker’s na nukuu zao β€˜Mwaka 1820 Robert Heriel alisema.....’ wakati enzi hizo hata biashara haikuwa kama leo!!!
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€

Unanukuu kwa kadiri uwezavyo, hakuna atakayekuambia anahitaji hicho kitabu, watu wanahitaji utajiri Mkuu , vitabu tupa kule
 
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€

Unanukuu kwa kadiri uwezavyo, hakuna atakayekuambia anahitaji hicho kitabu, watu wanahitaji utajiri Mkuu , vitabu tupa kule

Ni kweli wabongo asilimia kubwa hatupendi kusoma tunapenda matukio... hata wacheza karata tatu wanapiga hela sana mkuu
 
Leo umenipa somo ngoja nisort itakayonifaa kulingana na mazingira niliyopo....

Huoni wakina Mchungaji Lusekelo wanavyojimwambafai kuwa kufa masikini ni Ulofa hasa ukiwa Tz, wameshaona Gap,

Ukiona TRA wanakusumbua, basi fanya mambo ambayo TRA hawatakusogelea, kuwa mganga na mganguzi au kuwa mzee wa upako au upakozi, simple tuu
Hao hao TRA ndio watakaokuja kutaka kinga huko makazini kwao,

Usihangaike na serikali, tafuta namna ya kuikabili kwa njia rahisi tuu
 
Mkuu hii Bachelor degree in umario and betting. Inabidi nipate hata short course niingie mzigoni. Hyo ya umarioo field nataka nikapige pale kwa Babra Gonzalenz yule CEO wa simba.

πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€

Mkuu mimi sina chakusema mtu akiona fursa.

Bachela za kitaa hazina cheti wala kuvaa joho, hakuna sheria huku ni kuingia mzigoni
 
Mkuu umetishaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™Œ
 
Ahaaaaaaaaaa we jamaa sio!!!! umeandika vitu vya msingi sana na ndio uhalisia wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…