Fanya haya ili biashara unayoianzisha isife

Fanya haya ili biashara unayoianzisha isife

1. Fanya biashara unayo ielewa vizuri zaidi, usiige tu kwa kuona mwingine anafanikiwa. Hakikisha wewe mwenyewe una ujuzi nayo.

2. Hakikisha umeyasoma mahitaji ya wateja wako watarajiwa. Hakikisha umeyaelewa kiundani zaidi mahitaji yao na unaweza kuwatimizia ipasavyo.

3. Amua kujenga mahusiano mazuri na wateja wako watarajiwa. Waelewe ili uweze kuwa sababu ya furaha yao.

BIASHARA YOYOTE IMARA HUJENGWA PALE TU. UNAPO KUWA NA MAHUSIANO MAZURI NA WATEJA WAKO.

1. Fanya biashara unayoielewa vizuri.. jibu huwezi kuielewa biashara vizuri mpaka uifanye. Usijidanganye na viji research.. japo ni muhimu kufanya kabla.
2. Kusoma mahitaji pia lazima ufanye japo kuna pre prediction ila sio lazima upatie i.e. unaweza hisi watu watanunua bidhaa na ukiweka wakakukataa.
3. Jenga mahusiano mazuri na wateja wako sio wateja watarajiwa. How sure kama ni wateja wako kabla hujafungua hiyo biashara?
My take:
Ukiamua kuanza kufanya biashara basi fanya usiwe na expectation kubwa ko anza kidogo kucheck rotation ikiwa poa endelea.
 
Back
Top Bottom