Fanya haya ili uwe mtu katili zaidi.

Fanya haya ili uwe mtu katili zaidi.

Habari wana JF,

Ukifanya haya tena ukiweza labda yote basi utafanikiwa kuwa katili zaidi hadi ibilisi atakushangaa..

1. Usihudhurie misiba kuwapa watu pole.
2. Watu wakipatwa na majanga usiende kuwafariji.
3. Ikitokea umeenda, usiende kwa wkt na ukifika wafokee sana, wakate maini kabisa.
4. Usiwape chakula wenye njaa tena waambie "wafe tu"
5. Samehe jinai
6. Shitaki wanaolalamika eti maisha magumu
7. Okota vitu vya watu kama hela, magari n.k. halafu jigawie...waache walie

Mengine ongezea mwana JF..


ONYO: Ukatili ni kitu kibaya sana.
Ukawa mnatapatapa kama mahindi ya bisi
Mfyuuu zenu!
 
13. Muweke mteule wako ujauzito kisha akijifungua usiruhusu mtu yeyote hata ndugu wa huyo kimada wako kwenda kumuona ispokua ww mwenyewe tu, na ukienda unaenda usiku na unavaa juba.
 
Viongozi wa jf hawajauona huu Uzi uliojaa uchochezi?.ufutwe maramoja.hatupendi kuona wanajf wenzetu mkipata shida.
 
Fid Q ni "Msanii" Wa "Kufoka foka".. mzee kwenye fasihi uko vzr..hakika hufikiri kwa kutumia kina cha chini cha utumbo mpana!
Kama nimeelewa vzuri Hapo Fd Q anaenda kama ngosha ambaye ni m batizaji a.k.a yohana wa pale kati naniliu pale mtaa nyeti pale
 
Back
Top Bottom