Fanya haya kama unataka meno yako yawe meupe

Fanya haya kama unataka meno yako yawe meupe

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Chukuaa nyanya 3 zilizoiiva kabisa. Menya maganda. Ponda ponda zote.

Chukua limao changanya kamulia mawili humo ndani. Chukua dawa ya mswaki vijiko vitatu mimina huko ndani mix kwa pamoja.

Tumia asubuhi na jion siku 5 angalia matokeo.

Niko pale kwa Masawe.
Nasubiri mrejesho.
 
mdomo.kunuka mpoo

najua appendix sema ndio imetokea bahati mbaya

chukua maji.ltr 1

chukua nanasi zima maganda yake

chukua limaoòooo 3 Weka humo ndani

chukua mdalasiini unga na vitunguu sauna

chemsha huu mzigooo nusu saaaaaa

anza kusukutua haya maji asbh na jioni

hakikisha unayaasha masaa 24 baada ya kuchemsha ndioo unatumiaaakila la kheri
 
Back
Top Bottom