Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
Everybody's 4 jf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyanza???chukuaa nyanza 3
zioizoiva kabisaaa
Menyaa magandaaaaa
Ponda pondaaaa zoteeee
Chukua limaooooo changanyaaa kamulia mawili humo ndaniiii
Chukua dawa ya mswakii vijiko vitatuu mimina huko ndani mix kwa pamojaaaa
Tumia asbh na jion siku 5 angalia matkkeoooooo
Nikopale kwa masaawe
Nasubiri mrejeshooooo
Yalee yenye fluoride pita na hii formula njoo University mrejeshochukuaa nyanza 3
zioizoiva kabisaaa
Menyaa magandaaaaa
Ponda pondaaaa zoteeee
Chukua limaooooo changanyaaa kamulia mawili humo ndaniiii
Chukua dawa ya mswakii vijiko vitatuu mimina huko ndani mix kwa pamojaaaa
Tumia asbh na jion siku 5 angalia matkkeoooooo
Nikopale kwa masaawe
Nasubiri mrejeshooooo
Sasa mafuta mdomoni kweli?Yalee yenye fluoride pita na hii formula njoo University mrejesho
2 spoon ya vaseline
2 spoon ya salt
2 spoon ya collate
Chaanganya piga mswaki nayo siku5 nipe mrahaba
Typing error nyingi sana halafu namwelekeza na wewe na hasira zako za asubuhi Unanikanyagia. Uzi mzuri na unatoa tips za utanashati auandike vizuri. Ili hata watu wenye miaka 50 na kuendelea wakisoma wataelewaNa wewe walewale.
Kwamba dental fluorosis inaweza kutibiwa kwa nyanya na dawa ya mswaki pekee?chukuaa nyanza 3
zioizoiva kabisaaa
Menyaa magandaaaaa
Ponda pondaaaa zoteeee
Chukua limaooooo changanyaaa kamulia mawili humo ndaniiii
Chukua dawa ya mswakii vijiko vitatuu mimina huko ndani mix kwa pamojaaaa
Tumia asbh na jion siku 5 angalia matkkeoooooo
Nikopale kwa masaawe
Nasubiri mrejeshooooo
😂 😂 😂 Uzi mzuri lakini andika kwa kutulia sasa ili uelewekeNyanyaaa
🤣🤣🤣Kwahiyo dawa ni kanjumbari ya colgate sio?
Wa Kenya au Tanzania?Gen z
Upoo;,??