Kwahiyo hii tiba haifai kwa ChaliifranciscoMeno yale ya fluoride haiwezekani ng'o labda ufanye veneering
Ngoja ajeeeee nasubiria comm yake uwiii challis njoohukuuKwahiyo hii tiba haifai kwa Chaliifrancisco
Wameshindkana watafute maji safi tuKwahiyo hii tiba haifai kwa Chaliifrancisco
Bado miaka 3 atimize miaka 20 jamii forum,ila mwandiko hataki kabisa kubadilikaIla Pdidy 🙌
Huu ni ukweli maana wapo ndugu wana meno ya hivyo , zaidi kabisa father ameishi huko ana meno ya hivyoTusiwakatishe taama jaman wajaribu
Kuna siku nikamuuliza umri wake akanishushuaBado miaka 3 atimize miaka 20 jamii forum,ila mwandiko hataki kabisa kubadilika
Umeweka je kutoaUnataka ukipiga kwa mtu bamba wala jina lako lisionekane kwakeee
Piga ×#30#
Niko kwa masawe nasubiria mrejeshoo