othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Ukikutana na simba vua nguo zote halafu mbong'olee yaani geuka nyuma inama kisha aone matako yako, simba ataogopa kwa maana hayo matako atahisi kama ni vichwa viwili hivyo atasitaajabu na kukimbia kwakuwa hajawahi kuona.mnyama mwenye vichwa viwili.kwa hiyo kwa faru au nyati nianze kuswali swala yamwisho? kwamba wao hawana mbinu? sasa umewaweka iweje kwenye list? nawaza nakutana na simba face toface lazima aniue mana sjajua kama ntageuka usain bolt au nife kwa kihoro
Aisee, Simba namba 1 kwenye list, linatisha hili dude. Mkuu vipi ukikutana na chura?Ikitokea umebananishwa na umekutana na mojawapo wa wanyama hawa wakali Fanya haya kujiokoa
1 Simba
Huyu ni mnyama mkali sana
Ukikutana na Simba porini panda mti, au jiamini mtizame na uanze kumfukuza
Simba anaogopa ujasiri wa kiumbe yeyote atakimbia
2. Chui
Chui huishi mafichoni, chui hukaa peke yake
Ukikutana na chui, jifanye hujamwona.
Chui ni dhaifu, usimchokoze maana anaweza kukubadilikia
3. Tembo
Huyu ni mpole, ila ukikuta amevurugwa labda amepoteza ndama ujue safari yako imeishia hapo atakuua akukanyage uwe kama chapati
Ukikutana nae kamba Kuna mlima kimbia kama unateremka, au ingia shimoni au ndani kama Kuna nyumba
Usije ukapanda mtu ukimwona tembo
4.Nyati/ Faru
Ukikutana na wanyama hawa una asilimia 80 za kuwa marehemu,
Hawa Bora ukitane na Simba
Vyote omba ila usikutane na hawa viumbe porinii dadeki
5 Chatu
Kama unaenda porini na unahisi Kuna Chatu penda kutembea na mbwa, Atamkamata mbwa we ukimbie, maana na Chatu na mbwa wana uadui wao
6 Fisi
Hawa huvizia usiku na huogopa mwanga, we tembea na tochi
Au akikuvuzia kamata mkia
6. Nyoka
Hawa wapo wa aina tofauti na kila nyoka ana tabia zake
Kuna wanaovizia, wanaoshambuliwa, wanaosubiri uwakanyage n. K
Kikubwa ukipata ajali ya nyoka kunywa mkojo wako
7 Mamba
Hawa hukaa ukingoni mwa moto au ziwa
Ukienda maeneo hayo ukakuta utulivu usio wa kawaida usijaribu kuingia majini
Kujiokoa mdomoni mwa mamba ni ngumu
Ila jaribu tu kumbinya tumbo
8 Mbwa mwitu
Hawa hutembea kundi kubwa unakuta wapo zaidi ya 50
Hawa ukiwaona panda mti
Mpige tekeAisee, Simba namba 1 kwenye list, linatisha hili dude. Mkuu vipi ukikutana na chura?
Usijaribu, lile lilivyo atalitafuna. Unadhani kwanini Zebra wanaliwa sana?Ukikutana na simba vua nguo zote halafu mbong'olee yaani geuka nyuma inama kisha aone matako yako, simba ataogopa kwa maana hayo matako atahisi kama ni vichwa viwili hivyo atasitaajabu na kukimbia kwakuwa hajawahi kuona.mnyama mwenye vichwa viwili.
halafu ujifanye kama hujamuona hahahahahaApo pia hajamwelezea vzr Chui huyo hana huruma ,na hacheki na wowote labdah awe ameshiba
Anaruka upande na upande.Mpige teke
niambie hauko serious si eti??Ukikutana na simba vua nguo zote halafu mbong'olee yaani geuka nyuma inama kisha aone matako yako, simba ataogopa kwa maana hayo matako atahisi kama ni vichwa viwili hivyo atasitaajabu na kukimbia kwakuwa hajawahi kuona.mnyama mwenye vichwa viwili.
hata mimi hii storry nmeshawai kuisikia ila sidhani kama ina ukweliSi huwa wanasemaga eti ukipanda mtini nyati ana tabia ya kurusha mkojo.
Anakojolea mkia wake na kukurushia.
Hiyo ndiye njia pekee ya kujikomboa kwa mnyama.simba, tena kwa mwanamke ni added advantage ukiwa uchi wa mnyama ukabinuka hivyo plus hayo maziwa kifuani simba atachanganya mbio balaaniambie hauko serious si eti??
🤣 atakae kusikikiza atakuwa tahira wa mwisho.Ukikutana na simba vua nguo zote halafu mbong'olee yaani geuka nyuma inama kisha aone matako yako, simba ataogopa kwa maana hayo matako atahisi kama ni vichwa viwili hivyo atasitaajabu na kukimbia kwakuwa hajawahi kuona.mnyama mwenye vichwa viwili.
kabisa ,atafahamu huyu hajaniona ndio nimmalize vzr maana anawinda kwa kunyata yulehalafu ujifanye kama hujamuona hahahahaha
ukikutana na Faru kimbia alafu uwe unavua nguo moja baada ya nyingine, yeye atabaki kulirarua shat ulilovua, muda huo wewe umeshafika mbaliHuwa wanautikisa Kwa nguvu na kukudodosha
crap 🚮🚮🚮Hiyo ndiye njia pekee ya kujikomboa kwa mnyama.simba, tena kwa mwanamke ni added advantage ukiwa uchi wa mnyama ukabinuka hivyo plus hayo maziwa kifuani simba atachanganya mbio balaa
sijui ni kwa nn akili inanituma nitimue mbio za uzazi yan mguu unapiga kisogo hayo ya kuviziana mimi sio swala.kabisa ,atafahamu huyu hajaniona ndio nimmalize vzr maana anawinda kwa kunyata yule