Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama nilivyosem simba havamii kwanza huwa anapiga hesabu kukukabili kwahiyo huo muda chap kwa haraka vua viwalo then fanya kama nilivoelekeza hapo juu kwanza atastaajabu kuona kiumbe kimegeuka ghafla, atatoka mbio, hii njia iliwahi kuniokoa mara mbili ila uwe jasiriOk, Lets say upo sawa, mfano ndo umekutana nae paap,Sasa wakati unavua hizo nguo aone makalio shingo unakuwa umeiweka wapi asiione,?
huo muda wa kuvua nguo zote unautoa wapi?Ukikutana na simba vua nguo zote halafu mbong'olee yaani geuka nyuma inama kisha aone matako yako, simba ataogopa kwa maana hayo matako atahisi kama ni vichwa viwili hivyo atasitaajabu na kukimbia kwakuwa hajawahi kuona.mnyama mwenye vichwa viwili.
Mtoto wa kiume kwanini uweke makalio yako rehaniUkikutana na simba vua nguo zote halafu mbong'olee yaani geuka nyuma inama kisha aone matako yako, simba ataogopa kwa maana hayo matako atahisi kama ni vichwa viwili hivyo atasitaajabu na kukimbia kwakuwa hajawahi kuona.mnyama mwenye vichwa viwili.
Hakuna kitu... amekurupuka kutype bila research. Hajui kama sio Simba wote hawapandi miti...Somo zuri.
Itapendeza ukirekebisha baadhi ya makosa ya kiuandishi kama;
mtu badala ya mti, kamba badala ya kama, nk
Faru na nyati sio rahisi kuangusha mti, labda tembo tena sio ile miti mikubwa kabisa.Huwa wanautikisa Kwa nguvu na kukudodosha
Simba wa manyara wanakwea mtini vizuri kabisaKuna Simba wanapanda baadhi ya miti.
Mkuu, Simba anayekutana na wewe ghafla ukimbia, akikuvamia huyo alishakusomea ramani na makalio alishayaona.Kama nilivyosem simba havamii kwanza huwa anapiga hesabu kukukabili kwahiyo huo muda chap kwa haraka vua viwalo then fanya kama nilivoelekeza hapo juu kwanza atastaajabu kuona kiumbe kimegeuka ghafla, atatoka mbio, hii njia iliwahi kuniokoa mara mbili ila uwe jasiri
Hiyo itakuwa bahati mbaya tunasema you caught offguardMkuu, Simba anayekutana na wewe ghafla ukimbia, akikuvamia huyo alishakusomea ramani na makalio alishayaona.
Unajiokoa kwenye mdomo wa simba, uhai hauna mbadalaMtoto wa kiume kwanini uweke makalio yako rehani