Fanya hivi ukikutana na wanyama hawa porini

Fanya hivi ukikutana na wanyama hawa porini

Ukimkimbilia simba umtishe nayeye akakukimbilia mkuu hapo unafanya nini?

Unamkimbilia huku unalia au unageuza unatafuta uelekeo wa wanyama wengine wa mwituni wanaoutafutaga?
😀
 
Nakumbuka mwaka juzi tulikutana na chui mwenye watoto ilikuwa usiku wa saa sita porini kilichotusaidia tulikuwa na mbwa kiherehere cha mbwa kwenda kuvamia watoto wa chui kumbe mama kajificha alichofanywa yule mbwa ilikuwa pona yetu. Yule mbwa alikuwa mtemi ila alibahatika kutoka kwenye mikono ya chui alirudi na donda lilomuachia kovu mpak kesho na alishinda ndan analia kutwa km mtoto.
 
Ikitokea umebananishwa na umekutana na mojawapo wa wanyama hawa wakali Fanya haya kujiokoa

1 Simba
Huyu ni mnyama mkali sana
Ukikutana na Simba porini panda mti, au jiamini mtizame na uanze kumfukuza
Simba anaogopa ujasiri wa kiumbe yeyote atakimbia

2. Chui
Chui huishi mafichoni, chui hukaa peke yake
Ukikutana na chui, jifanye hujamwona.
Chui ni dhaifu, usimchokoze maana anaweza kukubadilikia

3. Tembo
Huyu ni mpole, ila ukikuta amevurugwa labda amepoteza ndama ujue safari yako imeishia hapo atakuua akukanyage uwe kama chapati
Ukikutana nae kamba Kuna mlima kimbia kama unateremka, au ingia shimoni au ndani kama Kuna nyumba

Usije ukapanda mti ukimwona tembo

4.Nyati/ Faru
Ukikutana na wanyama hawa una asilimia 80 za kuwa marehemu,
Hawa Bora ukitane na Simba
Vyote omba ila usikutane na hawa viumbe porinii dadeki

5 Chatu
Kama unaenda porini na unahisi Kuna Chatu penda kutembea na mbwa, Atamkamata mbwa we ukimbie, maana na Chatu na mbwa wana uadui wao

6 Fisi
Hawa huvizia usiku na huogopa mwanga, we tembea na tochi
Au akikuvuzia kamata mkia

6. Nyoka
Hawa wapo wa aina tofauti na kila nyoka ana tabia zake
Kuna wanaovizia, wanaoshambuliwa, wanaosubiri uwakanyage n. K
Kikubwa ukipata ajali ya nyoka kunywa mkojo wako

7 Mamba
Hawa hukaa ukingoni mwa moto au ziwa
Ukienda maeneo hayo ukakuta utulivu usio wa kawaida usijaribu kuingia majini
Kujiokoa mdomoni mwa mamba ni ngumu
Ila jaribu tu kumbinya tumbo

8 Mbwa mwitu
Hawa hutembea kundi kubwa unakuta wapo zaidi ya 50
Hawa ukiwaona panda mti
Wanyama wote wakorofi wakiwa na njaa,kasoro Tembo,.
Nyoka anatumia hisia,ukimuona simama hatajua upo wapi ukipiga hatua tu anakufuata.
Katika wote siwapendi fisi kwakua wanakutafuna ukiwa mzima,wao hawaui kwanza
 
Ahsante kwa maarifa, ila hao wanyama ni wale kitendo Cha kusema Yesu kabla hujamaliza na Maria tayari usha rest in peace...


Cc: Mahondaw
 
Ikitokea umebananishwa na umekutana na mojawapo wa wanyama hawa wakali Fanya haya kujiokoa

1 Simba
Huyu ni mnyama mkali sana
Ukikutana na Simba porini panda mti, au jiamini mtizame na uanze kumfukuza
Simba anaogopa ujasiri wa kiumbe yeyote atakimbia

2. Chui
Chui huishi mafichoni, chui hukaa peke yake
Ukikutana na chui, jifanye hujamwona.
Chui ni dhaifu, usimchokoze maana anaweza kukubadilikia

3. Tembo
Huyu ni mpole, ila ukikuta amevurugwa labda amepoteza ndama ujue safari yako imeishia hapo atakuua akukanyage uwe kama chapati
Ukikutana nae kamba Kuna mlima kimbia kama unateremka, au ingia shimoni au ndani kama Kuna nyumba

Usije ukapanda mti ukimwona tembo

4.Nyati/ Faru
Ukikutana na wanyama hawa una asilimia 80 za kuwa marehemu,
Hawa Bora ukitane na Simba
Vyote omba ila usikutane na hawa viumbe porinii dadeki

5 Chatu
Kama unaenda porini na unahisi Kuna Chatu penda kutembea na mbwa, Atamkamata mbwa we ukimbie, maana na Chatu na mbwa wana uadui wao

6 Fisi
Hawa huvizia usiku na huogopa mwanga, we tembea na tochi
Au akikuvuzia kamata mkia

6. Nyoka
Hawa wapo wa aina tofauti na kila nyoka ana tabia zake
Kuna wanaovizia, wanaoshambuliwa, wanaosubiri uwakanyage n. K
Kikubwa ukipata ajali ya nyoka kunywa mkojo wako

7 Mamba
Hawa hukaa ukingoni mwa moto au ziwa
Ukienda maeneo hayo ukakuta utulivu usio wa kawaida usijaribu kuingia majini
Kujiokoa mdomoni mwa mamba ni ngumu
Ila jaribu tu kumbinya tumbo

8 Mbwa mwitu
Hawa hutembea kundi kubwa unakuta wapo zaidi ya 50
Hawa ukiwaona panda mti
Wanyama ambao sijawahi kukutana nao ni mbwa mwitu,mamba na chui.
 
Nitawapanga hao wanyama kwa jinsi walivyo hatari;
1. Simba
2. Kundi la mbwa mwitu
3. Mamba akiwa majini.
4. Chui
5. Faru
6. Chatu
7. Nyati
9. Nyoka
10. Fisi
Nyati ndo mnyama hatari
Yeye laZima akitangulize mbinguni
 
Kuna Siku Niko Na Braza Wangu Maeneo Ya Tandahimba Usiku Tuko Kwenye Gari Ghafla Tukagonga Mnyama Tukarudi Nyuma Tukawasha Full Braza Akanimbia Tushuke Tukamcheki Ni Mnyama Gani ?

Tukashuka Hamadi Kucheki Ni Mtoto Wa Chui Tukarudi Fasta Kwenye Gari Tukaondoka Basi Siku Ya Pili Kuanzia Saa 12 Mpaka Saa 4 Hajakatiza Mtu.
 
Hawezi, simba ni mwoga sn kwa viumbe ambavyo ni vigeni kwake, na advantage ya simba ni kuona shingo ilipo ndiomana si ajabu simba ku batle na twiga ambaye ni mrefu kwakuwa tu ameiona shingo, sasa aone mnnyama mwenye vichwa viwili na jicho moja lenye nywele pasipo kuiona shingo simba atakaa mbali atahisi hatari imemfikia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]vichwa viwili na jicho lenye nywere na shingo hamna daaaah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]*****
 
Nakumbuka mwaka juzi tulikutana na chui mwenye watoto ilikuwa usiku wa saa sita porini kilichotusaidia tulikuwa na mbwa kiherehere cha mbwa kwenda kuvamia watoto wa chui kumbe mama kajificha alichofanywa yule mbwa ilikuwa pona yetu. Yule mbwa alikuwa mtemi ila alibahatika kutoka kwenye mikono ya chui alirudi na donda lilomuachia kovu mpak kesho na alishinda ndan analia kutwa km mtoto.
Huyo mbwa mlimtibu?
 
Kwenye tembo tembea na filimbi hawapendi kelele so ukipiga filimbi anakimbia na wewe kabisa ila kuna tembo wakorofi sana hawa ni wale walio tengwa na familia zao

Nyati akiwa mmoja huna ujanja sanasana hapo ukikimbia lala chini uwe una kroo au kuloli kwa walio pitia jeshi wanaelewa ila wakiwa wengi huwa wao ndio wanakimbia
 
Back
Top Bottom