kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 3,607
- 9,430
Umetafsiri kwa asili yako,,,,kwa asili yangu ni maana tofauti,,stick kwenye mada husikakitalembwa mana yake hudanganyiki,au kikubwa mbwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetafsiri kwa asili yako,,,,kwa asili yangu ni maana tofauti,,stick kwenye mada husikakitalembwa mana yake hudanganyiki,au kikubwa mbwa?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hahaha hatari mkuu, hata kijijini ziliwahi kupita zikabomoa nyumba bahati nzuri hakuwemo mtu, kuingia ndani ya nyumba inabidi usome uelekeo wa tembo na mood yake kama ana hasira au anapita tuInategemeana na nyumba utakayokimbilia,ila kwa mazingira ya kijijini nyumba nyingi ni tope na zimeezekwa kwa nyasi hapo nakushauri usikimbilie humo. mwaka 2016 nilikuwa na kiredio changu uck nilikuwa nakiwasha non stop,kumbe bhana tembo wanapita nje,mmoja mkubwa wao akajaribu kutikisa kiberiti nikakizima kiredio nikaingia uvunguni na mkojo ukifuatia. kijiji chetu kwa miaka mingi kimekuwa kilikumbana na masahibu ya tembo kila mwaka wanavamia na kula mazao ya wakulima mana kijiji chetu kina poli la akiba. ila tunashukru serikali kwa kuingia ubia na kampuni ya allience one kufanya project ya upandaji wa miti, sasa hali ni shwari.
haina shida mkuu!Umetafsiri kwa asili yako,,,,kwa asili yangu ni maana tofauti,,stick kwenye mada husika
Faru na Nyati ukiwaona, uamuzi wa haraka nikuondoka chap na mazingira kama yanafaa kimbia...kwa hiyo kwa faru au nyati nianze kuswali swala yamwisho? kwamba wao hawana mbinu? sasa umewaweka iweje kwenye list? nawaza nakutana na simba face toface lazima aniue mana sjajua kama ntageuka usain bolt au nife kwa kihoro
Kwanza muungurumo wa Simba mnaujua vizuri lakini ?Simba unachomoa mkanda wa kwenye suruali unamrushia atakimbia akidhani ni nyoka
this only applicable in movies, kiuhalisia kitendo cha kudakwa na chatu au mamba mimi ni mfu tayar hao faru itategemea na distance tutakayokutana nna uhakika miguu yangu haitonikwamishaFaru na Nyati ukiwaona, uamuzi wa haraka nikuondoka chap na mazingira kama yanafaa kimbia...
Ukikimbia kwenda mbali na wao mara nyingi hawakukimbizi
Kukwea mti pia kwaweza kuwa kwa msaada japo mara nyingi hawa hukaa kwenye vichaka na majani marefu (bila kuwepo miti mikubwa).
Muhimu; mara zote ukitembea maeneo ya wanyama kama Mamba & chatu usisau kubeka kisu kidogo.
Mamba: ukimchoma kichwani kwa kisu anakuachia na hasa ukiweza kulenga macho anakuachia mara moja; Lakini pia akikushika akawa anajizungusha, zunguka naye, ukijizuia utavunjika na ndivyo anataka.
Chatu; ukiweza kumkata kata na ukibahatisha mdomo wake ukaukata/chana anakuachia. Kumbuka Chatu hana meno.
Haya kuyasema ni rahisi lkn kwa ground ni ngumu mno, si rahisi ukawa na ujasiri wa kumtazama simba,na kuna baadhi ya miti simba anapandaIkitokea umebananishwa na umekutana na mojawapo wa wanyama hawa wakali Fanya haya kujiokoa
1 Simba
Huyu ni mnyama mkali sana
Ukikutana na Simba porini panda mti, au jiamini mtizame na uanze kumfukuza
Simba anaogopa ujasiri wa kiumbe yeyote atakimbia
2. Chui
Chui huishi mafichoni, chui hukaa peke yake
Ukikutana na chui, jifanye hujamwona.
Chui ni dhaifu, usimchokoze maana anaweza kukubadilikia
3. Tembo
Huyu ni mpole, ila ukikuta amevurugwa labda amepoteza ndama ujue safari yako imeishia hapo atakuua akukanyage uwe kama chapati
Ukikutana nae kamba Kuna mlima kimbia kama unateremka, au ingia shimoni au ndani kama Kuna nyumba
Usije ukapanda mti ukimwona tembo
4.Nyati/ Faru
Ukikutana na wanyama hawa una asilimia 80 za kuwa marehemu,
Hawa Bora ukitane na Simba
Vyote omba ila usikutane na hawa viumbe porinii dadeki
5 Chatu
Kama unaenda porini na unahisi Kuna Chatu penda kutembea na mbwa, Atamkamata mbwa we ukimbie, maana na Chatu na mbwa wana uadui wao
6 Fisi
Hawa huvizia usiku na huogopa mwanga, we tembea na tochi
Au akikuvuzia kamata mkia
6. Nyoka
Hawa wapo wa aina tofauti na kila nyoka ana tabia zake
Kuna wanaovizia, wanaoshambuliwa, wanaosubiri uwakanyage n. K
Kikubwa ukipata ajali ya nyoka kunywa mkojo wako
7 Mamba
Hawa hukaa ukingoni mwa moto au ziwa
Ukienda maeneo hayo ukakuta utulivu usio wa kawaida usijaribu kuingia majini
Kujiokoa mdomoni mwa mamba ni ngumu
Ila jaribu tu kumbinya tumbo
8 Mbwa mwitu
Hawa hutembea kundi kubwa unakuta wapo zaidi ya 50
Hawa ukiwaona panda mti
Nyoka anafaida nyingi kuliko hasara, kwahiyo hapaswi kuogopwaNilivyomuoga wa nyoka! Badala nikimbie nitazimia huku najikojolea
Faida kamaNyoka anafaida nyingi kuliko hasara, kwahiyo hapaswi kuogopwa
(a) ChakulaFaida kama
😹😹😹 Fallah weeh.!!Simba yupi labda diamond ndio umkimbize..
Yeah walimtibu wahusika mana mm nliondoka ila nliporud tena nkamkuta bdo mpaka kesho yupo anakovu lake l.Huyo mbwa mlimtibu?
Kwa Stahili hiyo utapigwa miti mzee yaani unamuelekezea kunduchi bila aibu aseeUkikutana na simba vua nguo zote halafu mbong'olee yaani geuka nyuma inama kisha aone matako yako, simba ataogopa kwa maana hayo matako atahisi kama ni vichwa viwili hivyo atasitaajabu na kukimbia kwakuwa hajawahi kuona.mnyama mwenye vichwa viwili.
Thubutuuuuu simba asogei hapoKwa Stahili hiyo utapigwa miti mzee yaani unamuelekezea kunduchi bila aibu asee