tonii herrera
JF-Expert Member
- May 8, 2015
- 362
- 202
Tulia tuliii punguza mapigo ya moyo acha movement zozote.ana spidi km zaidi ya usain bolt ukikimbia nikazi bureMsaada ukikutana na Black mamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia tuliii punguza mapigo ya moyo acha movement zozote.ana spidi km zaidi ya usain bolt ukikimbia nikazi bureMsaada ukikutana na Black mamba
Naona ukikutana na chura mpeleke mtaa wa jangwaniAisee, Simba namba 1 kwenye list, linatisha hili dude. Mkuu vipi ukikutana na chura?
Umenipa maarifa mapyaKwenye tembo tembea na filimbi hawapendi kelele so ukipiga filimbi anakimbia na wewe kabisa ila kuna tembo wakorofi sana hawa ni wale walio tengwa na familia zao
Nyati akiwa mmoja huna ujanja sanasana hapo ukikimbia lala chini uwe una kroo au kuloli kwa walio pitia jeshi wanaelewa ila wakiwa wengi huwa wao ndio wanakimbia
Panda "mtu"Aisee, Simba namba 1 kwenye list, linatisha hili dude. Mkuu vipi ukikutana na chura?
Panda "mtu"Na nikutana na Mwanamke? 😜
Unatembea na Mbwa unakutana na Nyati5 Chatu
Kama unaenda porini na unahisi Kuna Chatu penda kutembea na mbwa, Atamkamata mbwa we ukimbie, maana na Chatu na mbwa wana uadui wao
Hata kwa cobra au koboko,kimbia achilia nguo juu ya kitawi chochote,atakipiga meno haswaukikutana na Faru kimbia alafu uwe unavua nguo moja baada ya nyingine, yeye atabaki kulirarua shat ulilovua, muda huo wewe umeshafika mbali
Somo zuri, Thanks.Ikitokea umebananishwa na umekutana na mojawapo wa wanyama hawa wakali Fanya haya kujiokoa
1 Simba
Huyu ni mnyama mkali sana
Ukikutana na Simba porini panda mti, au jiamini mtizame na uanze kumfukuza
Simba anaogopa ujasiri wa kiumbe yeyote atakimbia
2. Chui
Chui huishi mafichoni, chui hukaa peke yake
Ukikutana na chui, jifanye hujamwona.
Chui ni dhaifu, usimchokoze maana anaweza kukubadilikia
3. Tembo
Huyu ni mpole, ila ukikuta amevurugwa labda amepoteza ndama ujue safari yako imeishia hapo atakuua akukanyage uwe kama chapati
Ukikutana nae kamba Kuna mlima kimbia kama unateremka, au ingia shimoni au ndani kama Kuna nyumba
Usije ukapanda mti ukimwona tembo
4.Nyati/ Faru
Ukikutana na wanyama hawa una asilimia 80 za kuwa marehemu,
Hawa Bora ukitane na Simba
Vyote omba ila usikutane na hawa viumbe porinii dadeki
5 Chatu
Kama unaenda porini na unahisi Kuna Chatu penda kutembea na mbwa, Atamkamata mbwa we ukimbie, maana na Chatu na mbwa wana uadui wao
6 Fisi
Hawa huvizia usiku na huogopa mwanga, we tembea na tochi
Au akikuvuzia kamata mkia
6. Nyoka
Hawa wapo wa aina tofauti na kila nyoka ana tabia zake
Kuna wanaovizia, wanaoshambuliwa, wanaosubiri uwakanyage n. K
Kikubwa ukipata ajali ya nyoka kunywa mkojo wako
7 Mamba
Hawa hukaa ukingoni mwa moto au ziwa
Ukienda maeneo hayo ukakuta utulivu usio wa kawaida usijaribu kuingia majini
Kujiokoa mdomoni mwa mamba ni ngumu
Ila jaribu tu kumbinya tumbo
8 Mbwa mwitu
Hawa hutembea kundi kubwa unakuta wapo zaidi ya 50
Hawa ukiwaona panda mti
>>Kama ni hivyo bora niwe naenda kwenye zoo tu. Mawe😜
chatu haumi, anameza tuHaumi mkuu?
Simba na chui wa siku hizi huishi juu ya miti na ndiyo dipufriza zao za kutunzia nyama, kwahiyo utajitanguliza mwenyewe.Ikitokea umebananishwa na umekutana na mojawapo wa wanyama hawa wakali Fanya haya kujiokoa
1 Simba
Huyu ni mnyama mkali sana
Ukikutana na Simba porini panda mti, au jiamini mtizame na uanze kumfukuza
Simba anaogopa ujasiri wa kiumbe yeyote atakimbia
2. Chui
Chui huishi mafichoni, chui hukaa peke yake
Ukikutana na chui, jifanye hujamwona.
Chui ni dhaifu, usimchokoze maana anaweza kukubadilikia
3. Tembo
Huyu ni mpole, ila ukikuta amevurugwa labda amepoteza ndama ujue safari yako imeishia hapo atakuua akukanyage uwe kama chapati
Ukikutana nae kamba Kuna mlima kimbia kama unateremka, au ingia shimoni au ndani kama Kuna nyumba
Usije ukapanda mti ukimwona tembo
4.Nyati/ Faru
Ukikutana na wanyama hawa una asilimia 80 za kuwa marehemu,
Hawa Bora ukitane na Simba
Vyote omba ila usikutane na hawa viumbe porinii dadeki
5 Chatu
Kama unaenda porini na unahisi Kuna Chatu penda kutembea na mbwa, Atamkamata mbwa we ukimbie, maana na Chatu na mbwa wana uadui wao
6 Fisi
Hawa huvizia usiku na huogopa mwanga, we tembea na tochi
Au akikuvuzia kamata mkia
6. Nyoka
Hawa wapo wa aina tofauti na kila nyoka ana tabia zake
Kuna wanaovizia, wanaoshambuliwa, wanaosubiri uwakanyage n. K
Kikubwa ukipata ajali ya nyoka kunywa mkojo wako
7 Mamba
Hawa hukaa ukingoni mwa moto au ziwa
Ukienda maeneo hayo ukakuta utulivu usio wa kawaida usijaribu kuingia majini
Kujiokoa mdomoni mwa mamba ni ngumu
Ila jaribu tu kumbinya tumbo
8 Mbwa mwitu
Hawa hutembea kundi kubwa unakuta wapo zaidi ya 50
Hawa ukiwaona panda mti
Usijifanye unajua kiswahili sana, naomba maana ya neno "panda"Write your reply...kwea mti sio panda mti
Huu utafiti na majaribio ulifanya wapi,lini na ushahidi uko wapi?Hiyo ndiye njia pekee ya kujikomboa kwa mnyama.simba, tena kwa mwanamke ni added advantage ukiwa uchi wa mnyama ukabinuka hivyo plus hayo maziwa kifuani simba atachanganya mbio balaa
unamaanisha wale wa TANAPA, tourist guide hutumia hii milungula?Yote kwa yote,hapo lazima ufe tu,mbinu za wanyama wakali ni kujipaka sawa ya asili ili wasikudhuru,vinginevyo bye bye.
Inategemeana na nyumba utakayokimbilia,ila kwa mazingira ya kijijini nyumba nyingi ni tope na zimeezekwa kwa nyasi hapo nakushauri usikimbilie humo. mwaka 2016 nilikuwa na kiredio changu uck nilikuwa nakiwasha non stop,kumbe bhana tembo wanapita nje,mmoja mkubwa wao akajaribu kutikisa kiberiti nikakizima kiredio nikaingia uvunguni na mkojo ukifuatia. kijiji chetu kwa miaka mingi kimekuwa kilikumbana na masahibu ya tembo kila mwaka wanavamia na kula mazao ya wakulima mana kijiji chetu kina poli la akiba. ila tunashukru serikali kwa kuingia ubia na kampuni ya allience one kufanya project ya upandaji wa miti, sasa hali ni shwari.Tembo uingie ndani ya nyumba!!! Umeisha