Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁umenichekesha sana ila nitakusaidia kwenye hili.Kuna vipato vingine hutakiwi utoe sadaka maana we mwenyewe ni maskini wewe ndo unatakiwa upewe sadaka
Soma vizuri buana ama macho yako yana vidondaYaani 30% ya akiba iwe 15000
While 5% ya dharura ije 50000
Hiyo siyo ajira !!Hata sisi maafisa ubashiri?
Typing error * ni ubinadamuYaani 30% ya akiba iwe 15000
While 5% ya dharura ije 50000
Kweye dharura toa 20% inabakike 10Vp na hii ya
30 akiba
30Mahitaj
30 dharura
10 fungu la kumi
Basi sawaHiyo siyo ajira !!
Niaje umtolee mungu sadaka kilema
Ndo sadaka yake hiyoKwahiyo hutoi sadaka?
Kukuita mbwa ungerekebishaIweje?
We maisha yako ya tabu bado unampelekea sadaka mwamposa badala yeye ndo akupe wewe😁😁umenichekesha sana ila nitakusaidia kwenye hili.
Sadaka huwa inapima moyo wa mtu na sio kwamba kutoa kikubwa ndio umetoa sana bali kutoa kwa moyo
Ni kweli wema usizidi uwezoWe maisha yako ya tabu bado unampelekea sadaka mwamposa badala yeye ndo akupe wewe
Usimsahau mola wakoNatumia hii
50 basic needs (food, shelter na nguo za kawaida)
25 wants (gambe, kuhonga, gheto update, sneaker, phone, electronics, wazazi na ndugu)
25 savings
You are not a believer 😂Mi huwa nawapa wenye uhitaji
Anakosea sema si mlauumu maana labda alifundishwa tyu vibayaNdo sadaka yake hiyo
Kutoa ni moyo na huwa natoa popote pale ambapo naona kuna uhitaji na mimi nahitajika kutoa, hivyo fedha ya sadaka inatoka popote kati ya hizo sehem tatu kutegemea na wakatiUsimsahau mola wako
Ila inategemea unamtanguliza nani mbele? Kutoa ni moyo na sadaka inaonyesha wapi ? Moyo wako upo?Kutoa ni moyo na huwa natoa popote pale ambapo naona kuna uhitaji na mimi nahitajika kutoa, hivyo fedha ya sadaka inatoka popote kati ya hizo sehem tatu kutegemea na wakati
Naheshimu sana sadaka na kumbuka pia hata kumpa mzazi wako hilo fungu la kumi ni baraka maradufu, tusijikimbilie kutoa hela mara kanisani mara kwa wazazi mara kwa misaada, chagua kimoja at a time, kama una kipato cha 1M kutoa zaidi ya 50k kama sadaka ni kujiumiza huku tukiendelea lalamika hela hazitoshi wakati Mungu katupa akili.Ila inategemea unamtanguliza nani mbele? Kutoa ni moyo na sadaka inaonyesha wapi ?
Mungu anahitaji hela tena? Kwani kashindwa kufanya muujiza bila kusumbua viumbe wake watoe fungu la 10% na sadaka?""""Mfano Kama unapata Sh. Laki 5 kwa mwezi (500,000/=) fungu la 10 ni Sh. 50,000/=, hii ni mali ya Mungu si yako. Unatakiwa utoe kanisani kila mwezi, pia hata kama umepewa fedha kama zawadi unapaswa uitolee fungu la 10.
Faida za Fungu la kumi
•Hulinda kazi au biashara unayoifanya dhidi ya adui.
•Magonjwa, ajali(vitu vitakavyokufanya utumie fedha bila mpangilio) n.k yanakuwa mbali nawe."""
Hii akiona Kiranga
Hewa itabadilika hapa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂