maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,749
- 2,319
Gross income 🤯Na hiyo 10% ya zaka itoke kwenye gross income au net income?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gross income 🤯Na hiyo 10% ya zaka itoke kwenye gross income au net income?
Inategemea madhabahu yako umeiandaa wapi! Nimeona watu wapo madhabahuni wanatongoza wake za watu ibada ikiendelea. Kuna siri kubwa sana na vinavyoitwa madhabahu kwenye hizi mainstream churches. Ukienda kanisani angalia kwa macho ya rohoni utaona vitu vingi vya kuogofya kwenye sadaka na madhabahuSadaka za madhabahuni zinanguvu mno iyo kusaidia watu ni lazima sio sadaka Mangi !!
Sitokufundisha kila kitu
Hiyo ndiyo akili si kumpelekea Padre Akanenepeshe michepuko yakeMi huwa nawapa wenye uhitaji
Nakupa Maua Yako👏👏👏Fungu la kumi sio mpaka upeleke kanisani, unaweza kupeleka kwa wahitaji.!! Wengine wanawanenepesha wachungaji huku familia zao zina uhitaji zinanuka umaskini
Ni kweli Kabisa!Watumishi huwa wanawadanganye kwa kusoma kimstari kimoja tu badala ya kusoma neno kamili
Unaandika formula ulizozisoma kwenye vitabu sizizo na uhalisia?Fedha inatakiwa uwe na nidhamu nayo katika kuitumia. Kanuni ifuatayo imetumika kwenye vyanzo vyako vyote vya fedha ili uwe na mafanikio yenye amani.
Kanuni
•Fungu la kumi 10%
•Akiba 30%
•Matumizi 40%
•Dharura 10%
•Msaada 5%
•Sadaka 5
Jumla 100%
Hii kanuni inafanya kazi katika kila fedha unayopata kama pato lako la mwezi.
Mfano Kama unapata Sh. Laki 5 kwa mwezi (500,000/=) fungu la 10 ni Sh. 50,000/=, hii ni mali ya Mungu si yako. Unatakiwa utoe kanisani kila mwezi, pia hata kama umepewa fedha kama zawadi unapaswa uitolee fungu la 10.
Faida za Fungu la kumi
•Hulinda kazi au biashara unayoifanya dhidi ya adui.
•Magonjwa, ajali(vitu vitakavyokufanya utumie fedha bila mpangilio) n.k yanakuwa mbali nawe.
Akiba 30
•Fedha hii unaiweka kwa matumizi yako ya baadae kama kujenga, kusomesha, kulima, vitega uchumi n.k.
mfano kama pato lako kwa mwezi ni sh. 500,00/= asilimia 30 ni sh. 150,00/=
Matumizi 40
•Fedha hii itatumika kwa matumizi ya kila siku, chakula, maji, umeme n.k
•Hutumika pia kwa matumizi mengine ya starehe, mavazi n.k
•Kama pato lako kwa mwezi ni sh. 500,000/=, asilimia 40 ni sh. 200,000/=
• angalizo matumizi yasizidi fedha hiyo.
Dharura 10
•Hii ni fedha unayotunza kwa ajili ya mambo usiyoyatalajia kama msiba, magonjwa au kukwama jambo lolote n.k.
•Kama pato lako ni sh. 500,000/= unatunza sh. 50,000/= kwa ajili ya dharura kwa mwezi.
Msaada 5%
•Hii ni fedha ya msaada kwa watu wenye shida; watoto yatima, wajane, walemavu n.k
• kama pato lako kwa mwezi ni sh. 500,000/= unatunza sh. 25,000/= kwa ajili ya msaada.
Sadaka 5%
•Kama pato lako kwa mwezi ni sh. 500,000/= tenga sh. 25,000/= kwa ajili ya sadaka kwa mwezi.
•Igawe fedha hii Mara 4 kwa sababu mwezi una jumapili 4 ambapo utapata ni sh. 6,250/=. Hivyo kila jumapili utaenda kutoa sh. 6,250/=.
Kumbuka;
Kitu chochote kinachoitwa sadaka kiombee kabla hujakitoa kama siku mbili 2 au 3 ndipo uitoe sadaka.
•Jaribu na anza hata na kidogo kidogo, kuwa na nidhamu ya fedha uone nayo itakavyokuheshimu.
NB:
#MAENDELEO HAYANA CHAMA#
KudosUko sahihi,nikiwapa wazazi na baadhi ya ntakaoweza kuwasaidia mtaani kulingana na sikuhiyo nimetembeaje nadhani inatosha
Sasa Ukichukua Kwenye Gross Income inakuwa zaka ya Kipato chako au zaka ya makato yako?🤣🤣Gross income 🤯
Sitoi hela kiboya😅Whatever but toa sadaka
Nimeyapokea dr 🙏Nakupa Maua Yako👏👏👏
Kwani kuwapa wenye uhitaji siyo sadaka?Kwahiyo hutoi sadaka?