Fanya hivi usipofanikiwa niite mbwa nimekaa pale

Fanya hivi usipofanikiwa niite mbwa nimekaa pale

Nakubaliana na kanuni yako mkuu hizi kanuni zipo nyingi na nzuri kuna nyingine inaitwa 50% 30% 20% asilimia 50 ya kipato chako iwe kwaajili ya matumizi yote uliyonayo 20% savings(akiba) 30% iwe kwenye investments shida inaanzia kwenye nidhamu ya matumizi ya pesa inahitajika akili ya mwendawazimu hapa vinginenvyo visinia vya wikendi unamuachia nani
 
Nakubaliana na kanuni yako mkuu hizi kanuni zipo nyingi na nzuri kuna nyingine inaitwa 50% 30% 20% asilimia 50 ya kipato chako iwe kwaajili ya matumizi yote uliyonayo 20% savings(akiba) 30% iwe kwenye investments shida inaanzia kwenye nidhamu ya matumizi ya pesa inahitajika akili ya mwendawazimu hapa vinginenvyo visinia vya wikendi unamuachia nani
😁😁Mangi baada ya mwaka tunaanza kula hela zetu huko Singapore na mia khalifa
 
Sadaka za madhabahuni zinanguvu mno iyo kusaidia watu ni lazima sio sadaka Mangi !!
Sitokufundisha kila kitu
Yakobo 1:27

Dini iliyo safi, isiyo na taka mbele za Mungu Baba ni hii, Kwenda kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao, na kujilinda na dunia pasipo mawaa.



Sasa Nionyeshe wapi Umeambiwa kutoa Sadaka na zaka kwenye AGANO Jipya
 
Ni bora ungesema 10% badala ya fungu la 10 iwe ndio msaada kwa mayatima na wahitaji wengine badala upeleke kwa mchungaji ambae unamkuta bar jioni
 
Fedha inatakiwa uwe na nidhamu nayo katika kuitumia. Kanuni ifuatayo imetumika kwenye vyanzo vyako vyote vya fedha ili uwe na mafanikio yenye amani.

Kanuni
•Fungu la kumi 10%
•Akiba 30%
•Matumizi 40%
•Dharura 10%
•Msaada 5%
•Sadaka 5
Jumla 100%

Hii kanuni inafanya kazi katika kila fedha unayopata kama pato lako la mwezi.

Mfano Kama unapata Sh. Laki 5 kwa mwezi (500,000/=) fungu la 10 ni Sh. 50,000/=, hii ni mali ya Mungu si yako. Unatakiwa utoe kanisani kila mwezi, pia hata kama umepewa fedha kama zawadi unapaswa uitolee fungu la 10.

Faida za Fungu la kumi
•Hulinda kazi au biashara unayoifanya dhidi ya adui.
•Magonjwa, ajali(vitu vitakavyokufanya utumie fedha bila mpangilio) n.k yanakuwa mbali nawe.

Akiba 30
•Fedha hii unaiweka kwa matumizi yako ya baadae kama kujenga, kusomesha, kulima, vitega uchumi n.k.
mfano kama pato lako kwa mwezi ni sh. 500,00/= asilimia 30 ni sh. 150,00/=

Matumizi 40
•Fedha hii itatumika kwa matumizi ya kila siku, chakula, maji, umeme n.k
•Hutumika pia kwa matumizi mengine ya starehe, mavazi n.k
•Kama pato lako kwa mwezi ni sh. 500,000/=, asilimia 40 ni sh. 200,000/=
angalizo matumizi yasizidi fedha hiyo.

Dharura 10
•Hii ni fedha unayotunza kwa ajili ya mambo usiyoyatalajia kama msiba, magonjwa au kukwama jambo lolote n.k.
•Kama pato lako ni sh. 500,000/= unatunza sh. 50,000/= kwa ajili ya dharura kwa mwezi.

Msaada 5%
•Hii ni fedha ya msaada kwa watu wenye shida; watoto yatima, wajane, walemavu n.k
• kama pato lako kwa mwezi ni sh. 500,000/= unatunza sh. 25,000/= kwa ajili ya msaada.

Sadaka 5%
•Kama pato lako kwa mwezi ni sh. 500,000/= tenga sh. 25,000/= kwa ajili ya sadaka kwa mwezi.
•Igawe fedha hii Mara 4 kwa sababu mwezi una jumapili 4 ambapo utapata ni sh. 6,250/=. Hivyo kila jumapili utaenda kutoa sh. 6,250/=.

Kumbuka;
Kitu chochote kinachoitwa sadaka kiombee kabla hujakitoa kama siku mbili 2 au 3 ndipo uitoe sadaka.
•Jaribu na anza hata na kidogo kidogo, kuwa na nidhamu ya fedha uone nayo itakavyokuheshimu.
NB:

#MAENDELEO HAYANA CHAMA#
Kwangu mimi m-adventista msabato hiyo sadaka rudia tena kusoma somo halijakuingia
 
Matendo ya mitume
Sadaka ya anania tena fungu la kumi
Anania haikuwa Fungu la kumi Mzee wangu anania ilikuwa Ni fedha walizokubaliana watu wote..

Baada ya watu wengi Kuongezeka waliokubali Injili iliyokuwa Ikienezwa na Petro..walihitaji Kupatikane Pesa zaidi za kusambaza injili hiyo Na kusaidia watu wenye Uhitaji hivyo kwa Hofu ya Mungu watu walijitoa sana Kusaidia wengine wenye Pesa walipeleka..

Wale wenye Mashamba walipeleka..
Na hata Yusuph aitwaye Barnaba yeye aliuza shamba lake lote na kupeleka fedha kwa mitume..

Matendo 4:32-37
Screenshot_20240414_110656_Biblia Takatifu.jpg


Sasa kilichotokea kwa Anania ni kwamba Alichagua sehemu ya Shamba Akaliuza ilutakiwa ile pesa aipekeke kwa mitume ila akachukua Baadhi ya pesa na kuzificha akapeleka Nusu Pesa..

Na ndo maana Petro anamuuliza kuwa kilipokuwa Shambani hakikuwa Mali yako??

Maana angeweza kutoa Kipande kidogo tu cha shamba akauza na kingine akauza kwa matumizi yake na kingine kwa matumizi ya kutoa..

Ila alipotia Nia kwamba anauza kwa sababu Ya Mungu hapo ndo ilipoleta shida..

Nakuacha utafakari maSwali haya Kilipokuwa Kwako hakikuwa mali yako?, kilipokuwa Kimekwisha kuuza thamani yake Haikuwa kwa uwezo wako??

maana alikuwa Na uwezo wa Kuuza Kidogo na pia alikuwa na Uwezo wa kupandisha Thamani na kuchukua kiasi alichoahidi kupeleka na kiasi kingine kutumia..

MIND YOU HAIHUSIANI NA SADAKA WALA ZAKA HIYO NI MAKUBALIANO WALIYOWEKA NA ANANIA ALIYAVUNJA
Screenshot_20240414_111250_Biblia Takatifu.jpg
 
""""Mfano Kama unapata Sh. Laki 5 kwa mwezi (500,000/=) fungu la 10 ni Sh. 50,000/=, hii ni mali ya Mungu si yako. Unatakiwa utoe kanisani kila mwezi, pia hata kama umepewa fedha kama zawadi unapaswa uitolee fungu la 10.

Faida za Fungu la kumi
•Hulinda kazi au biashara unayoifanya dhidi ya adui.
•Magonjwa, ajali(vitu vitakavyokufanya utumie fedha bila mpangilio) n.k yanakuwa mbali nawe.""
"

Hii akiona Kiranga
Hewa itabadilika hapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16]
 
Fedha inatakiwa uwe na nidhamu nayo katika kuitumia. Kanuni ifuatayo imetumika kwenye vyanzo vyako vyote vya fedha ili uwe na mafanikio yenye amani.

Kanuni
•Fungu la kumi 10%
•Akiba 30%
•Matumizi 40%
•Dharura 10%
•Msaada 5%
•Sadaka 5
Jumla 100%

Hii kanuni inafanya kazi katika kila fedha unayopata kama pato lako la mwezi.

Mfano Kama unapata Sh. Laki 5 kwa mwezi (500,000/=) fungu la 10 ni Sh. 50,000/=, hii ni mali ya Mungu si yako. Unatakiwa utoe kanisani kila mwezi, pia hata kama umepewa fedha kama zawadi unapaswa uitolee fungu la 10.

Faida za Fungu la kumi
•Hulinda kazi au biashara unayoifanya dhidi ya adui.
•Magonjwa, ajali(vitu vitakavyokufanya utumie fedha bila mpangilio) n.k yanakuwa mbali nawe.

Akiba 30
•Fedha hii unaiweka kwa matumizi yako ya baadae kama kujenga, kusomesha, kulima, vitega uchumi n.k.
mfano kama pato lako kwa mwezi ni sh. 500,00/= asilimia 30 ni sh. 150,00/=

Matumizi 40
•Fedha hii itatumika kwa matumizi ya kila siku, chakula, maji, umeme n.k
•Hutumika pia kwa matumizi mengine ya starehe, mavazi n.k
•Kama pato lako kwa mwezi ni sh. 500,000/=, asilimia 40 ni sh. 200,000/=
angalizo matumizi yasizidi fedha hiyo.

Dharura 10
•Hii ni fedha unayotunza kwa ajili ya mambo usiyoyatalajia kama msiba, magonjwa au kukwama jambo lolote n.k.
•Kama pato lako ni sh. 500,000/= unatunza sh. 50,000/= kwa ajili ya dharura kwa mwezi.

Msaada 5%
•Hii ni fedha ya msaada kwa watu wenye shida; watoto yatima, wajane, walemavu n.k
• kama pato lako kwa mwezi ni sh. 500,000/= unatunza sh. 25,000/= kwa ajili ya msaada.

Sadaka 5%
•Kama pato lako kwa mwezi ni sh. 500,000/= tenga sh. 25,000/= kwa ajili ya sadaka kwa mwezi.
•Igawe fedha hii Mara 4 kwa sababu mwezi una jumapili 4 ambapo utapata ni sh. 6,250/=. Hivyo kila jumapili utaenda kutoa sh. 6,250/=.

Kumbuka;
Kitu chochote kinachoitwa sadaka kiombee kabla hujakitoa kama siku mbili 2 au 3 ndipo uitoe sadaka.
•Jaribu na anza hata na kidogo kidogo, kuwa na nidhamu ya fedha uone nayo itakavyokuheshimu.
NB:

#MAENDELEO HAYANA CHAMA#
Fungu la 10 wizi mtupu
 
hilo fungu la 10 na sadaka bora nikasaidie wenye uhitaji

Kasome Yak 1:26-27
Hata ukisoma Wakorintho 16.2 hakuna sehemu wanalazimisha kutoa fungu la 10. Ila makanisa wameona kama mtaji, mengine wanaenda mbali kujua vipato vya watu ili wakamue vizuri.
Hivi fungu la 10 ni sahihi kwa kipindi hiki ambacho wengine tunakatwa 30% ya mshahara? Kama kodi?
 
Upo sahihi Sana
Hela ukiipata toa kiasi kadhaa kama 5% kiende kwa MTU ambaye hana kitu

Ila mwisho wa siku nidhamu ndo itaamua ubaki na hela au uwe masikini.

Kujithibiti ndo kila kitu ,maana kuna watu wanakesha msikitini na kanisani Ila ni masikini wa kutupwa.
 
Back
Top Bottom