appoh
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 5,262
- 2,184
Habarini wanajukwaa
Leo nimeamka na roho ya huruma kuwahurumia wanaume wenzangu wanaoteswa na wanawake hivyo nikaona ni share vitips viwili vitatu vya kuwafanya waenjoy mapenz kama mimi maana ndoa imekua tamu kama niko peponi mwezenu naenjoy
Twende kwenye mada
Kwanza anzia kwako uwe smart msafi kuanzia mwilini mpaka nguoni hapa sio kuvaa madude ya gharama la hasha ilapangilia unadhifu wa nguo hii itanfanya ajivunie wewe maana ukiwa na mwanamke swali lake la kwanza mashoga zake watasemaje kuhusu wewe wakisema your not match au good enough bas anaweza kuish na wewe na kutafuta wa kuwaridhisha mashost zake akili zao zipo kwa kina udugu wao
Pia usafi wako muhimu sio korodise zimejaa ukoko zinanula kama gar la taka mzee wanawake wavumilivu na wanafiki wataish na wewe kishingo upande lakin hakupi yote kua msafi maana kuna mwamba sijui mzambia alikua na tabia akienda choon kukata gogo haend na maji wala tishu daah baby wake alikua analalamika sanaaa harufu ya nyaa usiku wa manane.
Ukishakua smart la pili mpe vihela tu bila kukuomba we jitie kimbele mbele baby nywele mbona hujasula kabla hajajibu toa elf kadhaa mpe siku mtumie visent bila taarifa hii itajenga ulemavu kwake na kutotaka kukuacha au ataogopa akikuacha utachukuliwa bas atakua na wivu na mtiifu kwako balaa mpe kutokana na uwezo wako isikuathir ukipata laki mbili mpe elf 20 lakin ficha hela zako hawa waba tabia wakioma hela wanaanza matumiz ya kukidh mapenz yao yaan watakuletea mahitaji ya vitu vya ajabu mara wanja wing chupi viatu huku hivyo vitu anavyo ndio narud pale pale akili zao zipo kwa marafiki zao yaan mashoga zao kisa shoga yake ana chup mpya au wig na yeye atataka awe nayo
Namba tatu piga shoo mikuno iwe ya maana sanaa kama una tatizo la nguvu njoo inbox nikupe namna ya kua mtur on bed mke atulie
Ndoa nying zinazoyumba ziliyumba kutokana na sababu hizo hapo juuu watu mpaka wanauana kisa mambo hayo juu
Leo nimeamka na roho ya huruma kuwahurumia wanaume wenzangu wanaoteswa na wanawake hivyo nikaona ni share vitips viwili vitatu vya kuwafanya waenjoy mapenz kama mimi maana ndoa imekua tamu kama niko peponi mwezenu naenjoy
Twende kwenye mada
Kwanza anzia kwako uwe smart msafi kuanzia mwilini mpaka nguoni hapa sio kuvaa madude ya gharama la hasha ilapangilia unadhifu wa nguo hii itanfanya ajivunie wewe maana ukiwa na mwanamke swali lake la kwanza mashoga zake watasemaje kuhusu wewe wakisema your not match au good enough bas anaweza kuish na wewe na kutafuta wa kuwaridhisha mashost zake akili zao zipo kwa kina udugu wao
Pia usafi wako muhimu sio korodise zimejaa ukoko zinanula kama gar la taka mzee wanawake wavumilivu na wanafiki wataish na wewe kishingo upande lakin hakupi yote kua msafi maana kuna mwamba sijui mzambia alikua na tabia akienda choon kukata gogo haend na maji wala tishu daah baby wake alikua analalamika sanaaa harufu ya nyaa usiku wa manane.
Ukishakua smart la pili mpe vihela tu bila kukuomba we jitie kimbele mbele baby nywele mbona hujasula kabla hajajibu toa elf kadhaa mpe siku mtumie visent bila taarifa hii itajenga ulemavu kwake na kutotaka kukuacha au ataogopa akikuacha utachukuliwa bas atakua na wivu na mtiifu kwako balaa mpe kutokana na uwezo wako isikuathir ukipata laki mbili mpe elf 20 lakin ficha hela zako hawa waba tabia wakioma hela wanaanza matumiz ya kukidh mapenz yao yaan watakuletea mahitaji ya vitu vya ajabu mara wanja wing chupi viatu huku hivyo vitu anavyo ndio narud pale pale akili zao zipo kwa marafiki zao yaan mashoga zao kisa shoga yake ana chup mpya au wig na yeye atataka awe nayo
Namba tatu piga shoo mikuno iwe ya maana sanaa kama una tatizo la nguvu njoo inbox nikupe namna ya kua mtur on bed mke atulie
Ndoa nying zinazoyumba ziliyumba kutokana na sababu hizo hapo juuu watu mpaka wanauana kisa mambo hayo juu