Mbao Tanzania
Senior Member
- May 31, 2021
- 170
- 215
- Thread starter
- #41
Fainali uzeeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fainali uzeeni
Naam mkuu. Tunasikitika wengine wanajaribu kupotosha. Kama sio mzaha, basi werevu watatumia akili vizuri na kufuata ushauri.Ujumbe simple and clear
Kauli potofuWanasema kujenga ni uoga wa maisha....
Kwani kujenga ni kwamba mtu kayapatia maisha Mimi nilifikiri ungezungumzia kufanya investment kwasababu investments ndio kila kitu kwenye maishaTunakumbushana tu wadau hasa vijana. Starehe na maisha.
Fanya kazi kwa bidii, kula bata kiasi kisha tenga bajeti ya ujenzi. Hiyo ndio siri ya mchezo.
Mbao zipo, ukihitaji tutafute, tutakuuzia kwa bei rafiki utimize lengo.
Wikiendi njema!
Sisi ni wadau wa ujenzi. Katika mnakasha huu tunaeleza umuhimu wa umiliki wa nyumba kwa maisha binafsi. Nyumba ni hifadhi. Maisha sio biashara peke yake.Kwani kujenga ni kwamba mtu kayapatia maisha Mimi nilifikiri ungezungumzia kufanya investment kwasababu investments ndio kila kitu kwenye maisha
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1690][emoji1690]Bia tamu.
Mbao tamu?
HeheheHii dunia tutaiacha Sasa wewe unataka kuipendezesha ili iweje
We una nyumba?Muhimu sana. Ukimaliza ujenzi bado kijana kuna raha yake. Unakula bata ukirudi upo kwako.
Afu ukizingatia bongo ilivo na mambo ya ajabu yaan unajenga na bado unalipa kodi ya pango serikalini. Sasa nina utofaut gani na aliepanga?Ndio maana tunashauri kujenga ni kujipa majukumu yasiyo ya lazima
Hapo tofauti haipo kabisaAfu ukizingatia bongo ilivo na mambo ya ajabu yaan unajenga na bado unalipa kodi ya pango serikalini. Sasa nina utofaut gani na aliepanga?
Bongo Kuna starehe basi?Tunakumbushana tu wadau hasa vijana. Starehe na maisha.
Fanya kazi kwa bidii, kula bata kiasi kisha tenga bajeti ya ujenzi. Hiyo ndio siri ya mchezo.
Mbao zipo, ukihitaji tutafute, tutakuuzia kwa bei rafiki utimize lengo.
Wikiendi njema!
Bia tam.. mbao zitatumika kutengeneza majeneza tukifaTunakumbushana tu wadau hasa vijana. Starehe na maisha.
Fanya kazi kwa bidii, kula bata kiasi kisha tenga bajeti ya ujenzi. Hiyo ndio siri ya mchezo.
Mbao zipo, ukihitaji tutafute, tutakuuzia kwa bei rafiki utimize lengo.
Wikiendi njema!
Laki nne nyingi Sanaa. Mimi mwaka 2012 nilikua naweka laki 2 kwa mwezi. Hadi 2017 nilikua nimebakisha finishing ndogo ndogo. 2018 nikachukua mkopo 15M 9M nikamaliza Kila kitu 6M Nikamvua mtu RAUM namba D Maisha yanasongaWakuu nimeamua kila mwezi kwenye mshahara wangu ni weke laki nne je nitaweza kujenga?
Mna ruhusu mtu kuja na FUTIKAMBA yake ama lazima atumie ya kwenu??!Karibu sana. Huduma zetu zipo Dar es salaam.
Mbao za futi 20
2×4 futi 750
2×2 futi 350
1×8 bei 14000
1×10 bei 17000
Mbao za futi 12
2×4 bei 5800
2×2 bei 2900
Kwa maelezo zaidi tucheki kwenye namba hii 0782 425190.
Karibu mkuu.