Tomaa Mireni
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 2,395
- 2,391
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena waanzie Chato. Ndege hazitapata shida pa kutua kujaza insecticide maana tayari upo uwanya wa kimataifa.Tanzania wanafika lini ? Tanzania ni tajiri itatumia ma dege anga kuwanyunyizia dawa mara moja wafe.
Yap ni janga kubwa sana, Ee Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kupitia kwa mwanao Yesu Kristo tunakuomba uturehemuHili ni janga, Allah atustiri Tanzania.
Tatizo Tz njaa imezidi, wakija huku wanategwa wote na kugombaniwa kwa ajili ya kitoweo na wengine huuzwa kwenye vifuko, sasa wataponea wap?Tanzania Mungu anatuepusha na majanga mengi sana. Tunayasikia kwa wenzetu kwa sana, nchi zilizotuzunguka almost zote zinakumbwa na majanga refer ebola, mafua ya ndege ect saizi nzige..
Hizo nzige zikiingia Tanzania tu utasikia zimetokomea kusiko julikana.
GOD IS GOOD.
Sijui ndio mabalale ogo hayo?Ndio grasshopper?
Akurehemu wewe ni marehemu?Yap ni janga kubwa sana, Ee Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kupitia kwa mwanao Yesu Kristo tunakuomba uturehemu
Ndio..Akurehemu wewe ni marehemu?
Hawa mkuu wakipiga kwenye mpunga mwaka huo utavuna balaaNimelima hekar zangu kumi za mpunga, kila nikiwaza hawa wadudu mavi yanagonga chupi yanarud....dk tano tu zinatosha kukdhihirishia kuwa your workdone=0
Dah
Moto Australia
Nzige tena
Matetemeko
Mafuriko
Mafua na Ebola
So much trouble in the World
Sent using Jamii Forums mobile app