FAO: Tusipowadhibiti nzige wanaoikabili Ethiopia, Kenya na Somalia watasambaa

Hao wadudu waskie hivyo hivyo ni noma,Siku kadhaa tu wanaleta baa la njaa.
FAO waache unoko wawaache huko somalia waendelee kupambana na ALSHABABU
Alshabab si wanajifanya wajanja wawapige risasi hao nzige tuone.Nawaunga mkono nzige kuendelea kuwepo somalia kushambulia mashamba ya ALSHABAB
 
ningependa kufahamishwa nini kina sababisha Population Ya hao viumbe kuwa wengi kiasi hicho, Wanatokea wapi, Wanazaliana vipi mpaka wanakuwa wengi hivyo, Chanzo Chao ni wapi na ni nini ?
au ni lab 🧪 made/modified boosted

Naombeni msaada wajuvi
 

















































Inaelekea hawa wadudu wanazaliana sana.

Hivi lifesapan yao ni muda gani?

NB:
Tanzania inabidi tujipange maana hili ni janga kama majanga mengine hivyo ni vizuri serikali ikaweka fungu na ikachukua hatua za tahadhari kupambana na hili janga.

Ni vizuri pia kuwasaidia wakenya kwa hali na mali, kwani wahanga walisema "Mwenzako akinjolewa, nawe tia maji"

Hatuwezi kuwa salama kama nyumba ya jirani inateketea kwa moto.
 
hawa wadudu huwa wapo,na katika hali ya kawaida huwa hawajikusanyi kwa makundi wala hawali sana
Ila inatokea hali fulani wanaanza kubadilika na kujikusanya kwenye kundi kubwa, na kula kwa fujo

Kinachochea mabadiliko haya kwa kifupi ni jinsi misimu ya mvua na ukame inavyopishana, hili lina maelezo mengi kidogo,
Hawa wadudu wapo tangia hata Yesu kristu hajazaliwa, nafikiri kwenye Biblia pia wameelezewa, kipindi hicho kulikuwa hakuna maabara za kutengeneza wadudu
 
Hivi hakuna dawa ya kupulizia hewani kuwaua hao wadudu kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mpaka saa Kenya ndege 9 ziko kazini kila siku zInanyunyizia dawa wanakufa lakini kila siku wanaingia wengine kwa mabilioni. Na eneo wanaloharibu linazidi kuongezeka shida ndio ipo hapo mkuu. Vita ya nzige sio ya kitoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…