Hahaha hawa dada zetu bana eti janjaro huna future mimi nataka mtu sio wa show off ,Janjaro hana future kisa ajatoa singo ?? Huyu si ni mtoto kabisa ndio kwanza anayaanza maisha na ni lazima muziki ndio umtoe kimaisha ,kuna walio mkataa Prof J enzi hizo anajiita Niga J ila sasa hivi wanajigonga shenzi type .....mwishoni kaniua alipo omba gari la Dogo janja kwenda nalo kwenye Birthday
Asee hii clip imenitia hasira na kuni alert kua makini na maongezi ya cm aseeeHahah janjaro si muhuni ,kamkazia mbezi si magetoni kabisa ,ina maana show za kibabe inakuaje
Mara nyingi sifanyi maongezi ya simu kwa jambo litakalo hatarisha mauhisiano yangu na watu ,najitahidi sana kutumia njia ya maongezi ya ana kwa ana sio rahisi kuacha ushaihidiAsee hii clip imenitia hasira na kuni alert kua makini na maongezi ya cm aseee
Kiki ya kutokea mkuuSidhani kama ni kiki mkuu..Mana anachoongea dogo janja kama kina ukweli..Toka amerudi tip top ni muda sasa lakini bado yuko kimya..
You make me sing...[emoji445]Huvumi lakini umo atii...
Oh ta ta ta tara
Ta ta ta tarara (tarara)
Ta ta ta tara (tata rara)
Nta nta nta ntara rara
Kilichofanyika ni kitu kinachoitwa udukuzi, hili ni kosa la jinai, dogo akiamua kula sahani moja na hicho kicheche, kinatany.a debe!.Kwenye maongezi hayo Dogo janja amesikika akimponda Madee na Team nzima ya Tip top..
##Tuwe makini sana kwenye hii dunia ya kidijitali...Siri si siri tena##