Farewell RO....

Farewell RO....

Status
Not open for further replies.
Mzee Mwanakijiji Nani kakuambia katika utawala wa Kikwete kuna kustaafu? ukiona mtu amestaafu ujue amelazimishwa kwa kua ni mchukia ufisadi anafukuzwa kwa kustaafishwa
 
Kama kina Jairo na Nyoni hawajastaafu hata kwa manufaa ya umma,sembuse hawa wanaoweza kurudisha nyuma miaka!RO na Ndugu yake Jaji Mkuu wote wameongeza miaka?kweli pesa za bure tamu sana!!!!Shemeji IGP SM nae si anakaribia kustaafu nae itabidi aongezewe muda!mwendo kulindana tu maana ni zamu yetu!homola tu!
 
nyie acheni kuwaonea wenzenu gere, kwani wanabeba zege ofisini? kwanza bado ni vijana kabisa ma'handsome, acheni wapige kazi, teh teh teh
 
mnatakiwa kutoa pongezi jamani kwa mwenzenu kumaliza utumishi wake... mumsubiri atatokea vipi kivingine...
 
Kama kina Jairo na Nyoni hawajastaafu hata kwa manufaa ya umma,sembuse hawa wanaoweza kurudisha nyuma miaka!RO na Ndugu yake Jaji Mkuu wote wameongeza miaka?kweli pesa za bure tamu sana!!!!Shemeji IGP SM nae si anakaribia kustaafu nae itabidi aongezewe muda!mwendo kulindana tu maana ni zamu yetu!homola tu!

Ni homola tu! Mwanzo mwisho! Hiyo ndo main agenda.
 
Sijui kama KATIBA MPYA itatuokoa katika hili. Kenya wameweza. Kila nafasi inatangazwa na watu wanadahiliwa kwa uwazi kabisa.

Hilo la katiba likifanyika laweza pia weka tatizo jingine kwamba kipengele cha kustaafu kwa mujibu wa miaka kinaweza pia kuondelewa.. hii itasaidia hao wanaolilia mikataba kuendelea kufanya kazi mpaka lyamba.. swali ni ni jinsi gani tutapima ubora wao wa kazi kama kazi zao zenyewe ni za kificho na siri kubwa...?

Kipengele kuondoa compusory retirement age au kama hiyo retirement age wakiisogeza mbele yaweza kusaida mapato ya serikali maana kutakuwa hakuna maswala ya pension kwani umri wa kustaafu utakuwa either umefutwa au kusogezwa mbele kutegemeana na factors nyingi mojawapo ikiwa ni kusave governement finances...
 
mnatakiwa kutoa pongezi jamani kwa mwenzenu kumaliza utumishi wake... mumsubiri atatokea vipi kivingine...

Pongezi atapewa na familia yake na hao waliomteua maana ndiko anawajibika kwao...hata ukimuuliza mtanzania wa kaiwada hivi kazi za TISS ni nini.. atakuambia kwanza hajui TISS ni nini maana ya TISS , pili atakuambia labda ni kuwaadabisha wale wasio tii maagizo ya serikali au wafanya migomo kama DR. Ulimboka na wengine wa aina hiyo...

Binafsi sijui usalama gani wanaousimamia maana kila siku utasikia fedha uswisi, Twiga -Qatar, pembe za ndovu -Hong Kong... rICHMOND- Mikataba feki, Meremeta- siri za jeshi na vizungumti vingi vya aiana hiyo.. ni kama vile mchakato, na upembuzi yakinifu na sijui ni inteligensia gani isiyokuwa na inteligensia ya kuzuia haya yote...labda ni hao wa form four failures ndo wanaochaguliwa kujiunga Humo TISS na kwenye ualimu....

...Ili waongezewe mkataba yafaa sasa wastaafu wote wapiganie kutostaafu maana dunia ya sasa inataka kuachana na dhana hiyo ya compusory retirement na sijui ni kwa nini wazee wetu wasikipiganie kipengele hicho kwenye katiba mpya kama kweli wanata kuendelea kufanya kazi mpaka kifo...
Hebu soma hapa:
https://www.gov.uk/retirement-age
 
La kwanza na kubwa kuliko yote kwangu ni ndege ya kijeshi kutoka falme za kiarabu, kuja na kupita kwenye raddar iliyonunuliwa kwa fedha za kufuru kwa kisingizio cha ulinzi na usalama, kisha dege hilo likatua pale KIA (UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA KILIMANJARO) , kisha dege hlo likabeba mamia ya wanyama pori wetu ambao ni alama ya utajiri wa taifa na urithi wa dunia.
Kisha dege hlo likaondoka na mpaka sasa haieleweki ni kipi kilifanywa au kimefanywa na hyo idara ya Bw RO, katika kurejesha hazina yetu iliyoibiwa na kuwawajibisha wote waliohusika.
Kwenye tukio hili ndio nilikubali kuwa TANZANIA NI TAIFA LA MAJUHA......

Hivi, unafikiri kweli kuwa hilo dege liliingia nchini bila kibali cha wizara ya ulinzi au Kikwete? They knew about it.
 
When i was a boy pale Tambaza, nilikua naheshimu hii idara kuliko hata emergency department ya Muhimbili

Sasa hivi naheshimu zaidi idara nyingine 100 kabla ya hiyo idara yake...

I dont know kama ni yeye mtaalam au ni mimi tu na upuuzi wangu
 
Idara hii imepoteza msingi na malengo ya kuwepo kwake either kwa kutokufahamu,kukusudia, kushinikizwa au kulazimishwa.

Wakati nchi zingine idara kama hii inazidi kuwa ndiyo tegemeo kwa usalama wa nchi na wananchi wake, kwa Tanzania ndiyo inazidi kuwa bogus day by day.
 
RO ameivuruga sana nchi kwa system kufeli kizembe kwenye mambo mengi!

Hata wanasiasa hasa wa CCM hawaogopi kabisa hii idara na wanaitumia kisiasa!

Kipindi chake kumekuwa na mgawanyiko wa wazi tena ukisababishwa na wanasiasa!

RO tutamkumbuka kama mtu aliyeshindwa kuliko wote toka tupate uhuru!
 
Vijana mmelala acha wazee wapete mpaka wafie kwenye viti maofisini. Elimu inachakachuliwa vijana hamuoni au hamuelewi? Vijana wa CCM wakichachamaa kidogo tu wale wapambanaji wanapewa vyeo inakuwa wimbi limepita.
Vijana nguvu ya umma ndio itawakomboa!
 
Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa anatakiwa awe anastaafu leo kwa mujibu wa sheria. Ametumikia chini ya Kikwete tangu miezi michache tu baada ya Rais Kikwete kuingia madarakani. Chini ya uongozi wake wa idara hii nyeti kabisa nchini ambayo haiko chini ya Katibu Mkuu Kiongozi mengi yametokea na kwa kiasi kikubwa mengi ya kufanya watu wakumbuke idara wakiwa na maswali mengi kichwani.

Tunaweza kuanza kuorodhesa mambo ambayo yameonesa ulegevu wa Idara ya Usalama wa Taifa katika ulinzi wa taifa chini ya uongozi wa Rashid Othman na Zoka (ambaye naye legally amestaafu lakini "bado yupo"). Kuna viongozi kadhaa wa Idara wanaotakiwa kustaafu hivi sasa lakini wote bado "wapo" na kuna dalili kuwa RO anataka Rais amuongezee muda ili wamalize wote 2015.

Hili ni tatizo, lakini pia wapo wafanyakazi wa ngazi za chini kabisa kwenye serikali ambao wanaomba waendelee kufanya kazi baada ya umri wa kustaafu na wanaruhusiwa pia.
 
Mkuu huyu ni Mkuu wa usalama wa mafisadi, nchi haina Mkuu wa usalama wa Taifa tungekuwa naye madudu chungu nzima yanayofanyika nchini tena bila hatua zozote kuchukuliwa dhidi wa watendaji wa madudu hayo yangeshasahaulika miaka mingi.

Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa anatakiwa awe anastaafu leo kwa mujibu wa sheria. Ametumikia chini ya Kikwete tangu miezi michache tu baada ya Rais Kikwete kuingia madarakani. Chini ya uongozi wake wa idara hii nyeti kabisa nchini ambayo haiko chini ya Katibu Mkuu Kiongozi mengi yametokea na kwa kiasi kikubwa mengi ya kufanya watu wakumbuke idara wakiwa na maswali mengi kichwani.

Tunaweza kuanza kuorodhesa mambo ambayo yameonesa ulegevu wa Idara ya Usalama wa Taifa katika ulinzi wa taifa chini ya uongozi wa Rashid Othman na Zoka (ambaye naye legally amestaafu lakini "bado yupo"). Kuna viongozi kadhaa wa Idara wanaotakiwa kustaafu hivi sasa lakini wote bado "wapo" na kuna dalili kuwa RO anataka Rais amuongezee muda ili wamalize wote 2015.
 
Mzee Mwanakijiji, very good pre emptive move supposed to be the "stich in time" expected to "saves nine", but it won't help, it won't save, ni mwendo mdundo hadi 2015 atakapoondoka na timu yake yote!. Na hivi ndivyo ilivyo hata kwa mtangulizi wake!, si ni muda ilifika wakati mwenywe akiwa kabla bado!, si ni aliongezewa na wakaondoka pamoja!.

No matter how much the house is in mess as long as mwenye nyumba hakerwi na uchafu, then kelele zozote za wapita njia ni sawa na kelele za mlango!.

Pasco.
 
Kweli Pasco no way! inabidi tuvumilie tu!!!
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom