Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu BAK, huku kukanusha kitu ambacho kipo na kudai hakipo kunaitwa "negation" kwa lengo la kujifariji tuu!. Facts remain facts kuwa Mkuu wa Usalama wa Taifa yupo, ila kwa vile Taifa hili ni taifa la mafisadi from top to butom, then huyu ni mkuu wa usalama wa taifa la mafisadi na kama mkuu wa usalama then jukumu lake pia ni kulinda huo usalama wa hao mafisadi wenye hilo taifa!.Mkuu huyu ni Mkuu wa usalama wa mafisadi, nchi haina Mkuu wa usalama wa Taifa tungekuwa naye madudu chungu nzima yanayofanyika nchini tena bila hatua zozote kuchukuliwa dhidi wa watendaji wa madudu hayo yangeshasahaulika miaka mingi.
Mkuu BAK, huku kukanusha kitu ambacho kipo na kudai hakipo kunaitwa "negation" kwa lengo la kujifariji tuu!. Facts remain facts kuwa Mkuu wa Usalama wa Taifa yupo, ila kwa vile Taifa hili ni taifa la mafisadi from top to butom, then huyu ni mkuu wa usalama wa taifa la mafisadi na kama mkuu wa usalama then jukumu lake pia ni kulinda huo usalama wa hao mafisadi wenye hilo taifa!.
Kwa msio jua who was behind Kagoda, tembeleeni hansard za bunge mjue Mama Meghji alieleza nini kuhusu fedha za Kagoda, zilichotwa kwa kazi gani na ilisimamiwa na nani?. RA was just a vehicle!. Please mwacheni RO amalize ngwe yake salama bila EPA nyingine ili amkabidhi huyo wa kwenu!. Hivi sasa wanafanya internal transformation kujiandaa kuikabidhi nchi kwa watakaochaguliwa 2015, hivyo sio busara kufanya mabadiliko makubwa!, vinginevyo mtakuwa hamkabidhiwi nchi!.
Pasco
Mhhhh! Haya hutokea bongo tu! Kwani wakati wanampa hiyo post hawakujua tastafu muda si muda? Haya bana gharama kwa walipa kodi hiyo...
Kumbe wao ndiyo wanaamua!
(Ni hapo kwenye nyekundu.)
Taratibu naanza kuelewa kazi alizokuwa anafanya Kikula na mwenzake yule Mkurugenzi wa Mwanza ambaye tetesi zinasema anapelekwa Dar.
kama viongozi wetu wangejengewa utaratibu baada ya kustaafu waende kulima, huu ulipaswa kuwa utaratibu kwa viongozi wote wakuu katika taifa hili, hii ingesaidia hata wananchi wa kawaida kuwa na hari au morali ya kazi ya kilimo, hapa tungetekeleza ile dhana ya kilimo kwanza kwa vitendo.
Kaka kawaida porojo za mwanakijiji, the sadest person. Mada zake siku zote ni chuki na husuda tu
mkurugenzi wa usalama wa taifa anatakiwa awe anastaafu leo kwa mujibu wa sheria. Ametumikia chini ya kikwete tangu miezi michache tu baada ya rais kikwete kuingia madarakani. Chini ya uongozi wake wa idara hii nyeti kabisa nchini ambayo haiko chini ya katibu mkuu kiongozi mengi yametokea na kwa kiasi kikubwa mengi ya kufanya watu wakumbuke idara wakiwa na maswali mengi kichwani.
Tunaweza kuanza kuorodhesa mambo ambayo yameonesa ulegevu wa idara ya usalama wa taifa katika ulinzi wa taifa chini ya uongozi wa rashid othman na zoka (ambaye naye legally amestaafu lakini "bado yupo"). Kuna viongozi kadhaa wa idara wanaotakiwa kustaafu hivi sasa lakini wote bado "wapo" na kuna dalili kuwa ro anataka rais amuongezee muda ili wamalize wote 2015.
Mkuu BAK, huku kukanusha kitu ambacho kipo na kudai hakipo kunaitwa "negation" kwa lengo la kujifariji tuu!. Facts remain facts kuwa Mkuu wa Usalama wa Taifa yupo, ila kwa vile Taifa hili ni taifa la mafisadi from top to butom, then huyu ni mkuu wa usalama wa taifa la mafisadi na kama mkuu wa usalama then jukumu lake pia ni kulinda huo usalama wa hao mafisadi wenye hilo taifa!.
Kwa msio jua who was behind Kagoda, tembeleeni hansard za bunge mjue Mama Meghji alieleza nini kuhusu fedha za Kagoda, zilichotwa kwa kazi gani na ilisimamiwa na nani?. RA was just a vehicle!. Please mwacheni RO amalize ngwe yake salama bila EPA nyingine ili amkabidhi huyo wa kwenu!. Hivi sasa wanafanya internal transformation kujiandaa kuikabidhi nchi kwa watakaochaguliwa 2015, hivyo sio busara kufanya mabadiliko makubwa!, vinginevyo mtakuwa hamkabidhiwi nchi!.
Pasco
mimi nadhani wanasiasa wamegundua kuwa hiyo idara ya usalama wa taifa haiyumbishwi kirahisi kama ambavyo wamejaribu kuyumbisha jeshi la polisi sasa wanajaribu kutafuta namna ya kuichafua.
Mtu mwenyewe jina Radhid, labda angekuwa anaitwa baregu au rwaitama ndo angestaafu kwa muda unaotakiwa, huyo bwana ni poti poti!!
Mzee Mwanakijiji,
Humo serikalini na taasisi zake za umma watu wenye nyadhifa kubwa hawataki kustaafu kabisa kama Robert Mugabe! Umezuka mtindo wa kupeana mikataba hadi inakera na kukatisha tamaa vijana wasomi tulionao kwa sasa.
Its a new wa of tolerating incompetence!!! Incompetent people when given more time to serve gives them pleasure....